Tanzania kupeleka vikosi vyake vya kijeshi Msumbiji

Tanzania kupeleka vikosi vyake vya kijeshi Msumbiji

Rwanda wapo Muidumbe na Mocimboa da Praia....hawa wa sadc ikiwemo Tanzania wanaenda eneo jingine kunaitwa Pemba Tanzania ndio yenye wanajeshi wengi ni 277
Mkuu pemba hakuna vita maana ndo municipal ya cabo Delgado ni kama tunaposema bukoba lakini mkoa unajulikana kama Kagera au sumbawanga mkoa ukijulikana kama Rukwa hvyo vita vinapiganwa karibu wilaya Tano za pwani bila kuicha Palma kama kitovu huko mkoani Pemba na wilaya za bara watu wanaishi vzr Tu hakuna tatizo maana gesi haijafika huko!!
 
Tanzania ni sehemu ya kikosi kilichotumwa chini ya mwamvuli wa SADC kupambana na ugaidi katika mkoa wa kaskazini mwa Msumbiji wa Cabo Delgado.

Awali serikali kupitia waziri wa mambo ya nje Liberata Mulamula alisema kwamba Tanzania haitatuma wanajeshi Msumbiji na badala yake inasisitiza juu ya hitaji la mazungumzo kama njia ya kukuza amani na utulivu nchini Msumbiji.

Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania, JWTZ, Brigedia JeneraliJuma Sipe amethibitishia hili BBC akisema kuwa wakuu wa nchi za jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC walikwishaazimia kuwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo watasaidia kutatua tatizo linaloendelea nchini Msumbiji.

‘’Makubaliano hayo moja kwa moja yanaihusu pia Tanzania, ikumbukwe Tanzania kwa kihistoria imeisaidia sana Jamhuri ya Msumbiji katika mapambano yake ya kupata uhuru wake na hata baada ya uhuru, pia Tanzania imeshiriki katika harakati nyingi zimesaidia sana kutatua mgogoro uliokuwepo kati ya FRELIMO na RENAMO kwa hivyo tatizo la Msumbiji kwa sasa ni tatizo la kikanda na kimsingi kama Watanzania tuna wajibu wa kushirikiana na wanajumuiya ya SADC katika kutatua tatizo hili.’’ Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Haijabainishwa ni wanajeshi wangapi kutoka Tanzania wanashiriki operesheni hiyo nchini Msumbiji, lakini Brigedia Jenerali Sipe amesema kuwa majeshi yote (nchi zinazoshiriki) yanayokwenda yanayokadiriwa kuwa Brigedi moja yanaratibiwa chini ya SADC kwa ujumla wake.

‘’Kila nchi mwanachama ana kiasi Fulani ambayo itapeleka, wengine watapeleka kwenye hospitali, wengine watakwenda vikundi maalum vya majukumu ya aina mbalimbali, jeshi la wana maji n.k. ‘’ Alifafanua Brigedia Jenerali .

Tanzania inapeleka wataalam gani wa kijeshi?

‘’ Operesheni za kijeshi kwa kawaida huchukua vikundi vya aina zote kwa pamoja, vita si kama mechi ya mpira, bali operesheniwakati mnaendelea na mkakati hasa mkakati kama huu wa kupambana na vikundi visivyo rasmi kwa maana ya kwamba si majeshi, bali kikundi ambacho kina asili ya kigaidi kwahiyo wakati huohuo wapo wataalam ambao nao watahitajika ambao pia watasaidia kutathimini aina ya watu tunaokabiliana nao na namna bora ya kushauri ili vikundi vyetu viweze kufanya kazi vizuri zaidi''. Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Hatua hiiimeelezwa kuwa muhimu sana kwa uhusiano wa SADC na ukanda mzima kwa ujumla wake nanchi ya Msumbiji, vile vile usalama wa Msumbiji ni sawa na usalama wa nchi wanachama pia.

Operesheni hiyo ya miezi mitatu inahusisha wataalamu wa kijeshi na vifaa kutoka Afrika Kusini, Botswana, Angola, Tanzania, na Lesotho

Gharama ya awali ya operesheni hiyo ni dola milioni 12M.

Chanzo: BBC
Wanaenda kuwapikia wanajeshi wa Rwanda.
.
Manage mliringa kwenda wanaume wamemaliza kazi wamama wanapenda sasa kwenda kufagia.
shenz
 
Tanzania ni sehemu ya kikosi kilichotumwa chini ya mwamvuli wa SADC kupambana na ugaidi katika mkoa wa kaskazini mwa Msumbiji wa Cabo Delgado.

Awali serikali kupitia waziri wa mambo ya nje Liberata Mulamula alisema kwamba Tanzania haitatuma wanajeshi Msumbiji na badala yake inasisitiza juu ya hitaji la mazungumzo kama njia ya kukuza amani na utulivu nchini Msumbiji.

Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania, JWTZ, Brigedia JeneraliJuma Sipe amethibitishia hili BBC akisema kuwa wakuu wa nchi za jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC walikwishaazimia kuwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo watasaidia kutatua tatizo linaloendelea nchini Msumbiji.

‘’Makubaliano hayo moja kwa moja yanaihusu pia Tanzania, ikumbukwe Tanzania kwa kihistoria imeisaidia sana Jamhuri ya Msumbiji katika mapambano yake ya kupata uhuru wake na hata baada ya uhuru, pia Tanzania imeshiriki katika harakati nyingi zimesaidia sana kutatua mgogoro uliokuwepo kati ya FRELIMO na RENAMO kwa hivyo tatizo la Msumbiji kwa sasa ni tatizo la kikanda na kimsingi kama Watanzania tuna wajibu wa kushirikiana na wanajumuiya ya SADC katika kutatua tatizo hili.’’ Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Haijabainishwa ni wanajeshi wangapi kutoka Tanzania wanashiriki operesheni hiyo nchini Msumbiji, lakini Brigedia Jenerali Sipe amesema kuwa majeshi yote (nchi zinazoshiriki) yanayokwenda yanayokadiriwa kuwa Brigedi moja yanaratibiwa chini ya SADC kwa ujumla wake.

‘’Kila nchi mwanachama ana kiasi Fulani ambayo itapeleka, wengine watapeleka kwenye hospitali, wengine watakwenda vikundi maalum vya majukumu ya aina mbalimbali, jeshi la wana maji n.k. ‘’ Alifafanua Brigedia Jenerali .

Tanzania inapeleka wataalam gani wa kijeshi?

‘’ Operesheni za kijeshi kwa kawaida huchukua vikundi vya aina zote kwa pamoja, vita si kama mechi ya mpira, bali operesheniwakati mnaendelea na mkakati hasa mkakati kama huu wa kupambana na vikundi visivyo rasmi kwa maana ya kwamba si majeshi, bali kikundi ambacho kina asili ya kigaidi kwahiyo wakati huohuo wapo wataalam ambao nao watahitajika ambao pia watasaidia kutathimini aina ya watu tunaokabiliana nao na namna bora ya kushauri ili vikundi vyetu viweze kufanya kazi vizuri zaidi''. Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Hatua hiiimeelezwa kuwa muhimu sana kwa uhusiano wa SADC na ukanda mzima kwa ujumla wake nanchi ya Msumbiji, vile vile usalama wa Msumbiji ni sawa na usalama wa nchi wanachama pia.

Operesheni hiyo ya miezi mitatu inahusisha wataalamu wa kijeshi na vifaa kutoka Afrika Kusini, Botswana, Angola, Tanzania, na Lesotho

Gharama ya awali ya operesheni hiyo ni dola milioni 12M.

Chanzo: BBC
Rwanda nayo ipo japo nashangaa kwanini imesahaulika kutajwa na tena nasikia Wanajeshi wake waliopo huko kwa sasa ndiyo wanafanya vizuri kweli kweli katika Kuwakabili hao Waasi na tayari kuna hata Ngome moja ya Waasi wameshaidhibiti.
 
Hamna kitu, Rwanda kashamaliza mchezo, acheni kutaka sifa zisizo na tija. Kama vikosi vya Rwanda vinapata msaada wa US na France si ndio vizuri? Kuna haja gani ya biblia vingine kwenda kupoteza muda wakati US na France sana hela za kuendesha hiyo operation?
Rwanda hajamaliza mchezo ila amesaidia kuwaondoa magaidi kwenye mji wa gesi wa Macimboa da Praia ili viwanda vya kuzalisha mafuta viweze kuendelea na shughuli zao bila hofu.

