Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Elimu Tanzania imegeuka kichekesho maana hakuna anae jali sana kuhusu umuhimu wa elimu. Watu hawataki tena kujifunza na kutatua changomoto za jamii ila wanatafuta vitu ili kujitoa kwenye midomo ya wacheshi.
Ajabu hii wasomi wanadharauliana wao kwa wao kila mmoja anamuona mwenzie kilaza. Kumeibuka kundi la darasa la Saba B hawa ni wale waliobahatika kupata pesa pasipo kuwa na elimu kubwa hawa wanawaona wasomi kuwa ni vilaza tu. Elimu, Elimu, Elimu iko taabani Nani wa kutunusuru?.
Wasome wamegeuka kechekesho( laughing stock ) wao wao kwa wao wanaparuana na kulaumiana sijui tatizo nini? Anaemlaumu mwenzie ana wajibu wa kufanya anachokataka mwenzie afanye.
Ajabu hii wasomi wanadharauliana wao kwa wao kila mmoja anamuona mwenzie kilaza. Kumeibuka kundi la darasa la Saba B hawa ni wale waliobahatika kupata pesa pasipo kuwa na elimu kubwa hawa wanawaona wasomi kuwa ni vilaza tu. Elimu, Elimu, Elimu iko taabani Nani wa kutunusuru?.
Wasome wamegeuka kechekesho( laughing stock ) wao wao kwa wao wanaparuana na kulaumiana sijui tatizo nini? Anaemlaumu mwenzie ana wajibu wa kufanya anachokataka mwenzie afanye.