Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Diplomasia ndio nini?! Wanaifanyaje?! Waifanye kwanani?!
 
Ccm ipi hiyo ya kukitoa kinyago iliyochokichonga, ni waoga kama nini ... they always feel safe until they are in trouble.

Mi nina list yangu ya wana CCM hata mkaa simpi na nilishaapa nikawaambia mnapopashabikia ndo patawalisha, wavesha, watibu ... ukinifuata na njaa zako utaambulia shit tu.
 
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Licha ya kutoeleweka kwa bandiko lako, lakini hujui chochote ulichokiweka hapa. Hata hiyo 'Trade embargo' inaonyesha huijui, unaisikia tu.

Ngoja nikufurahishe, ujisikie vizuri kabisa na hoja yako hii:
Hivyo vikwazo wakiviweka havitasaidia chochote, kwa sababu 'superpower' wetu kwenye ukanda huu atakuwa yupo upande wetu. Mahitaji yetu yote yataendelea kuwa yanamiminika kwetu kutokea Kenya. Na hao rafiki zako wakizidisha kelele, tutamwomba 'Mkora' wetu awashughulikie! How about that!
 
Unadhani Mulla na osama bila mabomu wangelinyooka? Vikwazo havitawaathiri maana watapata kila kitu wanachokihitaji, sisis makabwela ndio tutaumia. Lkini bomu litamshitua sana.... atabadilika
Ziko mbinu nyingi mkuu, kweni Hugo Chavez alipigwa Bomu, teknolojia iko mbali sana "mionzi" tu kitu kinanyooka.
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Maneno ya balozi yanasapoti andiko lako
IMG_20181215_174019.jpg
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Maongezi ya kina! Anayeweza kukupa taarifa kama hizo ni mtu wa ngazi za juu za serikali. Lakini nikiangalia unavyoandika sioni kama wewe uko kiwango cha kuweza kuzungumza na mtu wa kiwango hicho. UKo chini sana! Labda tu, you are just wishing.
 
Ziko mbinu nyingi mkuu kweni Hugo Chavez alipigwa Bomu teknolojia iko mbali sana "mionzi" tu kitu kinanyooka.
niko nyuma hivi Hugo yuko wapi? alifanywaje? sorry........................... he is dead!.....Hugo Chávez, the 62nd President of Venezuela, died on 5 March 2013 at the age of 58.......... Ila sijui alikufa na nini!
 
IT WILL NEVER HAPPEN
UTAKUFA KWANZA WEWE WALAHI
 
niko nyuma hivi Hugo yuko wapi? alifanywaje? sorry........................... he is dead!.....Hugo Chávez, the 62nd President of Venezuela, died on 5 March 2013 at the age of 58.......... Ila sijui alikufa na nini!
Mkuu naona kama unanisanifu point yangu ni Dakta wetu asicheze na CIA.
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Inawezekena tusibishe kila kitu kwa mahaba. Lazima tukijikwaa tujuwe tumejikwaa wapi tujisahihishe. Siyo mbaya kujifunza kupitia makosa ni uungwana na ni sahihi. Kufanya makosa na kujaribu tena kufanya kosa lile tena makusudi
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Tumeanza kupiga hatua mbele kidogo kama ishara ya kutaka kutoka kwenye minyororo ya ubeberu lakini naona mabeberu wameungana pamoja na wanawatumia vibaraka wao dhidi yetu. We need Economic Independence
 
Back
Top Bottom