Majeshi ya Rwanda yalikuwa na kazi hiyo ya kuwarudisha magaidi msituni bila kutumia silaha.

Vifaa na mbinu za kisasa kama nilizosema ndizo zimesaidia.

Hiyo ilikuwa ni moja ya mission na task kwa Rwanda, itayofuata ndiyo itasema majeshi yote kwa pamoja yamemaliza mchezo au la.

Na pia kinachofuata ni Guerrilla warfare ambayo majeshi yote likiwemo la JWTZ watashiriki.

Ndo maana Jenerali Kazura alikuja Tanzania kuangalia kama kila kitu is in order kabla ya kazi kuanza.

Na moja ya kipengele kwenye mazungumzo ya Kigali baina ya viongozi wetu ni upangaji jinsi operesheni zitakavyokwenda.

Wewe wafikiri baadhi ya vyombo vya majirani zetu wote vinapitia wapi vikitoka kwa Uncle Sam na kwingine?
 
Si kuna tetesi kuwa anaepigwa vita pale ni Mfaransa dhidi ya Mmarekan ili asichimbe gas? Sasa vita tusioijua isije ikaturudishia vijana wetu kwenye majeneza yenye bendera ya Taifa bila sababu za msingi.
Alochukua contract kwa mara kwanza na alofanya savei ni mmarekani tangu 2005 akaingia mkataba ; rasmi 2011 wakaingia Palma kuanza maandalizi ya kazi chini ya Raisi Armando Guebuza!kampuni ilikuwa ikiitwa ANADARKO PROJECT LNG MOZAMBIQUE!!

Kipindi hicho chote ilikuwa ni ujenzi tu ukiendelea huku manyambizi yao yakiwa baharini wakiendelea na utafiti wao!walofanya kazi Mining wataelewa ninaposema ujenzi maana kbla mgodi wwte haujaanza production Duniani kuna construction work nyingi sana zinafanyika Kwanza!!

2015 alipoingia rais Philipe Jacinto Nyusi tatizo likaanzia hapo maana baada Tu ya kuapishwa aka simamisha KAZI sababu eti mkataba waloaingia na president Guebuza wakimagumashi pesa haionekani serikalini kazi ilipigwa bun almost 2years 2015-2017 miezi kama hii ndo kazi ikaanza tena!

Walipoanza Tu Anadarko after 2month Alshababy ndani ya nyumba 2017 hyo wakakinukisha hapo msimboa da praia ni wilaya iliyo karibu na Palma ilipo kazi rasmi, vilipigwa vita kama week hvi Mpka nyusi akaomba Msaada kwa Hayati wakaingia JWTZ huko wakawabonda sana wakakimbia hali ikawa shwari kazi ikaendelea!!

2017 ikaisha 2018 wakaanza tena sasa hvi si kwakupigana na majeshi ila kwa kuingia vijijini usiku na kuchoma nyumba; kuchinja wanaume afu wanasepa asubuhi kazi ni jeshi la msumbiji kuingia kusaidia Raia hali ikawa hvyo ikachanua alshababi wakajizatiti wakaanza kuteka makambi ya jeshi vituo vya polisi na kuwanyang'anya silaha na kuwaua wanazama porini hapo ndo serikali na hao wamarekani wakaanza kuogopa lkn kazi hazikusimama maana kwao hazikuwaathiri chochote wanyonge na masikini ndo walikuwa chambo!!

Nyusi akiulizwa anasema hakuna vita ni vikundi vya wahuni hvyo jeshi lake litapambana navyo kazi ikaendelea huku watu wanaendelea kuchinjwa serikali haitangazi chochote sasa wakahamia kwenye kuteka magari yakatekwa sana, yakapigwa risasi Sana abiria wakachinjwa sana maelfu!!

Sasa kisa cha ANADARKO kumuuzia kazi TOTAL ni hiki hapa 2019 mwezi February,ilikuwa hivi wilaya ya Palma ambayo ndo kutovu cha kazi ilikuwa haina Airport xo ukitaka kufika palma Kwa urahisi inabidi upande ndege mpka Msimboa da praia hii ni wilaya kubwa sana kuliko palma na ilikuwa municipal kabisa yenye kila kitu na uvuvi Sana tu ni kama KM 60 msimboa to Palma baada ya hapo unachukua gari kwenda Palma liwe private au public!!

