Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hivi uwanja wa vita unaruhusiwa kukwapua mali zozote unazoona zinafaa?Mkuu kilichowapeleka Rwanda kule Cabo ni Ruby na watasomba magunia na magunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi uwanja wa vita unaruhusiwa kukwapua mali zozote unazoona zinafaa?Mkuu kilichowapeleka Rwanda kule Cabo ni Ruby na watasomba magunia na magunia.
Hakuna biashara kichaa,Rwanda huko Central Africa Republic wamepewa bonge la eneo la ardhi na serikali ya nchi hio wafanyie watakacho (investment) hapo madini yatachimbuliwa mwanzo mwisho.Mkuu kilichowapeleka Rwanda kule Cabo ni Ruby na watasomba magunia na magunia.
Hawaendi mahala bila masilahi hao!! Sasa wakiina SADC wanawaingilia itakuwa tabu!!
Kwa kusoma vyombo vya habari vya Kimataifa nimeelewa kuwa huo mgogoro ulikuwa unalihusha jeshi la Msumbiji na Mamluki waliokodishwa na Serikali ya Msumbiji na baadae Majeshi ya Rwanda sasa kama kuna ushahidi kuwa Majeshi yetu yalikuwa huko ni vizuri ukatuwekea ushahidi ili tuelewe.
afu eti Mh. Mbowe ni gaidi - aiseee CCM nyieee‘’ Operesheni za kijeshi kwa kawaida huchukua vikundi vya aina zote kwa pamoja, vita si kama mechi ya mpira, bali operesheniwakati mnaendelea na mkakati hasa mkakati kama huu wa kupambana na vikundi visivyo rasmi kwa maana ya kwamba si majeshi, bali kikundi ambacho kina asili ya kigaidi kwahiyo wakati huohuo wapo wataalam ambao nao watahitajika ambao pia watasaidia kutathimini aina ya watu tunaokabiliana nao na namna bora ya kushauri ili vikundi vyetu viweze kufanya kazi vizuri zaidi''. Alisema Brigedia Jenerali Sipe.
Mkuu nini kimetokea mpaka memba menzetu wa Sadc kusaidiwa na Rwanda wakati wanachama wenzake tupo. Sasa hivi Rwanda ndio inapata credit duniani kuwa imewadhibiti magaidi na hata updates za mapambano wanachukua kutoka kwa Rwanda.Hivi unaaamini kabisa kwmaba,nchi zote za SADC ziliogopa kupereka wanajeshi,mpaka Rwanda aende kwanza?!!give us a bleak,don't be naive!!!
Vita ya huko ilianza kitambo sana,Rwanda ameenda hatua za mwisho?...
Hairuhusiwi lakini Rwanda chini ya Kagame hawajali hiyo. Halafu wenyewe kimbelembele kwenye migogoro madini yanapopatikanaHivi uwanja wa vita unaruhusiwa kukwapua mali zozote unazoona zinafaa?
Kwa uzoefu wangu wa masuala haya Askari wa TZ walikuwepo Msumbiji hata kabla ya Rwanda au nchi nyingine hazijapeleka Askari wao kule...Yani Rwanda washamaliza mchezo sisi ndio tunaenda mmmh
Mkuu nini kimetokea mpaka memba menzetu wa Sadc kusaidiwa na Rwanda wakati wanachama wenzake tupo. Sasa hivi Rwanda ndio inapata credit duniani kuwa imewadhibiti magaidi na hata updates za mapambano wanachukua kutoka kwa Rwanda. Sijui tulizubaa wapi lakini tukumbuke hawa magaidi wamepakana na sisi, Rwanda hawaaminiki, umeshajiuliza nini kilifanya wakimbilie na hata kuwawhi Sadc? baadae tutasikia wapiganaji wamehamia Tanzania wanapigania Mtwara iwe nchi wanadai gesi, uonevu n.k hawa wanatuhumia kusaidia waasi Uganda, Congo na Burundi.
Iachage kukulupuka .Yani Rwanda washamaliza mchezo sisi ndio tunaenda mmmh
Rwanda wanajinasibu kuimaliza hii vita. Pia haijulikani kwa nini Rwanda ilikimbilia huko wakati SADC wakijiandaa kwenda kusaidia. Yasije yakatokea yale ya DRC ambapo Rwanda walichabangana na Uganda!
Mbona haikutangazwaKwa uzoefu wangu wa masuala haya Askari wa TZ walikuwepo Msumbiji hata kabla ya Rwanda au nchi nyingine hazijapeleka Askari wao kule...
Vita haipiganwi kwa historia.Hivi unaaamini kabisa kwmaba,nchi zote za SADC ziliogopa kupereka wanajeshi,mpaka Rwanda aende kwanza?!!give us a bleak,don't be naive!!!
Vita ya huko ilianza kitambo sana,Rwanda ameenda hatua za mwisho?!ni mtu mwepesi anaweza kuamini kwamba vikosi vya Rwanda ni bora na imara kuriko vikosi vya South Afrika,na Tanzania ambao wanampaka na Msumbiji.
Vita ya ukombozi ya kusini mwa afrika,JWTZ ilianza zamani,wakati huo majeshi ya makaburu yalikuwa yanapata msaada kutoka USA,na UK,tuliwachapa wale,sembuse Hawa islamists
Ndio ujue hizi Jumuiya za Kiafrika ni za kinafiki tu, siku yakikukuta ndio kwanza wanaanza kufurahia matatizo yako.Boss wa Jeshi la Mozambique mpk jana amesema Nchini kwao majeshi yanayopiga operation ni 2 tu Rwanda na Mozambique tu,majeshi ya SADC hakuna yanayo operate nchini humo mpk sasa.
Rwanda wapo Muidumbe na Mocimboa da Praia....hawa wa sadc ikiwemo Tanzania wanaenda eneo jingine kunaitwa Pemba Tanzania ndio yenye wanajeshi wengi ni 277Yani Rwanda washamaliza mchezo sisi ndio tunaenda mmmh
Sadc wamezindua jana operation zao jumla wanajeshi watakua 786 tanzania ndio imetoa wanajeshi wengi zaidi 277Boss wa Jeshi la Mozambique mpk jana amesema Nchini kwao majeshi yanayopiga operation ni 2 tu Rwanda na Mozambique tu,majeshi ya SADC hakuna yanayo operate nchini humo mpk sasa.
Walikimbilia au Rais Nyusi aliwakimbilia kuomba msaada?Sadc tangu 2017 mpk leo wanaweka vikao tu wakimaliza wanafanya strategic planning wakimaliza hapo unawasikia wanasema tunafanya security analysis then kinafuata Security protocal yaani ni kupoteza muda tu.