TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Nmekwambia soma ulichoandika idiot...Umesha changanyikiwa tayari[emoji23][emoji23]
Yaonyesha waivuta jomba, manake sio kw ku think slow ki hvo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji44][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji1732][emoji1732]Kuliwa kiboga ndio kufanyiwa nini?
No no no........ -0 percent. 0%
Hahaha kiwembe Cha kuokota hakiwezi kukosa tetenasiMaroli hakuna kuvuka mpaka hatutaki UNAFIKI hapa eti ohh tumefunga lakini magar ya mizigo yataingia ila kwa kuwapima madereva upuuzi mtupu, Sasa cc tumesema hakuna kuingia kabisaa Kama biashara ngumu bc bora iwe ngumu zaidi halafu tuone nani ataumia zaidi mbona tutawanyoa bila maji mwaka huu tena kwa kiwembe cha kuokota
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe madahara yake mabaya hvo[emoji23][emoji23][emoji23]Nmekwambia soma ulichoandika idiot...
Kama huwezi kiswahili andika lugha yenu ya kitumwa tutaelewa tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiunge na CHADEMA baada ya mda utaelwa km huaga ni kesi gani hyo na ni akina nani hubambikiwaNi kesi gani hiyo?? Na ni Nani kabambikiwa ?
Omba omba wenu wamejaa huku Kenya ni chakula wanatuletea?Wanaozurura hovyo hovyo ni hao wenu waliokuja na kalamu na karatasi kwetu, WA kwetu wanawaletea chakula fungeni mipaka mfe na njaa vilaza nyie. Hebu niambie Garisa kuna nini leo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mnafikiri hatuna habari za kwenu? Mkikamata Mtanzania anazurura mnamfunga miezi mitatu na hamtaki ajitetee kwa.lolote, wakitoka huko wanakuja tusimulia Ila mkija Tanzania mnakula bata, safari hii mmeyakorogo mtayanywa tu, Horohoro imeanza nyie si mnajua kusema Sisi tunaongeaOmba omba wenu wamejaa huku Kenya ni chakula wanatuletea?
Wanaoteseka sio kina Uhuru na Magufuli Bali ni wanainchi was Kenya na Tanzania. Wakulima was Tanzania wanahitaji hela na was kwetu wanahitaji chakula. Biashara Haina chama, kabila Wala mipaka sote tunategemeana.Hivi mnafikiri hatuna habari za kwenu? Mkikamata Mtanzania anazurura mnamfunga miezi mitatu na hamtaki ajitetee kwa.lolote, wakitoka huko wanakuja tusimulia Ila mkija Tanzania mnakula bata, safari hii mmeyakorogo mtayanywa tu, Horohoro imeanza nyie si mnajua kusema Sisi tunaongea