Sasa huo mwezi wa 2 wazungu na baadhi ya wafanyakazi walikuwa wametoka likizo wakashukia airport msimboa da praia wakachukuliwa na gari za kampuni ya Anadarko kuwapeleka Palma ulikuwa msafara wa magari kama 10 hapo kuna gari 2 za Jeshi I mean escort moja inakaa mbele nyingine nyuma msafara ukaanza vzr Tu wakaiacha msimboa wakaingia palma SASA wao hawakuwa wanaenda palma center wao walikuwa wakienda ilipo Kazi na ma camp ya wafanyakazi kama KM 30 toka palma center hvyo walipofika kijiji cha mwisho ili waingie barabara itakayowapeleka huko kazini kwao wakakuta hiece imewekwa ktkt ya Barabara ina maana kuwa Alshababy waliteka hiece ilokuwa ikitoka palma kwenda msimboa wakachinja Raia wakalaza miili Yao barabani Hilo tukio lilitokea jioni kama saa kumi na moja bado mapema kabisa sema ni nje ya mji kdgo hvyo walipofanya hivyo wakachukua Ile hiece wakaigeuza ikaziba Barabara ina maana tyr walikuwa na taarifa kwamba kuna msafara wa wafanyakazi umetoka msimboa hakikisheni mnamaliza kazi!!

Gari ya Kwanza ilikuwa ya wanajeshi wanakuja kutahamaki jamaa hawa hapa Mita chache Tu kazi ikaanzia hapo risasi zikatembea sana gari zikapigwa rusasi matairi zinapoteza mwelekeo wazungu na wabongo wapo humo ndani ikabidi washuke waanze kukimbilia maporini zile za nyuma zikageuka kurudi msimboa gari zilizobaki zikapigwa moto xo kwenye Hilo tukio ikasemekana hamna kifo zaidi ni majeruhi na vifo ni Kwa wale abiria walotekwa kwenye hiece!!

Basi baada ya hilo tukio kampuni ikatangaza hali ya hatari hvyo kazi ikafungwa kwa mda usiojulikana wafanyakazi maelfu wakarudishwa majumbani mpka watakapoitwa tena;mwezi wa 6/2019wakaanza kuita wafanyakazi kdgo kdgo na hapo ndo taarifa zikaanza kusikika kwamba boss wa SASA ni TOTAL na sio ANADARKO tena na kweli mana uniform zote zikabadilishwa kwa wafanyakazi na kuwa na jina la total na sio anadarko tena mabango na matangazo huo ndo ukawa mwisho wa Mmarekani kuwepo palma akabaki mfaransa Total Mpka Kesho!!

Sasa mfaransa kaenda hali ndo ikazidi kuwa mbaya mpaka 2020 mambo yakawa magumu zaidi corona inapiga alshababy wanapiga sio mchezo kazi ikawa ngumu mara kupunguza wafanyakazi wengine wakawa wanakimbia wenywe coz ya usalama ni mdgo na alshababy wakapiga wilaya zote za pwani wananchi wakakimbia msimboa ikateketezwa kama mlivyoona na mwisho mwaka huu march wakapiga palma kitovu cha kazi na kazi ikaishia hapo mpka Kesho ndo hvyo tunaon a majeshi yetu yanapambana!;

Mwisho tutafute logic ktk Hilo swali lako mkuu je inawezekana wanatuchezea mchezo kutokana na maelezo yangu hapo juu?hicho ndo nnachokifahamu kwa ufupi Tu;mwanzo tulikuwa tunaamini mchezo unachezwa na mmarekani mwenywe ila SASA akaingia total ni yaleyale SASA hii imekaaje?na kama ni wao vipi wanaweza ruhusu mchezo uchezwe mpka kwenye pesa Yao?maana alshababy kuipiga palma mpka kazi imesimama hiyo ni akili kweli?kwamba wamewatuma waingie mpka kwenye himaya Yao!?anyway ya Mungu Mengi tuombe Mungu mission iwe possible Maisha yaendelee Hilo ndo la muhimu!!na log off!!
 
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]yaani hata kama majeshi ya Rwanda ni wezi ila sio hvyo bana tunakariri sana vita vipo kwenye gesi pwani huko ilipo ruby waita bara sehemu 2 tofauti!!
😄😄😄 Kuna siku watatumwa kwenda vitani sehemu kwny madini ya uranium Sasa sijui watayachimba wakatengenezee bomu la nuclear?
 
