Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Wewe huja jua kila weekend chadrama mcharuko mizee ya matukio huja na story mpya kufuraisha baraza, ujinga mtupu walahi ?
Fyeeekelea mbali bavicha Magoti malofaaaa kweli kweli walahi
Na hawa ndo walioandika na kujidai ni USA wataula wa chuya mwaka huu
 
Super power wenu ni nani hapa Tz?
Licha ya kutoeleweka kwa bandiko lako, lakini hujui chochote ulichokiweka hapa. Hata hiyo 'Trade embargo' inaonyesha huijui, unaisikia tu.

Ngoja nikufurahishe, ujisikie vizuri kabisa na hoja yako hii:
Hivyo vikwazo wakiviweka havitasaidia chochote, kwa sababu 'superpower' wetu kwenye ukanda huu atakuwa yupo upande wetu. Mahitaji yetu yote yataendelea kuwa yanamiminika kwetu kutokea Kenya. Na hao rafiki zako wakizidisha kelele, tutamwomba 'Mkora' wetu awashughulikie! How about that!
 
Ni kweli cha msingi tu CCM au CDF afanye jambo jema watuondolee lile kopo la chooni pale kwenye meza ya chakula!!!
Aruhusu watu wapige siasa kama katiba inavyosema,Polisi wasiiingile mikutano ya siasa za na haswa za Upinzani Mbona kikwete alikuwa anakubali kukosolewa Mzee Kikwete ni kama binadamu wengine ananyongo kama Magufuli sasa huyu yeye hataki Upinzani upige siasa,mtu kama Mange hivi Mange Kimambi ndio wa kumuwekea jeshi zima la Polisi?!wakati huo mimi nilikuwa mwanaCCM ilikuwa ni Aibu Polisi badala ya kufanya kazi zao wooote wakafanywa ni Riot police...kiongozi mambo mengine anatakiwa kuyapuuza kama walivyokuwa wenzake waliopita
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Uranium watachukua wapi?, makampuni yao yatachimba wapi dhahabu? Na hayo makampuni ndio hu influence msimamo wa serikali.
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Hakuna rangi tutakayo acha iona
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Eti na kiongozi mmoja mwandamizi. Pumbavuuuu. Kama wewe ni shoga siai hatuutaki huo ushoga. Mtahangaika sana aisee nyani wa bavicha.
 
Cc n dona kantri wewe, hatutishwi, wia oni ze raiti traki tunatekeleza miradi mikubwa kwa pesa zetu za ndani.
 
Msimamo wangu twende na membe.. kazi na bata 2020
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Bado sana. Hakuna kitu kama hicho.
 
Hivi kwa nini Ya Ben Sanane hao Western hawajaivalia njuga kama Ya Kashoggi.....??
Nafikiri wangetukazia kipindi kile hata mambo yaliyotokea baadae yasingetokea...
HAIWEZEKANI MTU ANAPOTEA TU KAMA HEWA HALAFU SERIKALI IPO TU....binadamu yoyote anathamani kubwa sana kuliko project yoyote ile....hili suala pamoja na la Tundu lissu litamuandama Magufuli mpaka siku atakapotoka madarakani
 
Bado sana. Hakuna kitu kama hicho.
Wewe wasema! Unaijua nguvu ya baraza la seneti la marekani na ile ya baraza kuu la EU? Ingekuwa ni nchi moja labda, lakini ni nchi nyingi zenye nguvu za kiuchumi! Tujiandae tu kisaikolojia kwani maumivu yake siyo ya kitoto!
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania

Nairobian, naamini hoja yako ni hii Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo tu katika bandiko lako. Mwenye kuuondoa uongozi madarakano Serikali ni wananchi na hapo kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Pamoja na bandiko lako Tanzania iko imara kiusalama na kiuchumi kuliko nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
Back
Top Bottom