GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Halafu JF Mods wameanza tabia ya kufuta nyuzi zinazofichua uozo....So 😭Uzi ufungwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu JF Mods wameanza tabia ya kufuta nyuzi zinazofichua uozo....So 😭Uzi ufungwe
Afadhali umeliona hili. Sasa nawe kuwa mfano mwema. Tulijidanganya na kuamini kwamba ukeshasoma unakuwa umepata kibali cha kudharau wengine. Sasa naomba kila mmoja awe mfano kwa wengine na isiishie kulalamika tu.Elimu Tanzania imegeuka kichekesho maana hakuna anae jali sana kuhusu umuhimu wa elimu. Watu hawataki tena kujifunza na kutatua changomoto za jamii ila wanatafuta vitu ili kujitoa kwenye midomo ya wacheshi.
Ajabu hii wasomi wanadharauliana wao kwa wao kila mmoja anamuona mwenzie kilaza. Kumeibuka kundi la darasa la Saba B hawa ni wale waliobahatika kupata pesa pasipo kuwa na elimu kubwa hawa wanawaona wasomi kuwa ni vilaza tu. Elimu, Elimu, Elimu iko taabani Nani wa kutunusuru?.
Wasome wamegeuka kechekesho( laughing stock ) wao wao kwa wao wanaparuana na kulaumiana sijui tatizo nini? Anaemlaumu mwenzie ana wajibu wa kufanya anachokataka mwenzie afanye.