Tanzania kusoma imekuwa nongwa sana sijui tufanyeje

Tanzania kusoma imekuwa nongwa sana sijui tufanyeje

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Elimu Tanzania imegeuka kichekesho maana hakuna anae jali sana kuhusu umuhimu wa elimu. Watu hawataki tena kujifunza na kutatua changomoto za jamii ila wanatafuta vitu ili kujitoa kwenye midomo ya wacheshi.

Ajabu hii wasomi wanadharauliana wao kwa wao kila mmoja anamuona mwenzie kilaza. Kumeibuka kundi la darasa la Saba B hawa ni wale waliobahatika kupata pesa pasipo kuwa na elimu kubwa hawa wanawaona wasomi kuwa ni vilaza tu. Elimu, Elimu, Elimu iko taabani Nani wa kutunusuru?.

Wasome wamegeuka kechekesho( laughing stock ) wao wao kwa wao wanaparuana na kulaumiana sijui tatizo nini? Anaemlaumu mwenzie ana wajibu wa kufanya anachokataka mwenzie afanye.
 
Ili wasomi waheshimike popote pale duniani kwanza lazima wao kama wao wajisimamie, wasiwe wanafiki pia siasa iwe nje ya taaluma zao na pia tuone matokeo ya elimu zao kwenye jamii yetu maana wasomi ndo dira ya kesho, tofauti na hapo mnakuwa hamna utofauti na watu ambao hawajaenda shule
 
Ili wasomi waheshimike popote pale duniani kwanza lazima wao kama wao wajisimamie, wasiwe wanafiki pia siasa iwe nje ya taaluma zao na pia tuone matokeo ya elimu zao kwenye jamii yetu maana wasomi ndo dira ya kesho, tofauti na hapo mnakuwa hamna utofauti na watu ambao hawajaenda shule
Lakini pia tambua msomi sio malaika kuweza kufanya miujiza kuna vitu vingi vinachagiza manadiliko vinaweza kumkwamisha kama kama mazingira ya siasa na ukosefu wa mitaji.
 
La Saba B ogopa sana, unakuta ni jinsia Ke anaokoteza tu 5,000/- ya connection za mjini kila siku kwa vichwa 100 analamba 500,000 kwa Mwezi piga 500,000×30=? yupo mbali kafungua duka la nguo na viatu, we unashangaa tu anawaka kazi ajayofanya haiendani na alivyonavyo, hujui Pesa anatoa wapi kumbe bonge moja la tapeli Mjini wengine wanauza Papa

La Saba B Juzi wameitwa ndio wanahabari wa kisasa alafu wale walioenda darasani wakaitwa wanahabari wa zamani
🔨
 
La Saba B ogopa sana, unakuta ni jinsia Ke anaokoteza tu 5,000/- kila siku kwa vichwa 100 analamba 500,000 kwa Mwezi piga 500,000×30=? yupo mbali kafungua duka la nguo na viatu, we unashangaa tu anawaka kazi ajayofanya haiendani na alivyonavyo, hujui Pesa anatoa wapi kumbe bonge moja la tapeli Mjini wengine wanauza Papa

La Saba B Juzi wameitwa ndio wanahabari wa kisasa alafu wale walioenda darasani wakaitwa wanahabari wa zamani
[emoji375]
Wale hata watu 5 kwa siku hawapati maana ni wengi kuliko wateja
 
La Saba B ogopa sana, unakuta ni jinsia Ke anaokoteza tu 5,000/- ya connection za mjini kila siku kwa vichwa 100 analamba 500,000 kwa Mwezi piga 500,000×30=? yupo mbali kafungua duka la nguo na viatu, we unashangaa tu anawaka kazi ajayofanya haiendani na alivyonavyo, hujui Pesa anatoa wapi kumbe bonge moja la tapeli Mjini wengine wanauza Papa

La Saba B Juzi wameitwa ndio wanahabari wa kisasa alafu wale walioenda darasani wakaitwa wanahabari wa zamani
🔨
Hahaha inasemekana ndio wamehodhi asilimia 40 ya uchumi wetu
 