Alochukua contract kwa mara kwanza na alofanya savei ni mmarekani tangu 2005 akaingia mkataba ; rasmi 2011 wakaingia Palma kuanza maandalizi ya kazi chini ya Raisi Armando Guebuza!kampuni ilikuwa ikiitwa ANADARKO PROJECT LNG MOZAMBIQUE!!

Kipindi hicho chote ilikuwa ni ujenzi tu ukiendelea huku manyambizi yao yakiwa baharini wakiendelea na utafiti wao!walofanya kazi Mining wataelewa ninaposema ujenzi maana kbla mgodi wwte haujaanza production Duniani kuna construction work nyingi sana zinafanyika Kwanza!!

2015 alipoingia rais Philipe Jacinto Nyusi tatizo likaanzia hapo maana baada Tu ya kuapishwa aka simamisha KAZI sababu eti mkataba waloaingia na president Guebuza wakimagumashi pesa haionekani serikalini kazi ilipigwa bun almost 2years 2015-2017 miezi kama hii ndo kazi ikaanza tena!

Walipoanza Tu Anadarko after 2month Alshababy ndani ya nyumba 2017 hyo wakakinukisha hapo msimboa da praia ni wilaya iliyo karibu na Palma ilipo kazi rasmi, vilipigwa vita kama week hvi Mpka nyusi akaomba Msaada kwa Hayati wakaingia JWTZ huko wakawabonda sana wakakimbia hali ikawa shwari kazi ikaendelea!!

2017 ikaisha 2018 wakaanza tena sasa hvi si kwakupigana na majeshi ila kwa kuingia vijijini usiku na kuchoma nyumba; kuchinja wanaume afu wanasepa asubuhi kazi ni jeshi la msumbiji kuingia kusaidia Raia hali ikawa hvyo ikachanua alshababi wakajizatiti wakaanza kuteka makambi ya jeshi vituo vya polisi na kuwanyang'anya silaha na kuwaua wanazama porini hapo ndo serikali na hao wamarekani wakaanza kuogopa lkn kazi hazikusimama maana kwao hazikuwaathiri chochote wanyonge na masikini ndo walikuwa chambo!!

Nyusi akiulizwa anasema hakuna vita ni vikundi vya wahuni hvyo jeshi lake litapambana navyo kazi ikaendelea huku watu wanaendelea kuchinjwa serikali haitangazi chochote sasa wakahamia kwenye kuteka magari yakatekwa sana, yakapigwa risasi Sana abiria wakachinjwa sana maelfu!!

Sasa kisa cha ANADARKO kumuuzia kazi TOTAL ni hiki hapa 2019 mwezi February,ilikuwa hivi wilaya ya Palma ambayo ndo kutovu cha kazi ilikuwa haina Airport xo ukitaka kufika palma Kwa urahisi inabidi upande ndege mpka Msimboa da praia hii ni wilaya kubwa sana kuliko palma na ilikuwa municipal kabisa yenye kila kitu na uvuvi Sana tu ni kama KM 60 msimboa to Palma baada ya hapo unachukua gari kwenda Palma liwe private au public!!

Sasa huo mwezi wa 2 wazungu na baadhi ya wafanyakazi walikuwa wametoka likizo wakashukia airport msimboa da praia wakachukuliwa na gari za kampuni ya Anadarko kuwapeleka Palma ulikuwa msafara wa magari kama 10 hapo kuna gari 2 za Jeshi I mean escort moja inakaa mbele nyingine nyuma msafara ukaanza vzr Tu wakaiacha msimboa wakaingia palma SASA wao hawakuwa wanaenda palma center wao walikuwa wakienda ilipo Kazi na ma camp ya wafanyakazi kama KM 30 toka palma center hvyo walipofika kijiji cha mwisho ili waingie barabara itakayowapeleka huko kazini kwao wakakuta hiece imewekwa ktkt ya Barabara ina maana kuwa Alshababy waliteka hiece ilokuwa ikitoka palma kwenda msimboa wakachinja Raia wakalaza miili Yao barabani Hilo tukio lilitokea jioni kama saa kumi na moja bado mapema kabisa sema ni nje ya mji kdgo hvyo walipofanya hivyo wakachukua Ile hiece wakaigeuza ikaziba Barabara ina maana tyr walikuwa na taarifa kwamba kuna msafara wa wafanyakazi umetoka msimboa hakikisheni mnamaliza kazi!!

