Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Nakubali kwamba Magufuli nchi imemshinda, ila sielewi huu 'Wema' wa wazungu kwetu umeanza lini!!
Nijuavyo, wazungu wana permanent interest, hawanaga rafiki wala adui wa kudumu. ******** hata angeua mashoga kwa risasi hadharani, au kumkatakata lissu kama kashoggi, kama asingegusa maslahi ya wazungu ( issue kama acacia, ku ally na China, ku temper na program zao za ukimwi nk) wasinge mgusa wala kutoa tamko lolote. Kuna mahala ******** kagusa maslahi yao, na huwezi kubaki salama ukigusa maslahi yao. ******** aamue kusuka au kunyoa

tumezidi kuwaogopa hao wanyonyaji wa magharibi. Magufuli ana akili ya Gadaff. anaona JINSI tunavyo nyonywa kaamua kutoogopa na kurudi nyuma. acha tuache ili historia nyingine iandikwe kwamba uhuru wa uchumi umeanzia Tanzania kwa mara nyingine.
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Sasa tukiwekewa trade embago korosho tutauza wapi? Tutapata wapi bidhaa ambazo hatuzalishi kama mafuta nk?
 
tumezidi kuwaogopa hao wanyonyaji wa magharibi. Magufuli ana akili ya Gadaff. anaona JINSI tunavyo nyonywa kaamua kutoogopa na kurudi nyuma. acha tuache ili historia nyingine iandikwe kwamba uhuru wa uchumi umeanzia Tanzania kwa mara nyingine.
do you remember six days war. we can't fight blindly mkuu. midomo yayuponza.
 
Hatuna biashara yoyote yenye tija kwa wanyonge na hao EU.
 
Hiyo nayo hoja! Du, wabunge ni vinyesi!
Wakati kada wako na aliekua Mbunge wa Igunga katika barua yake ya kujiuzulu ubunge alisema hivi;Nimechoshwa na Siasa za Majitaka "Sewage",, mwisho wa kumnukuu swali ni je unajua maana ya majitaka?!..nikuelimishe kidogo alikuwa amechoshwa na siasa za kinyesi kwa hiyo anaaamua kufanya Biashara zake za kawaida....usishtuke sana dogo.
 
Hatuna biashara yoyote yenye tija kwa wanyonge na hao EU.
Nyie ongezeni Kodi tu ruhusuni na madada poa wapeni EFD machines,Kodi ya kufuga Ndevu,Kodi ya kuimba mwimbo wa Taifa,kodi ya kuziangalia Bombadia na Dreamliner kodi ya kupiga punyeto nk..nk mtakusanya mapato ya kutosha halafu njooni huku Chadema na CUF mje mfanye shopping.
 
tumezidi kuwaogopa hao wanyonyaji wa magharibi. Magufuli ana akili ya Gadaff. anaona JINSI tunavyo nyonywa kaamua kutoogopa na kurudi nyuma. acha tuache ili historia nyingine iandikwe kwamba uhuru wa uchumi umeanzia Tanzania kwa mara nyingine.
Uhuru na Udikteta haviwezi kuishi nyumba moja. Hivyo basi hakuna mafanikio ya kiuchumi bila Uhuru. Nchi yoyote ambayo raia wake wanaishi kwa hofu haiwezi kufanikiwa.
 
Hivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .



Wewe vipi,?? Hivyo vikwazo unavyoviomba unadhani wakubwa vitawagusa??!!, ni sisi walalahoi ndio tutakufa kwa vikwazo kutoka nje na KUKAMULIWA KODI kutoka ndani.
 
Waambie wanachelewa MBONA wananchi tupo nyuma yao hata sasa.
 
Back
Top Bottom