Ili wasomi waheshimike popote pale duniani kwanza lazima wao kama wao wajisimamie, wasiwe wanafiki pia siasa iwe nje ya taaluma zao na pia tuone matokeo ya elimu zao kwenye jamii yetu maana wasomi ndo dira ya kesho, tofauti na hapo mnakuwa hamna utofauti na watu ambao hawajaenda shule
Uzi ufungwe
 
n
Lakini pia tambua msomi sio malaika kuweza kufanya miujiza kuna vitu vingi vinachagiza manadiliko vinaweza kumkwamisha kama kama mazingira ya siasa na ukosefu wa mitaji.
nyinyi ndo wasomi vilaza, hizi zote mbili sio hoja ni uchafu tu.. mazingira mabaya ya kisiasa na ukosefu wa mitaji yanatibiwa kirahisi zaidi na elimu kuliko ujinga.....just note it;.. education is most effective weapon we can cary in any war....just refers to education and revolution
 
n

nyinyi ndo wasomi vilaza, hizi zote mbili sio hoja ni uchafu tu.. mazingira mabaya ya kisiasa na ukosefu wa mitaji yanatibiwa kirahisi zaidi na elimu kuliko ujinga.....just note it;.. education is most effective weapon we can cary in any war....just refers to education and revolution
Ungeongea kwa mifano inayoanzia kwako ingekuwa bora zaidi, kwenye jamii ambayo ni monopolized vipaji vingi vinafia nyumbani bila kuonekana wala kuwa lifted. Unachotaka wengine wafanye hata wewe unaweza unless unataka kuwa observer
 
wale waliokuwa wanatamani kupata division 1-3 ya kurisiti.

huu ndiyo muda wake. elimu ya Bongo imeshashuka thamani
 
Kusoma wengi tumesoma, ila wachache tuliosoma ndio tuna pesa, shida ya kusoma bila kujua kuitumia elimu na kuogopa kuchekwa ndio hiyo.

Mimi nimesoma degree chuo ya miaka mitano, na nikaenda kuuza duka Kariakoo wakati nasubiri matokeo ya Chuo yatoke. Kweli hapa duniani usione aibu kisa umesoma, vinginevyo kutoboa ni ngumu, elimu isiwe ulemavu!
 
Elimu Tanzania imegeuka kichekesho maana hakuna anae jali sana kuhusu umuhimu wa elimu. Watu hawataki tena kujifunza na kutatua changomoto za jamii ila wanatafuta vitu ili kujitoa kwenye midomo ya wacheshi.

Ajabu hii wasomi wanadharauliana wao kwa wao kila mmoja anamuona mwenzie kilaza. Kumeibuka kundi la darasa la Saba B hawa ni wale waliobahatika kupata pesa pasipo kuwa na elimu kubwa hawa wanawaona wasomi kuwa ni vilaza tu. Elimu, Elimu, Elimu iko taabani Nani wa kutunusuru?.

Wasome wamegeuka kechekesho( laughing stock ) wao wao kwa wao wanaparuana na kulaumiana sijui tatizo nini? Anaemlaumu mwenzie ana wajibu wa kufanya anachokataka mwenzie afanye.
Elim yetu inatufanya tuwe watumwa
 
La Saba B ogopa sana, unakuta ni jinsia Ke anaokoteza tu 5,000/- ya connection za mjini kila siku kwa vichwa 100 analamba 500,000 kwa Mwezi piga 500,000×30=? yupo mbali kafungua duka la nguo na viatu, we unashangaa tu anawaka kazi ajayofanya haiendani na alivyonavyo, hujui Pesa anatoa wapi kumbe bonge moja la tapeli Mjini wengine wanauza Papa

La Saba B Juzi wameitwa ndio wanahabari wa kisasa alafu wale walioenda darasani wakaitwa wanahabari wa zamani
🔨
twafaaaa
 
Ungeongea kwa mifano inayoanzia kwako ingekuwa bora zaidi, kwenye jamii ambayo ni monopolized vipaji vingi vinafia nyumbani bila kuonekana wala kuwa lifted. Unachotaka wengine wafanye hata wewe unaweza unless unataka kuwa observer
ni moja pia kati ya upumbavu uliopo kwa baadhi ya wasomi, coping and paste,...kwahiyo nikikuambia mimi baada ya masomo yangu nilizama chimbo kusaka capital kwa miaka mitatu,..inamaana na ww now utataka uende,..?
 
Back
Top Bottom