Gari ya Kwanza ilikuwa ya wanajeshi wanakuja kutahamaki jamaa hawa hapa Mita chache Tu kazi ikaanzia hapo risasi zikatembea sana gari zikapigwa rusasi matairi zinapoteza mwelekeo wazungu na wabongo wapo humo ndani ikabidi washuke waanze kukimbilia maporini zile za nyuma zikageuka kurudi msimboa gari zilizobaki zikapigwa moto xo kwenye Hilo tukio ikasemekana hamna kifo zaidi ni majeruhi na vifo ni Kwa wale abiria walotekwa kwenye hiece!!

Basi baada ya hilo tukio kampuni ikatangaza hali ya hatari hvyo kazi ikafungwa kwa mda usiojulikana wafanyakazi maelfu wakarudishwa majumbani mpka watakapoitwa tena;mwezi wa 6/2019wakaanza kuita wafanyakazi kdgo kdgo na hapo ndo taarifa zikaanza kusikika kwamba boss wa SASA ni TOTAL na sio ANADARKO tena na kweli mana uniform zote zikabadilishwa kwa wafanyakazi na kuwa na jina la total na sio anadarko tena mabango na matangazo huo ndo ukawa mwisho wa Mmarekani kuwepo palma akabaki mfaransa Total Mpka Kesho!!

Sasa mfaransa kaenda hali ndo ikazidi kuwa mbaya mpaka 2020 mambo yakawa magumu zaidi corona inapiga alshababy wanapiga sio mchezo kazi ikawa ngumu mara kupunguza wafanyakazi wengine wakawa wanakimbia wenywe coz ya usalama ni mdgo na alshababy wakapiga wilaya zote za pwani wananchi wakakimbia msimboa ikateketezwa kama mlivyoona na mwisho mwaka huu march wakapiga palma kitovu cha kazi na kazi ikaishia hapo mpka Kesho ndo hvyo tunaon a majeshi yetu yanapambana!;

Mwisho tutafute logic ktk Hilo swali lako mkuu je inawezekana wanatuchezea mchezo kutokana na maelezo yangu hapo juu?hicho ndo nnachokifahamu kwa ufupi Tu;mwanzo tulikuwa tunaamini mchezo unachezwa na mmarekani mwenywe ila SASA akaingia total ni yaleyale SASA hii imekaaje?na kama ni wao vipi wanaweza ruhusu mchezo uchezwe mpka kwenye pesa Yao?maana alshababy kuipiga palma mpka kazi imesimama hiyo ni akili kweli?kwamba wamewatuma waingie mpka kwenye himaya Yao!?anyway ya Mungu Mengi tuombe Mungu mission iwe possible Maisha yaendelee Hilo ndo la muhimu!!na log off!!
Aisee umejua kukata kiu.Na mwenye masikio asikie,mwenye macho asome.
 
Rwanda hajamaliza mchezo ila amesaidia kuwaondoa magaidi kwenye mji wa gesi wa Macimboa da Praia ili viwanda vya kuzalisha mafuta viweze kuendelea na shughuli zao bila hofu.

Majeshi ya Rwanda yalikuwa na kazi hiyo ya kuwarudisha magaidi msituni bila kutumia silaha.

Vifaa na mbinu za kisasa kama nilizosema ndizo zimesaidia.

Hiyo ilikuwa ni moja ya mission na task kwa Rwanda, itayofuata ndiyo itasema majeshi yote kwa pamoja yamemaliza mchezo au la.

Na pia kinachofuata ni Guerrilla warfare ambayo majeshi yote likiwemo la JWTZ watashiriki.

Ndo maana Jenerali Kazura alikuja Tanzania kuangalia kama kila kitu is in order kabla ya kazi kuanza.

Na moja ya kipengele kwenye mazungumzo ya Kigali baina ya viongozi wetu ni upangaji jinsi operesheni zitakavyokwenda.

Wewe wafikiri baadhi ya vyombo vya majirani zetu wote vinapitia wapi vikitoka kwa Uncle Sam na kwingine?
Kuyarudisha magaidi msituni bila kutumia silaha hapo umemaanisha Nini mkuu?
 
