Tanzania kupeleka vikosi vyake vya kijeshi Msumbiji

Tanzania kupeleka vikosi vyake vya kijeshi Msumbiji

Yani Rwanda washamaliza mchezo sisi ndio tunaenda mmmh
Maajabu makubwa sana!

Hasa unapofikiria hayo yanayosemekana yalisemwa na Waziri wa Mambo ya Nje, na mkanganyiko wenyewe unavyojionyesha!

Kuna jambo haliko sawa huko ndani ya serikali.

"Awali serikali kupitia waziri wa Mambo ya Nje Liberata Mulamula alisema kwamba Tanzania haitatuma wanajeshi Musumbiji na badala yake INASISITIZA JUU YA HITAJI LA MAZUNGUMZO, kama njia ya kukuza amani na utulivu nchini Msumbiji."
Kama haya yaliyoandikwa hapa ndiyo kweli yaliyosemwa na serikali ya Tanzania, kabla ya kujichanganya na kubadili upepo, hii itakuwa ni alama muhimu sana ni jinsi gani nchi hii imebadilika katika miaka hii michache ya hivi karibuni.

Hata hivyo: mbona sisi hatukai na kuzungumza na magaidi wetu kama akina Mbowe, na badala yake tunawaweka jela na kubadili mashataka mara kwa mara?

Yale magaidi ya Mkiru, tulikaa chini na kufanya mazungumzo nayo?
 
Si ujuaji wala ubishi kwani taarifa zote chanzo chake ni RDF.

Mimi nachambua, hivyo nazisoma habari hizo kwa umakini.

Usisahau, humu JF tupo watu wa aina zote.
Ulitaka taarifa hizo chanzo chake kiwe Nani?

Hebu tuonyeshe umakini wako kwa kutuwekea hapa independent sources zako za ku support unachokisema.
 
Ulitaka taarifa hizo chanzo chake kiwe Nani?

Hebu tuonyeshe umakini wako kwa kutuwekea hapa independent sources zako za ku support unachokisema.
Hiyo ni taarifa ya kwenye tweeter ya RDF ya tarehe 8 August 2021.







Rwanda Defence Force

@RwandaMoD

·
8 Aug

JUST IN: The port city of Mocímboa da Praia, a major stronghold of the insurgency for more than two years has been captured by Rwandan and Mozambican security forces. The city also holds the District Headquarters and Airport. END

Na hapo chini ni taarifa ya jana ya Jose Tembe ambae yupo Maputo akieleza hali halisi ilivyo huko Mocimboa da Praia, hivyo bado hana taarifa zozote kuhusu vifo vya magaidi.

Jose Tembe
BBC News, Maputo
The first broadcast pictures to come out of the recently retaken Mozambican port of Mocímboa da Praia show scenes of total destruction.
At the weekend, Mozambican troops, with the support of a force from Rwanda, captured the city in the north of the country from Islamist militants.
Officials say that it will take a long time before normal life can return to the city as the militants destroyed the infrastructure.

Hivyo kila mtu abaki na uelewa wake wa taarifa hizi.
 
Hivi baadhi yenu mnaopondea hii sadic ama JWTZ!!!

Mnadhan mnazo"""akil nyingi kuwapita hawa walipangalo

Achen sadic imalize huko:
 
Hiyo ni taarifa ya kwenye tweeter ya RDF ya tarehe 8 August 2021.



Rwanda Defence Force
@RwandaMoD
·
8 Aug

JUST IN: The port city of Mocímboa da Praia, a major stronghold of the insurgency for more than two years has been captured by Rwandan and Mozambican security forces. The city also holds the District Headquarters and Airport. END

Na hapo chini ni taarifa ya jana ya Jose Tembe ambae yupo Maputo akieleza hali halisi ilivyo huko Mocimboa da Praia, hivyo bado hana taarifa zozote kuhusu vifo vya magaidi.

Jose Tembe
BBC News, Maputo
The first broadcast pictures to come out of the recently retaken Mozambican port of Mocímboa da Praia show scenes of total destruction.
At the weekend, Mozambican troops, with the support of a force from Rwanda, captured the city in the north of the country from Islamist militants.
Officials say that it will take a long time before normal life can return to the city as the militants destroyed the infrastructure.

Hivyo kila mtu abaki na uelewa wake wa taarifa hizi.
😄😄😄 Kwa hio RDF waliposema wameua magaidi ukaona so kweli lkn walipokuja tena kusema wamekamata hio port ikawa Ni kweli?

Unawaongelea BBC hawahawa ambao mwezi wa 3 tu hapo waliandika hio article hapo chini na leo Delgado/Palma zimeshakombolewa tayari.

Mozambique: Why IS is so hard to defeat in Mozambique
By Frank Gardner
BBC security correspondent
Published31 March
Share
A message asking for help can be seen in the grounds of a hotel in Palma, where many locals and foreigners hid during the attack, in Mozambique, in this picture taken between March 24 and March 27, 2021, and obtained by Reuters on March 30, 2021.
IMAGE SOURCEDYCK ADVISORY GROUP/HANDOUT VIA REUTERS
image captionA message asking for help was seen on the grounds of a hotel in the town of Palma
The recent bloodthirsty raid by jihadist militants from the Islamic State group (IS) in northern Mozambique has shocked the world.
Hundreds of well-armed fighters were able to overrun a town close to Africa's largest gas project. They massacred dozens of people, locals and expatriates, leaving decapitated bodies strewn around the streets.
So how was this able to happen, why can the Mozambican government not control this insurgency and what will it take to defeat it?

Who are the insurgents?​

They call themselves al-Shabab, an Arabic word for "the young men" or "the lads". This is misleading as they are not the same group as Somalia's al Qaeda-linked insurgents who also go by that name. Instead, this group pledged allegiance in 2019 to the rival IS group, based in Iraq and Syria. They have adopted the title of Islamic State Central Africa Province (ISCAP), which again is misleading since Mozambique is not part of Central Africa.
ADVERTISEMENT

In a pattern that has repeated itself elsewhere in the world, such as in Mali, Iraq and Nigeria, this insurgency grew out of local people's grievances at feeling marginalised and discriminated against by their own government.
Mozambique's Cabo Delgado province, where they operate, is more than 1,600 km (990 miles) away from the capital Maputo but it contains the largest and richest Liquid Natural Gas (LNG) project in Africa. Operated by the French company Total, it is estimated to be worth US$60bn (£44bn) with investment from countries including the UK.

Local residents complain they have seen little of this wealth or investment passing down into their community which prompted the beginnings of the insurgency in 2017, later becoming "internationalised" as they gained support from IS.

media captionRunning from terror in north-east Mozambique
Scruffily dressed and with no definable uniform, the jihadists who overran the town of Palma last weekend were nevertheless well-armed with assault rifles and rocket-propelled grenades. From the videos later posted online by IS, their one unifying feature appears to be the red bandanas that many wore around their foreheads to denote a significant raid.
They were also sufficiently well-motivated and led to have launched a successful multi-pronged attack that quickly overcame the ineffective security provided by the Mozambican government.
"Even though it is a local jihadist insurgency," says Olivier Guitta, a geopolitical risk analyst with GlobalStrat and expert on jihad in Africa, "al-Shabab has established links to Islamist militias in East Africa. Radical spiritual leaders there have assisted with the religious and even military training of youths in northern Mozambique."
Aida Cisto, a 29 years old woman displaced from Palma, who spent 4 days hidden in the forest with her one month old daughter Jacinta da Esperanca, arrives at Pemba Airport, Mozambique, 30 March 2021.
IMAGE SOURCEEPA
image captionPeople have been evacuated from Palma to the port town of Pemba following the raid
So this insurgency is essentially a local one that has opportunistically cloaked itself in the banner of IS and then attracted world attention through its graphic violence and by its proximity to such an important commercial project.

What will it take to defeat them?​

A great deal more effort than has been made so far is the answer.

Recognising it had a serious problem, Mozambique's government hired more than 200 military "advisers" from the formidable Russian private military contractors, the Wagner Group, in September 2020.
These mostly ex-Russian Special Forces soldiers have operated with a nod of approval from the Kremlin in Syria, Libya and elsewhere. They brought with them drones and data analytics but, as Olivier Guitta points out, things did not turn out as they had expected.
Map

line

"After suffering a series of ambushes and nearly a dozen reported deaths in several battles in densely forested districts of Cabo Delgado, the Russian private military contractors have gone into a strategic retreat."
The most immediate problem is the weakness of Mozambique's own security forces and perhaps a misplaced complacency on the part of its political leaders.
Brigadier Ben Barry from the International Institute for Strategic Studies (IISS) says IS militants have a proven ability in fighting in built-up areas that is proving a challenge for Mozambique and its partners.
"Success in urban warfare requires government forces to have high standards of leadership and training in urban tactics. These factors may explain the apparent weakness of Mozambique forces. They seem to lack the support of Western military advisers and the ability to use air power, precision weapons and armoured vehicles, all essential for the eviction of IS forces from Iraqi and Syrian towns and cities."

