kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ombwe kubwa la wachambuzi na wabobezi wa hotuba linapelekea kila mmoja kutoa tafsiri kwa utashi wake na mrengo wa aliko egemea maana wanao jikita kutaka kuchambua wengi wana mirengo ya kisiasa lazima avutie kwake.
Tumesikia hotuba bora ya kufunga mwaka ilivyojadiliwa kutafsiriwa kiupande mmoja bila kuichambua neno baada ya neno.
wengi wamejihisi wamelengwa wao wengine wamejigeuza ndio mabalozi wanawakilisha nchi zao ili hali ni watanzania.
Nchi inakoelekea ni kubaya kukosa watu wenye weledi kuufamisha umma.
Tunawaachia wanasiasa watuendeshe na mihemko yao!
Nchi yetu moja.
Lema alisema wapo tayari kuhesabiwa ikifika siku ya hesabu mbona anatoka nduki!
Tumesikia hotuba bora ya kufunga mwaka ilivyojadiliwa kutafsiriwa kiupande mmoja bila kuichambua neno baada ya neno.
wengi wamejihisi wamelengwa wao wengine wamejigeuza ndio mabalozi wanawakilisha nchi zao ili hali ni watanzania.
Nchi inakoelekea ni kubaya kukosa watu wenye weledi kuufamisha umma.
Tunawaachia wanasiasa watuendeshe na mihemko yao!
Nchi yetu moja.
Lema alisema wapo tayari kuhesabiwa ikifika siku ya hesabu mbona anatoka nduki!