Kuyarudisha magaidi msituni bila kutumia silaha hapo umemaanisha Nini mkuu?
Hazikupigwa risasi magaidi waliamua wenyewe kukimbia walipoona vikosi vya jeshi la Rwanda vyaingia uwanja wa mapigano.

Majeshi ya Rwanda yapatayo 1000 yaliingia kwenye mji huo na magaidi wakaambiwa kuwa kuna majeshi yaja na yapo kama kilomita tano hivi na ilipofika Jumapili asubuhi majeshi hayo yalikuta mji umepoa.

Wakakimbia bila kutupa risasi na sasa wapo maporini.
 
Tanzania ni sehemu ya kikosi kilichotumwa chini ya mwamvuli wa SADC kupambana na ugaidi katika mkoa wa kaskazini mwa Msumbiji wa Cabo Delgado.

Awali serikali kupitia waziri wa mambo ya nje Liberata Mulamula alisema kwamba Tanzania haitatuma wanajeshi Msumbiji na badala yake inasisitiza juu ya hitaji la mazungumzo kama njia ya kukuza amani na utulivu nchini Msumbiji.

Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania, JWTZ, Brigedia JeneraliJuma Sipe amethibitishia hili BBC akisema kuwa wakuu wa nchi za jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC walikwishaazimia kuwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo watasaidia kutatua tatizo linaloendelea nchini Msumbiji.

‘’Makubaliano hayo moja kwa moja yanaihusu pia Tanzania, ikumbukwe Tanzania kwa kihistoria imeisaidia sana Jamhuri ya Msumbiji katika mapambano yake ya kupata uhuru wake na hata baada ya uhuru, pia Tanzania imeshiriki katika harakati nyingi zimesaidia sana kutatua mgogoro uliokuwepo kati ya FRELIMO na RENAMO kwa hivyo tatizo la Msumbiji kwa sasa ni tatizo la kikanda na kimsingi kama Watanzania tuna wajibu wa kushirikiana na wanajumuiya ya SADC katika kutatua tatizo hili.’’ Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Haijabainishwa ni wanajeshi wangapi kutoka Tanzania wanashiriki operesheni hiyo nchini Msumbiji, lakini Brigedia Jenerali Sipe amesema kuwa majeshi yote (nchi zinazoshiriki) yanayokwenda yanayokadiriwa kuwa Brigedi moja yanaratibiwa chini ya SADC kwa ujumla wake.

‘’Kila nchi mwanachama ana kiasi Fulani ambayo itapeleka, wengine watapeleka kwenye hospitali, wengine watakwenda vikundi maalum vya majukumu ya aina mbalimbali, jeshi la wana maji n.k. ‘’ Alifafanua Brigedia Jenerali .

Tanzania inapeleka wataalam gani wa kijeshi?

‘’ Operesheni za kijeshi kwa kawaida huchukua vikundi vya aina zote kwa pamoja, vita si kama mechi ya mpira, bali operesheniwakati mnaendelea na mkakati hasa mkakati kama huu wa kupambana na vikundi visivyo rasmi kwa maana ya kwamba si majeshi, bali kikundi ambacho kina asili ya kigaidi kwahiyo wakati huohuo wapo wataalam ambao nao watahitajika ambao pia watasaidia kutathimini aina ya watu tunaokabiliana nao na namna bora ya kushauri ili vikundi vyetu viweze kufanya kazi vizuri zaidi''. Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Hatua hiiimeelezwa kuwa muhimu sana kwa uhusiano wa SADC na ukanda mzima kwa ujumla wake nanchi ya Msumbiji, vile vile usalama wa Msumbiji ni sawa na usalama wa nchi wanachama pia.

Operesheni hiyo ya miezi mitatu inahusisha wataalamu wa kijeshi na vifaa kutoka Afrika Kusini, Botswana, Angola, Tanzania, na Lesotho

Gharama ya awali ya operesheni hiyo ni dola milioni 12M.

