Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Je waliingia ki halali nchini? Sheria zinawaruhusu kufanya hivyo? Kila mtu ashinde mechi zake, waripoti kuhusu Kenya, wamekujaje Tz?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauifaham Tanzania vizur nazan hivi hao wanahabar wenu huku c Kama paka unazan watu wanajal ,we ngoja mwisho wa cku usije kukimbia hii ni TZ bwana sio Kenya Kama munawanyenyekea huko huko huku ukivunja sheria uwanahabari unawekwa pembeni unashughulikiwa
Afadhali wangekamata ng'ombe, vifaranga, raia wa kawaida au hata watumishi wa umma. Hapo kwa wanahabari wamechemsha sio mchezo. Hii move ni sawa na kuchokonoa mzinga wa nyuki. Itabidi GoT wajitayarishe kisaikolojia kwa mapigo ya hali ya juu kutoka kwa "4th Estate", kama wanavopenda kujiita. Yaani kwa kifupi, cartels au magenge ya wanahabari, na sizungumzi kuhusu wakenya, serikali ya Kenya wala media za Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juha bibi yako, kuingia nchi yoyote lazima upate kibali hiwezi kuingia kama unaingia chooni. Usipofuata utaratibu lazima ukubali matokeo yake jinga wewe
Mbwembwe tu hizo hamna mtu aliyeingia bila kibali.....btw mnaogopa nini wakifanya kazi yao ya kuhabarisha wkt vyombo vyenu mnavinyamazisha?
Cc: Albert Msando
 
Kwanini wasiripoti kwenu jinsi mnavyopigwa mapomu na mapolisi wenu pia mnanjaa mpaka mnapika mawe!
Sisi tunajielewa hatiwezi kunyamazia maujinga km mnavofanya huko kwenu meko anawachezea mnacheka tu
 
Naomba wafungwe nyoko zenu!
Kunyaland is in total darkness





















MY TAKE
No wonder there is this witch-hunting on Tanzania over coronavirus from their tabloids claiming to be mainstream nedia but can't talk a thing about this crisis!


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11

Kuna msiba mkuu! Magufuli kafiwa na dada yake.
Isingekua corona wangetangaza sababu.
 
Back
Top Bottom