Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,327
Gud....Ashakum si matusi kama wataweka vikwazo kwa sababu tunakataa KUFIRANA\ KUFILANA Na waweke tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gud....Ashakum si matusi kama wataweka vikwazo kwa sababu tunakataa KUFIRANA\ KUFILANA Na waweke tu.
Hatuna biashara yoyote yenye tija kwa wanyonge na hao EU.
Huwezi kuelewa kwavile umezungukwa na kuta za kijani kibichiHivi nikweli magu anaminya demokrasia
Anakotokea huyo aliyeleta habari hapa niliyemjibu. Wao wanajitangaza ndio 'superpower' wa maeneo haya ya Afrika Mashariki.Super power wenu ni nani hapa Tz?
Baada ya sisi kusoma namba mpaka alphabet sasa ni zamu ya wafadhili kuisomesha namba serikali.
Usidhani vikwazo vinawekwa kirahisirahisi ivoBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Kwa kweli mkuu hilo linawezekana kabisaa. Hapo ndo ule usemi wa kwamba kufa hufi ila cha moto utakiona ndo utatimia.Wenyewe watakwambia watakaoisoma namba ni wao wafadhili. Mtu aliyevurugikiwa akili haachi kukupa mipasho inayomtia moyo.
Naona unajitahidi kweli! Unafikiri kuingoza nchi ni kama kuongiza chadema?Ziko mbinu nyingi mkuu, kweni Hugo Chavez alipigwa Bomu, teknolojia iko mbali sana "mionzi" tu kitu kinanyooka.
Yani wewe ni mtumwa kiakili mpaka kimwili.. Hapo ulipo uko tayari kugongewa hata mkeo ili mradi usimuudhi mzungu kutoka USA au EU!Tafuta uadui na nchi zozote kasoro USA/ISRAEL/EU Hizi namba Chafu.
Umekalili kuajiliwa tu! Kumbe unakula ugali wa dada yako ndio maana unabwata tu hapaWatu wamesoma ajira hakuna (wawekezaji wamekimbia)wasomi wanashindia vitumbua, sio vikwazo hivyo kwangu mimi ni vikwazo tena vya kizembe kutoka juu ,
Naona unajitahidi kweli! Unafikiri kuingoza nchi ni kama kuongiza chadema?
Kwa taarifa yako tu ni kwamba Magufuli ndio rais wako hadi 2025
Uchungu ee?
Stiegle's goarge unapowapatia waarabu unafikiri EU/USA watafurahi
Point yako ni ipi sasa mrudishe huyo basi!View attachment 969192
Unawaona viongozi sio huyu wa kwako wa kupanik katikati ya speech
View attachment 969192
Njaa huongeza ujasiri hebu wewe shinda na njaa siku 3 wewe na wanao kama hutampiga mtu loba...usicheze na njaa.
Tena hiyo mbinu hiyo hufundishwa hata jeshini inaitwa "scorch earth pilicy"
Kwa hii sentensi tu nimeona nisikujibu.Umekalili kuajiliwa tu!
Wewe endelea kuzungusha bahasha sijui utakuwa mtumwa mpka lini.. Wenzio tunapambana tujiajili hatutaki kupelekeshwa na mtuKwa hii sentensi tu nimeona nisikujibu.