Tanzania kuna uhaba wa watu wenye Akili haiwezekani .

Tanzania kuna uhaba wa watu wenye Akili haiwezekani .

Tanzania kuna uhaba wa WATU wenye potential haitokaa itokee hii nchi isonge mbele.

Angalia majina
yanayotawala katika siasa ni yale yale iwe upinzani au sisiemu.
Je wewe huna akili mbona hujajitokeza kipambana na Mbowe au Samia?......ukweli ni kwamba mfumo wa nchi hi hauruhusu vipaji vipya kuibuliwa ila vipo vingi tu
 
M
Je wewe huna akili mbona hujajitokeza kipambana na Mbowe au Samia?......ukweli ni kwamba mfumo wa nchi hi hauruhusu vipaji vipya kuibuliwa ila vipo vingi tu
mimi Nina run business na nafikiria kutoa Ajira nyingi Sana Kwa waswahili Kama nyie kila mwaka.
 
Nchi zote za Africa hazina uhaba wa watu wenye akili Ila haina mifumo ya kuvigundua vipaji na kuviendeleza.

Na hii inafanyika makusudi kwa sababu future ya nchi huwa sio muhimu kuliko kubakiza mifumo inayowanufaisha wachache madarakani.

Mbaya zaidi kwa wale wachache wenye misuli ya kiuchumi na akili kichwani hugeuzwa maadui wa nchi kwa sababu uzalendo hutafsiriwa kama mfumo wa kulinda watu wenye mamlaka na si nchi, kama wenzetu walioendelea
 
Tanzania kuna uhaba wa WATU wenye potential haitokaa itokee hii nchi isonge mbele.

Angalia majina
yanayotawala katika siasa ni yale yale iwe upinzani au sisiemu.
Tuna watu wenye uwezo mkubwa wa kujizima data a.k.a kuahirisha kufikiri kizalendo
 
Tanzania kuna uhaba wa WATU wenye potential haitokaa itokee hii nchi isonge mbele.

Angalia majina
yanayotawala katika siasa ni yale yale iwe upinzani au sisiemu.
Kama hamjitokezi tufanyeje sisi!
 
Nchi zote za Africa hazina uhaba wa watu wenye akili Ila haina mifumo ya kuvigundua vipaji na kuviendeleza.

Na hii inafanyika makusudi kwa sababu future ya nchi huwa sio muhimu kuliko kubakiza mifumo inayowanufaisha wachache madarakani.

Mbaya zaidi kwa wale wachache wenye misuli ya kiuchumi na akili kichwani hugeuzwa maadui wa nchi kwa sababu uzalendo hutafsiriwa kama mfumo wa kulinda watu wenye mamlaka na si nchi, kama wenzetu walioendelea
 
Tanzania kuna uhaba wa WATU wenye potential haitokaa itokee hii nchi isonge mbele.

Angalia majina
yanayotawala katika siasa ni yale yale iwe upinzani au sisiemu.
Mwenye akili ni Rostam
 
Yani hili linanishangaza sana....yani ni kama Nchi inaongozwa na kikundi cha watu hao hao wanabadilishana
 
Tanzania kuna uhaba wa WATU wenye potential haitokaa itokee hii nchi isonge mbele.

Angalia majina
yanayotawala katika siasa ni yale yale iwe upinzani au sisiemu.
Tunakutegemea utukomboe kama wakina mandela walivyofanya kipind hiko
 
Back
Top Bottom