Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Kama vipi hao majasusi wa Kenya wapelekwe moja kwa moja kuhifadhiwa kule mloganzira mpaka pale corona itakapofika mwisho
 
Huwezi kuingia nchi yeyote duniani na kuchukua taarifa bila ya kibali,ukishtukiwa huwezi kuachwa.
Kiusalama,kwa ajili ya taifa lolote lile huwezi fanya kazi ya habari au kazi yeyote ile bila kibali.
Sijui kama intelijensia ya Kenya inaruhusu mtu kwenda kuchukua habari za kimya kimya.
Hata wanahabari wapekuzi mara nyingi wanaposhtukiwa huwa hawaachwi,kwa sababu.
Vipi unaweza kuamini kama hao ni wana habari wa kweli,hii hairuhusiwi kabisa.
Mbona BBC hawakamatwi.
Watuachie na Arusha yetu,hawafai kuingia katika anga letu hovyo,huu ni upuuzi wa hali ya juu kuwaachia watu waje kuchukua taarifa kimya kimya,kwani wangetoa taarifa wangeumia wapi,kama sisi hatuwezi kuingia kwao bila kupimwa vipi wao waingie kimya kimya,shit.
 
Ma km n um un un eh..

I I'm b I hkmjj you yayThe The uh you ui by

... You..

Oil.


Igi ha b. . jyiiin. OK OK yo. You Me have are to. I. I
.he u
HS

And

N
Hm

What nh. Unhygienic i
Hnuummm




OK

I lo
No


On y.
... In introduce i'm pi OK I

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwao kuna habari kibao lkn kiherehere chao kikawatuma wavuke border waandike habari ya kutuchafua ili wapewe msaada na mabwana zao,kitakachowakuta maji wataita mma

I didn't know you are still in 2009. Sisi tuko 2020. When you happen to get to 2020 before end of the year please don't forget to remind me.
 
I didn't know you are still in 2009. Sisi tuko 2020. When you happen to get to 2020 before end of the year please don't forget to remind me.
Even if happened 1960,that is shame for kunyan coz u do nothing to those monster who did that
 
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa....
Jamaa kwa sasa wana hasira ya kutengwa na majirani zao wote.
Halafu wewe huwa sikuamini kabisa siajabu upo Magomeni kwenye nyumba ya vyumba sita unasikilizia habari za Kenya kama tunavyosikiliza sisi huku umejiita mkurya kutoka Mara [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jirani Moto ukiwaka itabidi uingilie Kati la sivyo utateketea pia. What Kenya, Zambia, Uganda and Rwanda are doing is to protect their people. Wewe unawachilia watoto wako wazurure ovyo ovyo?
Wanaozurura hovyo hovyo ni hao wenu waliokuja na kalamu na karatasi kwetu, WA kwetu wanawaletea chakula fungeni mipaka mfe na njaa vilaza nyie. Hebu niambie Garisa kuna nini leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom