Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Na bado ndio tunaanza hivyo kuchukua hatua mbona lazima waisome namba hao , waje kutafuta habar za korona TZ kwani kenye corona IMEISHA hao tunawafungulia kesi na Watanzania kwa mahakamani tupo vizur tunawagonga mpunga mreefu mbona watanyooka tu
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale 84 wa janaa je? Hao pia wamepona?
Huu mdomo ndo kila siku unawaponza" labda nikuulize, maswala ya watanzania yanawahusu nini nyie wakenya? kwanini msishughulikie ukabila ambao unawasumbua kwa miaka mingi, ama matatizo mengine mlionayo kwasasa?

Ebu fikiri ndugu haina maana kutumia hisia nyingi kuweka hoja zisizo na maana.


Nenda pia ukawashauli na majirani zetu wakenya uwaambie kuwa sisi hatuna shida na nyinyi Kama mkijitambua.

Mchana mwena jirani.
 
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


Wahuni,wanaingia TZ bila kufuata utaratibu,tatueni tatizo la maji Nairobi na maandamano ya "fake lockdown"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


Diplomatic grudges tayari

Jr[emoji769]
 
Eti aibu,huku Arusha maisha ya kwaida sana yanaendelea utulivu wa hali ya juu,hiyo hali mbaya ipo kwenu,tuacheni na nchi yetu,nyie kama hamna kazi ya kufanya subiri uchaguzi mkuu mwakani mgombane tutakuja kuwapatanisha.
Tanzania amani ya kutosha.
 
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa....
Jamaa kwa sasa wana hasira ya kutengwa na majirani zao wote.
 
Back
Top Bottom