imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Lissu nae anatroti utakuwa uchaguzi wa kidemokrasia haswa Membe vs Lissu the Great huku USA/EU wakiusimamia uchaguzi kudaaadeki.Rais Membe atayanyoosha 2020, baby don’t worry.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu nae anatroti utakuwa uchaguzi wa kidemokrasia haswa Membe vs Lissu the Great huku USA/EU wakiusimamia uchaguzi kudaaadeki.Rais Membe atayanyoosha 2020, baby don’t worry.
Mabomu hapana viongozi wote wa CCM wawekewe vyikwazo vya kusafiri nchi za nje Pamoja na baadhi ya wakuu wa mikoa
Spika wa Bunge nae vikwazo tuone
Licha ya kutoeleweka kwa bandiko lako, lakini hujui chochote ulichokiweka hapa. Hata hiyo 'Trade embargo' inaonyesha huijui, unaisikia tu.MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Ziko mbinu nyingi mkuu, kweni Hugo Chavez alipigwa Bomu, teknolojia iko mbali sana "mionzi" tu kitu kinanyooka.Unadhani Mulla na osama bila mabomu wangelinyooka? Vikwazo havitawaathiri maana watapata kila kitu wanachokihitaji, sisis makabwela ndio tutaumia. Lkini bomu litamshitua sana.... atabadilika
Maneno ya balozi yanasapoti andiko lakoBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Maongezi ya kina! Anayeweza kukupa taarifa kama hizo ni mtu wa ngazi za juu za serikali. Lakini nikiangalia unavyoandika sioni kama wewe uko kiwango cha kuweza kuzungumza na mtu wa kiwango hicho. UKo chini sana! Labda tu, you are just wishing.Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
niko nyuma hivi Hugo yuko wapi? alifanywaje? sorry........................... he is dead!.....Hugo Chávez, the 62nd President of Venezuela, died on 5 March 2013 at the age of 58.......... Ila sijui alikufa na nini!Ziko mbinu nyingi mkuu kweni Hugo Chavez alipigwa Bomu teknolojia iko mbali sana "mionzi" tu kitu kinanyooka.
Atoke kwa sababu gani. Endeleeni kujitia ulofa mkidhani mnauhalali na wazungu wenuNdugu yangu usiombe. Angalia Venezuela na Iran. Usiombe yatufike. Bora jiwe atoke
Mkuu naona kama unanisanifu point yangu ni Dakta wetu asicheze na CIA.niko nyuma hivi Hugo yuko wapi? alifanywaje? sorry........................... he is dead!.....Hugo Chávez, the 62nd President of Venezuela, died on 5 March 2013 at the age of 58.......... Ila sijui alikufa na nini!
Ndio nilichoambulia.WALAHI
Inawezekena tusibishe kila kitu kwa mahaba. Lazima tukijikwaa tujuwe tumejikwaa wapi tujisahihishe. Siyo mbaya kujifunza kupitia makosa ni uungwana na ni sahihi. Kufanya makosa na kujaribu tena kufanya kosa lile tena makusudiBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Tumeanza kupiga hatua mbele kidogo kama ishara ya kutaka kutoka kwenye minyororo ya ubeberu lakini naona mabeberu wameungana pamoja na wanawatumia vibaraka wao dhidi yetu. We need Economic IndependenceBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
UNITED FRONT ndio habari ya MujiniHaya mambo humu JF huwa yanaanza kiutani utani hivi hivi.
Hapana sikusanifu, najua Hugo alikuwa na uadui mkubwa na USA, ila imenitoka kidogo kuwa alishakufa...Mkuu naona kama unanisanifu point yangu ni Dakta wetu asicheze na CIA.