Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Wamemkalia Jiwe, Dab na Kigwangala kikao.Wazungu wametukalia kikao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemkalia Jiwe, Dab na Kigwangala kikao.Wazungu wametukalia kikao.
Endelea kusaliWacha tusubiri!
Mtakula hizo tetesi makamanda hadi mshibe.mlijisifu mtakuwa donor ghafla mmegeuka kuwa donated country
Kwani kichwa cha habari kinasemaje?Wamemkalia Jiwe, Dab na Kigwangala kikao.
Wewe akili zako umeshikiwa, huwezi kuona mwelekeo?Ndoto za mchana
[emoji23][emoji23][emoji23]Tetesi ausiooMtakula hizo tetesi makamanda hadi mshibe.
Tafuta uadui na nchi zozote kasoro USA/ISRAEL/EU Hizi namba Chafu.Hapana sikusanifu, najua Hugo alikuwa na uadui mkubwa na USA, ila imenitoka kidogo kuwa alishakufa...
Kula hizo tetesi.[emoji23][emoji23][emoji23]Tetesi ausioo
Wamemkalia Jiwe, Dab na Kigwangala kikao.
Atatuumiza sisi walala hoi,wao magogoni wanakula bureHivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Ngoja uonee sasa...Na hivi Joto la dar linapandaa tu jiwe nahisi anaivaa kabisa...!! Maana watamkaanga mpaka aiveeKula hizo tetesi.
Kumbuka njaa huondoa uoga wacha njaa ituingie tuingie barabara kila mmoja ataenda magogoni bila hofu ya risasi kumbuka risasi imakuua mara moja ila njaa inakuua polepole tena kwa maumivu.Atatuumiza sisi walala hoi,wao magogoni wanakula bure
Ni kweli cha msingi tu CCM au CDF afanye jambo jema watuondolee lile kopo la chooni pale kwenye meza ya chakula!!!Kumbuka njaa huondoa uoga wacha njaa ituingie barabara kila mmoja ataenda magogoni bila hofu ya risasi kumbuka risasi imakuua mara moja ila njaa inakuua polepole tena kwa maumivu.
Utaamka ukimaliza kuota.Ngoja uonee sasa...Na hivi Joto la dar linapandaa tu jiwe nahisi anaivaa kabisa...!! Maana watamkaanga mpaka aivee