Tanzania kupinga mipango ya Kenya kujenga mabwawa ya kuzalisha umeme na umwagiliaji Mto Mara

Tanzania kupinga mipango ya Kenya kujenga mabwawa ya kuzalisha umeme na umwagiliaji Mto Mara

We can build artificial water system from Lake Victoria incase they build hydropower system! BTW we can do the same for the river water to Amboseli from Mt Kilimanjaro.
 
Kenya did the same on the Gibe dam on river Omo and the dam was built anyway. The dams do have a temporary effect downstream but things eventually normalize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna shida kujenga bwawa kuwapatia wananchi umeme.. Hata sisi tumeamua kuanza kujenga Mradi wa Stiegler’s Gorge kule Selou ambayo ni mbuga. Tunajenga barabara kupitia Serengeti hiyo hiyo pamoja na kelele za chura kuwa nyingi. Nchi ikiamua kufanya maendeleo ni kwa manufaa ya wananchi wake.Wasambaa wana msemo wao " mtu hunya kile alichokula"
 
Kenya did the same on the Gibe dam on river Omo and the dam was built anyway. The dams do have a temporary effect downstream but things eventually normalize

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahaaa haaa haaa
You sounds a learned dude. If that is the case, a temporal effect, then no problem.
However the EIA will give us a clear picture.
 
Ahaaa haaa haaa
You sounds a learned dude. If that is the case, a temporal effect, then no problem.
However the EIA will give us a clear picture.
Thanks. You do know they do an ecological survey and social impact studies before undertaking any project. Gibe saw a reduction of 50cm in Lake Turkana depth. With no increase in salinity whatsoever. Yet critics said the lake will see a decrease of 10M in depth.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom