Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.



TZ Kuna Corona Sasa hao walifuata Nini?
 
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


Hawajaogopa corona?
 
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa....
Jamaa kwa sasa wana hasira ya kutengwa na majirani zao wote.

Kumbe unajua uku Tanzania[emoji1241] kama Korea Kaskazini nashukuru kwa kutambua kuwa hatupendi upumbavu
 
Afadhali wangekamata ng'ombe, vifaranga, raia wa kawaida au hata watumishi wa umma. Hapo kwa wanahabari wamechemsha sio mchezo. Hii move ni sawa na kuchokonoa mzinga wa nyuki. Itabidi GoT wajitayarishe kisaikolojia kwa mapigo ya hali ya juu kutoka kwa "4th Estate", kama wanavopenda kujiita. Yaani kwa kifupi, cartels au magenge ya wanahabari, na sizungumzi kuhusu wakenya, serikali ya Kenya wala media za Kenya.
 
Afadhali wangekamata ng'ombe, vifaranga, raia wa kawaida au hata watumishi wa umma. Hapo kwa wanahabari wamechemsha sio mchezo. Hii move ni sawa na kuchokonoa mzinga wa nyuki. Itabidi GoT wajitayarishe kisaikolojia kwa mapigo ya hali ya juu kutoka kwa "4th Estate", kama wanavopenda kujiita. Yaani kwa kifupi, cartels au magenge ya wanahabari, na sizungumzi kuhusu wakenya, serikali ya Kenya wala media za Kenya.

Nenda kachote maji unawe uso kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnafuata nini Tanzania nyie watu, si tuna Corona sisi wote kwanini nyie mteseke? Waache wakanyee debe miaka 10 manyang'au hao
Hiyo tu tayari ni jinai,sneak in and violation of immigration act,ni jela miezi sita,bado hatujaona content iliokuwemo kwenye vitendea kazi vyao
Kiherehere kimewaponza.
Hii ni habari njema sana. Na wanatakiwa kushughulikiwa hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao walitaka kutengeneza story kwamba hali ni mbaya sana
Funga hao miaka 30 kwa kuhujumu uchumi wa tanzania
Kamwana Uhuru amesema mipaka umefungwa kwa abiria wote sasa hao walifika huko Arusha kama mizigo? na wanafanya kazi ya uandishi wa habari TZ kwa Kibali kutoka kwa nani?

Hio ndio faida ya kukurupuka, watalia na kusaga meno...
wakenya wanatuzoea sana.ngoja tuwaonyeshe kwanza mfano iwe fundisho kwa rwanda na malawi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuonane Mahakamani wakaone aibu zetu
Mngekua mnapiga kelele hivi,
1. Maxence Mello hangehangaishwa na serikali yenu CCMu.
2. Mr Gwanda (a Mwananchi Communications Limited correspondent) was abducted in November 2017 na hajapatikana Hadi sasa tena mwanahabari ishara tosha kuwa mnaishi Nchi Haina Uhuru wa kujieleza.
3. JF haingefungwa Kama ilivyofanyika hapo awali na wengi wenu tukawakaribisha Land of the FREE Kenyatallk na kuwawekea sehemu ya Tanzania Kama mandugu.

Kuwakamata wanahabari ni jinsi moja ya kuzuia ukweli kufichuliwa. Bahati walionayo hao wanahabari ni kuwa wanajulikana ni wakenya la sivyo wangepotezwa Kama Mr. Gwanda.
 
Mngekua mnapiga kelele hivi,
1. Maxence Mello hangehangaishwa na serikali yenu CCMu.
2. Mr Gwanda (a Mwananchi Communications Limited correspondent) was abducted in November 2017 na hajapatikana Hadi sasa tena mwanahabari ishara tosha kuwa mnaishi Nchi Haina Uhuru wa kujieleza.
3. JF haingefungwa Kama ilivyofanyika hapo awali na wengi wenu tukawakaribisha Land of the FREE Kenyatallk na kuwawekea sehemu ya Tanzania Kama mandugu.

