Tanzania kusoma imekuwa nongwa sana sijui tufanyeje

Elimu haijatusaidia.Kwenye swala la fikra,kutenda na maamuzi kuna tofauti ndogo sana kati ya aliyesoma na ambaye hajasoma.Ndo maana tumeweka ushabiki wa kisiasa na burudani mbele zaidi kuliko elimu na maendeleo.Elimu kubwa imebaki kujitambia tu ila haina kikubwa chakufanya kwenye jamii.
 
Afadhali umeliona hili. Sasa nawe kuwa mfano mwema. Tulijidanganya na kuamini kwamba ukeshasoma unakuwa umepata kibali cha kudharau wengine. Sasa naomba kila mmoja awe mfano kwa wengine na isiishie kulalamika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…