The remains of a burned and destroyed home is seen in the recently attacked village of Aldeia da Paz outside Macomia, on August 24, 2019.
IMAGE SOURCEAFP
image captionPeople have been forced to flee their homes, many of which have been destroyed, during the three-year insurgency in northern Mozambique (file photo)
In recent days the Pentagon has sent a small detachment of Green Beret Special Forces trainers to bolster the efforts of Mozambique's military and Portugal, the former colonial power, has also pledged a small number of army trainers. France is reportedly monitoring the situation from its nearby island of Mayotte and South Africa is taking a close interest in its neighbour. However, any major military involvement by Western powers carries its own risks.
"As we have seen elsewhere in northwest Africa," says Benjamin Petrini, a research fellow at IISS, "a large foreign military presence may further exacerbate the conflict politically and the instability."
But he adds that "the role of South Africa [whose private military contractors rescued many of the trapped workers from the recent raid] as a regional peace enforcer may also be considered".
IS tactics are typically brutal and horrific. Unlike al-Qaeda which, while still murderous in its actions, often makes some effort to build local support, these insurgents have carried out bloodthirsty raids on local communities, indiscriminately slaughtering and beheading civilians. In one raid this year not even an 11-year-old boy was spared being killed in front of his mother.
In the short term this establishes a fearsome reputation, with perhaps an exaggerated cloak of invincibility. But in the longer term few insurgencies can progress without local support. Al-Qaeda in Iraq made the mistake of so terrorising the local Sunni Muslim population in Anbar province in 2007 - such as cutting off men's fingers for the simple offence of smoking a cigarette - that the US-led Coalition there was able to persuade local tribes to rise up against al-Qaeda in what became known as "the Awakening".
In Mozambique it may well take something similar. Counter-insurgency is never just about military victories, it involves that old cliché of "winning hearts and minds". So to defeat this insurgency, yes, it will initially take a properly equipped and co-ordinated campaign by Mozambique's own forces, with foreign logistic assistance. But for it to succeed in the long term it will take far more than that.
Militants in the area

image captionMilitants have been battling the Mozambican army around Palma for days
It needs good governance and investment in the local community: schools, roads, jobs - enough to assuage people's sense that they have been abandoned by their government while big foreign multinationals sweep in and reap the benefits of their country's precious natural resources.
In Afghanistan I saw how tactical military victories over the Taliban by Nato and Afghan government forces were later undone by a failure of government. Areas "liberated" from Taliban rule later slipped back under their sway once the troops departed and corrupt police and government officials resumed their nefarious activities at the expense of the local population.
The same will happen in Mozambique if the coming military effort is not backed up by a marked improvement in civil affairs.

What if…​

Mozambique's jihadists appear to be aiming to create their own self-declared "caliphate" in Cabo Delgado province, just as IS did in Mosul back in 2014.
The possibility that they could ever succeed in gaining control over a $60bn gas project is almost unthinkable.
People wait on the outskirts of the seaport of Pemba on March 30, 2021 for the possible arrival of their families evacuated from the coasts of Afungi and Palma after the attack by armed forces against the city of Palma on March 24, 202
IMAGE SOURCEAFP
image captionPeople at the port of Pemba have been waiting for the possible arrival of loved ones evacuated from Palma
While it is hard to see how they would ever be able to manage and export from it by conventional means it could still give them enormous economic power, funding future operations and perhaps funnelling money back to IS central in Iraq and Syria.
It took five years and a horrendous toll in lives for a coalition of 83 nations to finally defeat the last of the IS "caliphate" in Syria. When it was over, world leaders said IS must never again be allowed to build such a caliphate.
If Mozambique's insurgency is not defeated then that promise will be put to the test.

 
Tulienda kabla ya twanda

hatukua na makelele

hakua hata waziri wakati tunaenda kule

alikua kitaani
Kama ni hivyo, HESHIMA!

Lakini itakuwaje tukae huko miaka pasiwepo na lolote la maana, lakini Rwanda aende hata kabla ya wiki kuisha akomboe bandari na miji?
Inaingiaje akilini hiyo!
 
Kama ni hivyo, HESHIMA!