Kuwakamata wanahabari ni jinsi moja ya kuzuia ukweli kufichuliwa. Bahati walionayo hao wanahabari ni kuwa wanajulikana ni wakenya la sivyo wangepotezwa Kama Mr. Gwanda.
Off topic
 
Sis timetengwa na Nan? Yan uku mnasema mmetutenga alafu nyie hao hao. Ndio mnaleta mapua yenu kwenye nch ya asali na maziwa
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa....
Jamaa kwa sasa wana hasira ya kutengwa na majirani zao wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sis timetengwa na Nan? Yan uku mnasema mmetutenga alafu nyie hao hao. Ndio mnaleta mapua yenu kwenye nch ya asali na maziwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jirani Moto ukiwaka itabidi uingilie Kati la sivyo utateketea pia. What Kenya, Zambia, Uganda and Rwanda are doing is to protect their people. Wewe unawachilia watoto wako wazurure ovyo ovyo?
 
Mngekua mnapiga kelele hivi,
1. Maxence Mello hangehangaishwa na serikali yenu CCMu.
2. Mr Gwanda (a Mwananchi Communications Limited correspondent) was abducted in November 2017 na hajapatikana Hadi sasa tena mwanahabari ishara tosha kuwa mnaishi Nchi Haina Uhuru wa kujieleza.
3. JF haingefungwa Kama ilivyofanyika hapo awali na wengi wenu tukawakaribisha Land of the FREE Kenyatallk na kuwawekea sehemu ya Tanzania Kama mandugu.

Kuwakamata wanahabari ni jinsi moja ya kuzuia ukweli kufichuliwa. Bahati walionayo hao wanahabari ni kuwa wanajulikana ni wakenya la sivyo wangepotezwa Kama Mr. Gwanda.
Kapige mushene na wamama wa ploti.
 
Sis timetengwa na Nan? Yan uku mnasema mmetutenga alafu nyie hao hao. Ndio mnaleta mapua yenu kwenye nch ya asali na maziwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio maana nimewaona wajasiri, hao wanahabari ni kama umkute huyu kwenye hii picha akiwa kwenye hali hii halafu unajifanya kiherehere cha kutaka kumsaidia, kwanza hapo atakutia makucha yaani hata kumshika ni shughuli.....wafanyeni mtakalo, kwa sasa Tz kwa hasira zenu na balaa ya kuogelea kwenye corona mbaki hivyo hivyo huko...

people-stand-around-a-leopard-with-its-head-stuck--1443686920689.jpg
 
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa....
Jamaa kwa sasa wana hasira ya kutengwa na majirani zao wote.
Tatizo ni kuwa Wakenya wengi ikiwemo hawa wanahabari, hufikiri Tanzania is a beacon of democracy lakini kumbe Tanzania is just another dictatorship pretending to be a democracy.
 
Mngekua mnapiga kelele hivi,
1. Maxence Mello hangehangaishwa na serikali yenu CCMu.
2. Mr Gwanda (a Mwananchi Communications Limited correspondent) was abducted in November 2017 na hajapatikana Hadi sasa tena mwanahabari ishara tosha kuwa mnaishi Nchi Haina Uhuru wa kujieleza.
3. JF haingefungwa Kama ilivyofanyika hapo awali na wengi wenu tukawakaribisha Land of the FREE Kenyatallk na kuwawekea sehemu ya Tanzania Kama mandugu.

Kuwakamata wanahabari ni jinsi moja ya kuzuia ukweli kufichuliwa. Bahati walionayo hao wanahabari ni kuwa wanajulikana ni wakenya la sivyo wangepotezwa Kama Mr. Gwanda.

Kupotezwa kuko pale pale usijifariji tena tuna hasira na nyie[emoji205][emoji205][emoji205]
 
Back
Top Bottom