Ugiligili
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 3,023
- 4,055
HahahaahaaaCCM wote wanaishi kwa kukariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM Taifa na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite ni hatari kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaahaaaCCM wote wanaishi kwa kukariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM Taifa na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite ni hatari kubwa
Nakubali kwamba Magufuli nchi imemshinda, ila sielewi huu 'Wema' wa wazungu kwetu umeanza lini!!
Nijuavyo, wazungu wana permanent interest, hawanaga rafiki wala adui wa kudumu. ******** hata angeua mashoga kwa risasi hadharani, au kumkatakata lissu kama kashoggi, kama asingegusa maslahi ya wazungu ( issue kama acacia, ku ally na China, ku temper na program zao za ukimwi nk) wasinge mgusa wala kutoa tamko lolote. Kuna mahala ******** kagusa maslahi yao, na huwezi kubaki salama ukigusa maslahi yao. ******** aamue kusuka au kunyoa
Poteleapote, Makaburu hawa weusi Ni lazima wapate akili hata Kama Mimi pia nitaumiaUnajua madhara ya kiuchumi wew
Sasa tukiwekewa trade embago korosho tutauza wapi? Tutapata wapi bidhaa ambazo hatuzalishi kama mafuta nk?Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Poteleapote, Makaburu hawa weusi Ni lazima wapate akili hata Kama Mimi pia nitaumia
do you remember six days war. we can't fight blindly mkuu. midomo yayuponza.tumezidi kuwaogopa hao wanyonyaji wa magharibi. Magufuli ana akili ya Gadaff. anaona JINSI tunavyo nyonywa kaamua kutoogopa na kurudi nyuma. acha tuache ili historia nyingine iandikwe kwamba uhuru wa uchumi umeanzia Tanzania kwa mara nyingine.
Hiyo nayo hoja! Du, wabunge ni vinyesi!Usifikiri sisi ni watoto,jenga hoja hata mimi nikiona kinyesi naziba mdomo na pua.
Wakati kada wako na aliekua Mbunge wa Igunga katika barua yake ya kujiuzulu ubunge alisema hivi;Nimechoshwa na Siasa za Majitaka "Sewage",, mwisho wa kumnukuu swali ni je unajua maana ya majitaka?!..nikuelimishe kidogo alikuwa amechoshwa na siasa za kinyesi kwa hiyo anaaamua kufanya Biashara zake za kawaida....usishtuke sana dogo.Hiyo nayo hoja! Du, wabunge ni vinyesi!
Hapana. AnaibonyezaHivi nikweli magu anaminya demokrasia
Acha kua mtumwa wa fikraAshakum si matusi kama wataweka vikwazo kwa sababu tunakataa KUFIRANA\ KUFILANA Na waweke tu.
Nyie ongezeni Kodi tu ruhusuni na madada poa wapeni EFD machines,Kodi ya kufuga Ndevu,Kodi ya kuimba mwimbo wa Taifa,kodi ya kuziangalia Bombadia na Dreamliner kodi ya kupiga punyeto nk..nk mtakusanya mapato ya kutosha halafu njooni huku Chadema na CUF mje mfanye shopping.Hatuna biashara yoyote yenye tija kwa wanyonge na hao EU.
Uhuru na Udikteta haviwezi kuishi nyumba moja. Hivyo basi hakuna mafanikio ya kiuchumi bila Uhuru. Nchi yoyote ambayo raia wake wanaishi kwa hofu haiwezi kufanikiwa.tumezidi kuwaogopa hao wanyonyaji wa magharibi. Magufuli ana akili ya Gadaff. anaona JINSI tunavyo nyonywa kaamua kutoogopa na kurudi nyuma. acha tuache ili historia nyingine iandikwe kwamba uhuru wa uchumi umeanzia Tanzania kwa mara nyingine.
Mpaka akubali ushoga?Hivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Hivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
PointHAKUNA KITU KIBAYA KAMA KURUHUSU WANAHARAKATI WAFANYIE SHUGHULI ZAO NJE YA NCHI- Quote my words