Chanzo: BBC
Huyo Mulamula ndiye anayemsaidia rais kuharibu nchi na kuifanya chaka la wezi wanaowaita wawekezaji ndiyo maana anaongelea swala la kuongea na magaidi wa Msumbiji sijui Samia kamtoa wapi huyu na kumleta kwenye hiyo serikali na kumuweka kwenye nafasi ya vyuma
 
Huyo Mulamula ndiye anayemsaidia rais kuharibu nchi na kuifanya chaka la wezi wanaowaita wawekezaji ndiyo maana anaongelea swala la kuongea na magaidi wa Msumbiji sijui Samia kamtoa wapi huyu na kumleta kwenye hiyo serikali na kumuweka kwenye nafasi ya vyuma
Nafikiri suala la teuzi kwenye nafasi nyeti ukiwemo uteuzi wa balozi Mulamula ni ushauri kutoka wa kule mahala maarufu kama MSG.

Ila watu wengi walijuliza ina maana mteuliwa alikuwa akingojea hiyo nafasi au, la?
 
Ila tumefika pabaya na huu uteuzi hivi unajua huyu ndiyo wa kwanza kuonekana bungeni akiwa na barakoa ya blanketi na wabunge wote wakamuangalia kwa mshangao?? Ni kweli kila rais aingiapo huchagua timu yake lakini timu ya Samia nimbovu sana na haina maana bora hata angechukua timu yote ya WBC hasa hao wanauchumi wake waliomshauri kuwatoza kodi masikini hawana dini au hawajui watanzania zaidi ya asilimia 99 wanaishije na kwa hili huyu raisi hatufai tuemeni ukweli
 
Huyo Mulamula ndiye anayemsaidia rais kuharibu nchi na kuifanya chaka la wezi wanaowaita wawekezaji ndiyo maana anaongelea swala la kuongea na magaidi wa Msumbiji sijui Samia kamtoa wapi huyu na kumleta kwenye hiyo serikali na kumuweka kwenye nafasi ya vyuma
Rais wa Msumbiji mstaafu Chissano naona nae amesema mazungumzo ya amani ndio yatamaliza matatizo ya ugaidi huko Cabo Delgado.
 
Ila tumefika pabaya na huu uteuzi hivi unajua huyu ndiyo wa kwanza kuonekana bungeni akiwa na barakoa ya blanketi na wabunge wote wakamuangalia kwa mshangao?? Ni kweli kila rais aingiapo huchagua timu yake lakini timu ya Samia nimbovu sana na haina maana bora hata angechukua timu yote ya WBC hasa hao wanauchumi wake waliomshauri kuwatoza kodi masikini hawana dini au hawajui watanzania zaidi ya asilimia 99 wanaishije na kwa hili huyu raisi hatufai tuemeni ukweli
Barakoa ya blanketi ndio ikoje hio mkuu?
 
Hazikupigwa risasi magaidi waliamua wenyewe kukimbia walipoona vikosi vya jeshi la Rwanda vyaingia uwanja wa mapigano.

Majeshi ya Rwanda yapatayo 1000 yaliingia kwenye mji huo na magaidi wakaambiwa kuwa kuna majeshi yaja na yapo kama kilomita tano hivi na ilipofika Jumapili asubuhi majeshi hayo yalikuta mji umepoa.

Wakakimbia bila kutupa risasi na sasa wapo maporini.
Aisee masihara hayo?mpk miili ya waliouwawa iliwekwa mitandaoni.Au Kuna sehemu sijakusoma?


Rwandan forces reportedly kill 30 insurgents in Mozambique
26 July 2021, 9:56 PM | SABC | @SABCNews
moz-army-1-R.jpg

Image: Reuters

Soldiers manning their posts.
Rwandan forces have allegedly killed 30 insurgents after fierce fighting in Mozambique’s northern province of Cabo Delgado.

Mozambique’s president Filipe Nyusi has shared his appreciation to African countries for sending troops to help fight insurgents.

The Southern African Development Community (SADC) agreed in June to deploy troops to help quell the insurgency in the northern part of the country.

Rwandan soldiers, who arrived in Mozambique last week, have fought a series of engagements against the extremists resulting in the death of at least 30 insurgents.

Reports claim the insurgents have retreated towards the Tanzanian border.
The Rwandan troops are the first foreign military force in a direct combat role in the conflict.

Islamic State-linked militants have been waging an insurgency in Mozambique’s gas-rich northern zone for five years.
The size of the SADC deployment, as well as the number of soldiers sent by each member country, is not yet known.

According to the Mozambique government reports, the violence in Cabo Delgado has driven more than 800 000 people from their homes and claimed more than 2 000 lives.

Report by Daniel Kijo



SABC © 2021
 
Back
Top Bottom