Lakini itakuwaje tukae huko miaka pasiwepo na lolote la maana, lakini Rwanda aende hata kabla ya wiki kuisha akomboe bandari na miji?
Inaingiaje akilini hiyo!
Towards the end of last year yalifanyika makubwa sana baada ya wale jamaa kuvuka border
1. Tuliwatandika directly
2. With sadc tuliwatandika zaiei

there were no television then only actions
 
Towards the end of last year yalifanyika makubwa sana baada ya wale jamaa kuvuka border
1. Tuliwatandika directly
2. With sadc tuliwatandika zaiei

there were no television then only actions
Nakumbuka mwezi mmoja baada ya wale jamaa kuvamia kitaya kuna vyombo vya habari vya nje vililipoti uwepo wa mapambano makali mpakani na baadae yakahamia ndani ya msumbiji kabisa so nakubaliana na wewe
 
Hivi unaaamini kabisa kwmaba,nchi zote za SADC ziliogopa kupereka wanajeshi,mpaka Rwanda aende kwanza?!!give us a bleak,don't be naive!

Vita ya huko ilianza kitambo sana, Rwanda ameenda hatua za mwisho? Ini mtu mwepesi anaweza kuamini kwamba vikosi vya Rwanda ni bora na imara kuriko vikosi vya South Afrika, na Tanzania ambao wanampaka na Msumbiji.

Vita ya ukombozi ya kusini mwa Afrika, JWTZ ilianza zamani, wakati huo majeshi ya makaburu yalikuwa yanapata msaada kutoka USA,na UK, tuliwachapa wale, sembuse Hawa islamists
Mkuu usilete hadithi za zamani, watu wainaitbua Rwanda
 
Tanzania ni sehemu ya kikosi kilichotumwa chini ya mwamvuli wa SADC kupambana na ugaidi katika mkoa wa kaskazini mwa Msumbiji wa Cabo Delgado.

Awali serikali kupitia waziri wa mambo ya nje Liberata Mulamula alisema kwamba Tanzania haitatuma wanajeshi Msumbiji na badala yake inasisitiza juu ya hitaji la mazungumzo kama njia ya kukuza amani na utulivu nchini Msumbiji.

Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania, JWTZ, Brigedia Jenerali Juma Sipe amethibitishia hili BBC akisema kuwa wakuu wa nchi za jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC walikwishaazimia kuwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo watasaidia kutatua tatizo linaloendelea nchini Msumbiji.

‘’Makubaliano hayo moja kwa moja yanaihusu pia Tanzania, ikumbukwe Tanzania kwa kihistoria imeisaidia sana Jamhuri ya Msumbiji katika mapambano yake ya kupata uhuru wake na hata baada ya uhuru, pia Tanzania imeshiriki katika harakati nyingi zimesaidia sana kutatua mgogoro uliokuwepo kati ya FRELIMO na RENAMO kwa hivyo tatizo la Msumbiji kwa sasa ni tatizo la kikanda na kimsingi kama Watanzania tuna wajibu wa kushirikiana na wanajumuiya ya SADC katika kutatua tatizo hili.’’ Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Haijabainishwa ni wanajeshi wangapi kutoka Tanzania wanashiriki operesheni hiyo nchini Msumbiji, lakini Brigedia Jenerali Sipe amesema kuwa majeshi yote (nchi zinazoshiriki) yanayokwenda yanayokadiriwa kuwa Brigedi moja yanaratibiwa chini ya SADC kwa ujumla wake.

‘’Kila nchi mwanachama ana kiasi Fulani ambayo itapeleka, wengine watapeleka kwenye hospitali, wengine watakwenda vikundi maalum vya majukumu ya aina mbalimbali, jeshi la wana maji n.k. ‘’ Alifafanua Brigedia Jenerali .

Tanzania inapeleka wataalam gani wa kijeshi?

‘’Operesheni za kijeshi kwa kawaida huchukua vikundi vya aina zote kwa pamoja, vita si kama mechi ya mpira, bali operesheniwakati mnaendelea na mkakati hasa mkakati kama huu wa kupambana na vikundi visivyo rasmi kwa maana ya kwamba si majeshi, bali kikundi ambacho kina asili ya kigaidi kwahiyo wakati huohuo wapo wataalam ambao nao watahitajika ambao pia watasaidia kutathimini aina ya watu tunaokabiliana nao na namna bora ya kushauri ili vikundi vyetu viweze kufanya kazi vizuri zaidi''. Alisema Brigedia Jenerali Sipe.

Hatua hiiimeelezwa kuwa muhimu sana kwa uhusiano wa SADC na ukanda mzima kwa ujumla wake nanchi ya Msumbiji, vile vile usalama wa Msumbiji ni sawa na usalama wa nchi wanachama pia.

Operesheni hiyo ya miezi mitatu inahusisha wataalamu wa kijeshi na vifaa kutoka Afrika Kusini, Botswana, Angola, Tanzania, na Lesotho

Gharama ya awali ya operesheni hiyo ni dola milioni 12M.

Chanzo: BBC
Mkuu utapata adhabu kama ile ya UHURU
 
Back
Top Bottom