HahahahBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
Unajua madhara ya kiuchumi wewHivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Ndugu yangu usiombe. Angalia Venezuela na Iran. Usiombe yatufike. Bora jiwe atokeHivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Hawa jamaa, hawana akili za my contain haya matatizo diplomaticallyDuh ila vikwazo tukiwekewa tutahenyeshwa!
Diplomasia inahitajika
Ova
Kum- harass balozi wa EU, lilikuwa ni moja ya kosa kubwa sana kama kutia chumvi kwenye kidonda, hivyo ni lazima watunyooshe.Duh ila vikwazo tukiwekewa tutahenyeshwa!
Diplomasia inahitajika
Ova
Kweli kbsa .....ila acha tuhenyeshweKum- harass balozi wa EU, lilikuwa ni kosa kubwa sana hivyo ni lazima watunyooshe.
Kwahiyo kuwapa kazi ni lazima,shenzi zaoStiegle's goarge unapowapatia waarabu unafikiri EU/USA watafurahi iwapo UNITED FRONT tukichukua Dola 2020 kazi za ujenzi wa Hydroelectric dam tutawapa waIsraeli.