Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Umbea wao unawa-costTanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.
Kwani kwao hakuna Corona au kiherehere kinawasumbu a kufatilia mambo ya Tanzania?
Nyang'au wana mambo ya ajabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app