imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hapo sasa!....yeye si ndio kapeleka bakuli akiwakubalia itabidi ushoga autie kwenye Ilani yake ya Chama cha MapinduziMpaka akubali ushoga?
Sisi wapinzani tutakuwa tunakula chabo tu kwenye nyumba za kulala wageni hapo Dodoma tujue nani anamla nani Hahahahaha!!! Mimi nitavizia nione Lugola atatoka na nani hahahahaha...CCM ya awamu ya tano ni hasara tu.