Tanzania kuwa Donor country kwenye sector ya Afya

Lakini watanzania hawapati huduma ipasavyo chakula kizuri kwa mgeni watoto watakuja kilicho bakia
 
Unaambiwa ndani ya miaka 50 kumejengwa hospital 77 wilayani, alafu ndani ya mwaka mmoja zimejengwa hospital 67.
Alafu ulivo mchawi mnafiki, unawapongeza makwapa na kikwete waliopiga hela kibindoni.
Nimeamini ww ni mchawi
Kwani Mkapa na kikwete walikuwa CHAUMA?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kawashika pabaya
Siyo ujanja kijana. You need to dance with the music. Sasa ubaleta michezo ya vanga kwenye mdumange!! Why don't you concentrate kwenye jukwaa la siasa!! Maana kwa sasa jukwaa hilo halipo tofauti na umbea.
Ujuaji mwingi mbele kiza.
 

Mambo yanazidi kuwaka kila kona. Sasa hivi hospital ya Mhumbili imekuwa mkombozi kwa nchi za Afrika. Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Comoros, Malawi, Msumbiji, Congo, Zambia nk. Kimbilio lao kwa sasa ni Muhimbili.
Viva magufuli
 
Siyo ujanja kijana. You need to dance with the music. Sasa ubaleta michezo ya vanga kwenye mdumange!! Why don't you concentrate kwenye jukwaa la siasa!! Maana kwa sasa jukwaa hilo halipo tofauti na umbea.
Ujuaji mwingi mbele kiza.
.
 
i think hizo hospital ndio tenda zimeanza kutangazwa mwezi wa saba katafute you tube ya millard ayo mh jafo aliongea ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…