Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Wewe umezaliwa mwaka gani?!, au hujasoma historia baada ya vita vya Uganda na Tz, hali ya uchumi wa Tz ilikuwa vipi, kila kitu kilikuwa kwa KAYA (ration), bidhaa zote muhimu zilipatikana kwa shida kubwa mno sababu ya jeuri ya nyerere kutokusikiliza wengine, Gadaffi alitaka kulipa gharama yote ya vita ili askari wake tuliwateka tuwaachie huru lakini Nyerere (mungu amrehemu) kwa "jeuri" akakataa "ransom" na akawaacha huru bila chochote, hali ya uchumi ikawa mbaya mno, lakini Watz ni kama " kondoo na nyumbu", hali ikawa nzuri baada ya kuingia MZEE Ruksa ndipo Gadaffi akaleta mafuta bure kwa muda mrefu na uchumi ukaanza kuimarika na kukua.

Watz, ni "kondoo na nyumbu" na hili jambo ni mpango wa Mungu tuwe hivyo labda lina faida kubwa hapo baadaye.
Huo ulikuwa ni wakati wa kumtoa IDDI AMINI ndio tulijifunga mikanda leo Iddi Amini wa hapa hapa nyumbani ndio tunataka na yeye tumkurupue kwa hiyo tuko tayari kufunga mikanda.
 
Wakubwa nawaaminia ,wakiauamua jambo hakuna kubisha.Mfano wakiaumua ku enforce no fly zone anga ya Tanzania siyo kunguru,siyo bombadier,siyo Mig itapaa angani.Tuwe wapole bana.
 
Huo ulikuwa ni wakati wa kumtoa IDDI AMINI ndio tulijifunga mikanda leo Iddi Amini wa hapa hapa nyumbani ndio tunataka na yeye tumkurupue kwa hiyo tuko tayari kufunga mikanda.



Infact, you don't grasp my point,

Bye bye friend.
 
Nakubali kwamba Magufuli nchi imemshinda, ila sielewi huu 'Wema' wa wazungu kwetu umeanza lini!!
Nijuavyo, wazungu wana permanent interest, hawanaga rafiki wala adui wa kudumu. ******** hata angeua mashoga kwa risasi hadharani, au kumkatakata lissu kama kashoggi, kama asingegusa maslahi ya wazungu ( issue kama acacia, ku ally na China, ku temper na program zao za ukimwi nk) wasinge mgusa wala kutoa tamko lolote. Kuna mahala ******** kagusa maslahi yao, na huwezi kubaki salama ukigusa maslahi yao. ******** aamue kusuka au kunyoa
Shida ni Makinia mkuu..hapo ndo mzungu amezidi kuwa mwekundu
 
As I once contributed kwenye thread moja nyuma.JPM ata feli kwenye haya mambo 4.
1]Sheria mpya ya takwimu
2]Sheria mpya ya vyama vya siasa
3]Sheria ya mtandao
4]Jinsi ya chaguzi zinavyoendeshwa na haki za binadamu.

Hukiwauliza Mapunguani wa CCM ambao ni empty head wanasema China itaokoa jahazi.China yenyewe imebanwa shati na hao hao mabeberu kutoka nchi za magharibi.Inahaa mpaka leo kurudisha hali na uhusiano nao,refer suala la tariff kati ya China na Marekani.Kumbuka China ndio the second largest economy in the world na bado wamesurrender mbele ya Mabeberu.Leo sisi masikini wakunuka tunajivimbisha mbele zao.

Hizo sheria zote hazina impact ya moja kwa moja kwa ustawi wa nchi.Waste of time tu.Tuzirekebishe twende mbele.JPM hatapita hila Tanzania itabaki.Tuipiganie Tanzania yetu.

hujaeleza china imeshindwa namna gani na Marekani. MAANA ulaya hwana bifu na Ulaya.
 
Jiwe alivyozoea kutupangia kazi nyingine akitufukuza na yeye sasa wanamwambia mkaishi sayari nyingine
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Sema utaumia wewe mvivu wa kufanya kazi ili ujitegemee kwa faida ya vizazi vyako vijavyo

hivyo vikwazo mbona vimewekewa nchi nyingi tu mbona maisha kwao yanaendelea

Katu hatuwezi kuuza utu wetu kisa tu misaada yao, wabaki nayo

Potelea mbali nimejiandaa hata kwa vita nitakuwa mstari wa mbele
 
Nakubali kwamba Magufuli nchi imemshinda, ila sielewi huu 'Wema' wa wazungu kwetu umeanza lini!!
Nijuavyo, wazungu wana permanent interest, hawanaga rafiki wala adui wa kudumu. ******** hata angeua mashoga kwa risasi hadharani, au kumkatakata lissu kama kashoggi, kama asingegusa maslahi ya wazungu ( issue kama acacia, ku ally na China, ku temper na program zao za ukimwi nk) wasinge mgusa wala kutoa tamko lolote. Kuna mahala ******** kagusa maslahi yao, na huwezi kubaki salama ukigusa maslahi yao. ******** aamue kusuka au kunyoa
Ivi yatendwayo nchini ni halali kutendwa. Mwaka2015 kurudi nyuma tuliishi ivi ukiondoa suala la kipato cha mtu mmoja mmoja? Ni vema na kheri kusimamia ukweli.
 
daaah watanzania lin tutaamka? coz tunakuwa kama watoto huyo magufuli alichaguliwa au aliteuliwa ? na kama kachaguliwa na wakina nani?na kama kateuliwa na nan?
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Twende na jpm 2020
 
daaah watanzania lin tutaamka? coz tunakuwa kama watoto huyo magufuli alichaguliwa au aliteuliwa ? na kama kachaguliwa na wakina nani?na kama kateuliwa na nan?


"Jiwe limekuwa jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi"
 
Back
Top Bottom