Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Wishful thinking.That can never happen.Na hata kama ikitokea,itakuwa ni kulipiza kisasi,taharuki,wivu na chuki itokanayo na yale yanayofanywa na serikali ya awamu ya tano.It is simply unbelievable.An African doing so well?
 
Ukitaka kujua athari za vikwazo muulize Iran hata dawa za raia wake ni shida na ni shida kweli.We achana na vikwazo.
 
Anatupumbaza na flyover zake utadhan tutakula hizo flyover/ imagine napita pale juu ya flyover then natekwa na watu wasiojulikana,kwahiyo utajua as country tupo kwenye messy kwamaana halisi
Flyover zote zilianzia kwa kikwete yeye kazikuta ujenzi ukiendelea si kwamba yeye ndiyo mwasisi wa maendeleo Nchi hii
 
Ukitaka kujua athari za vikwazo muulize Iran hata dawa za raia wake ni shida na ni shida kweli.We achana na vikwazo.

Vikwazo vikianza ndege zilizosalia watazikamata meli kubwa itakuwa marufuku kuingia Bandarini nk
 
Wewe vipi,?? Hivyo vikwazo unavyoviomba unadhani wakubwa vitawagusa??!!, ni sisi walalahoi ndio tutakufa kwa vikwazo kutoka nje na KUKAMULIWA KODI kutoka ndani.

Vikwazo huwakumba wao pia kwani pesa zao kwenye mabenk ya nje huzuiliwa na wenye mali na majumba nje ya nchi hutaifishwa
 
Wasitake kujifanya miungu watu,tunao marafiki zetu wengi tu kutoka urusi,uchina n.k .Wao wakisusa wenzao wanakula!
 
Uhuru na Udikteta haviwezi kuishi nyumba moja. Hivyo basi hakuna mafanikio ya kiuchumi bila Uhuru. Nchi yoyote ambayo raia wake wanaishi kwa hofu haiwezi kufanikiwa.

Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite sasa yupo na vikao na kamati zake za ufundi akijaribu kuwambia kama kungekuwa na uwezekano kamati iwaroge wazungu wote ulaya wapate kufagilia Serikali yao ya kisukuma toka kolomije na chato.
 
Hivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Hata mimi hapa mkuu, acha tuwekewe vikwazo kabisa, ndio angalau ccm iweze kuona hata mataifa ya ulaya yanaona ile shinda iko
 
Wasitake kujifanya miungu watu,tunao marafiki zetu wengi tu kutoka urusi,uchina n.k .Wao wakisusa wenzao wanakula!

Mchina ni Mkoloni komba mwiko yeye hukimbia pindi Nchi ikiwa haina pesa hafai kuwa rafiki wa kiuchumi
 
Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite sasa yupo na vikao na kamati zake za ufundi akijaribu kuwambia kama kungekuwa na uwezekano kamati iwaroge wazungu wote ulaya wapate kufagilia Serikali yao ya kisukuma toka kolomije na chato.
Mwambie asijisumbue, hawalogeki wale. Kama wamemshindwa Lisu, watamweza wapi Mzungu!!!?
 
Afadhali maana tumenhanyaswa sana na utawala huu..viva wazungu
 
Bora vikwazo vije tu ili tujue moja. Tusuke au kunyoa. Tumeshachoka na tumeshamchoka.
 
Vikwazo huwakumba wao pia kwani pesa zao kwenye mabenk ya nje huzuiliwa na wenye mali na majumba nje ya nchi hutaifishwa



That will be a remote pain for them, by the time they suffer the consequence we will be almost dead.
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Hii Habari ni uongo mtupu. Ni propaganda za gazeti la East African la Kenya kuichafua Tanzania na sijui wanafanya kwa maslahi ya Nani au ni Nani amewatuma
 
Back
Top Bottom