Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Kapige mushene na wamama wa ploti.
Wewe neno mushene ulilijulia hapa Kenya. Hilo sio neno la kiswahili hata kidogo. Hilo ni neno la kikuyu. Kwa hivyo lazima umeishi Kenya kwa muda mrefu.
 
Tatizo ni kuwa Wakenya wengi ikiwemo hawa wanahabari, hufikiri Tanzania is a beacon of democracy lakini kumbe Tanzania is just another dictatorship pretending to be a democracy.

Mkenya ambaye atajifanya hadi sasa haijui Tanzania ilivyo atakua na matatizo, kwanza kwa awamu hii, ina maana wanahabari hawakumbuki jamaa aliyekimbilia huku kama ameliwa risasi 38, yule anaitwa Tundu Lissu. Halafu hiyo ndio nchi unakwenda kuhoji hoji.
Watz waachwe wlivyo watajauana wenyewe, ikitokea una shughuli lazima uende kwao huko, jitie ububu kabisa, wala hata usitazame taarifa zao za habari maana utajikuta unaongea kuzihusu maana wengi hatujazoea wanachopitia, utajisahau udhani uko kwenye nchi yenye uhuru kama kwetu.
Piga kimya, shughulika na issues zako kisha geuza mara moja, kama vipi agiza magazeti ya Kenya, yapo yanauzwa huko.
 
Mkenya ambaye atajifanya hadi sasa haijui Tanzania ilivyo atakua na matatizo, kwanza kwa awamu hii, ina maana wanahabari hawakumbuki jamaa aliyekimbilia huku kama ameliwa risasi 38, yule anaitwa Tundu Lissu. Halafu hiyo ndio nchi unakwenda kuhoji hoji.
Watz waachwe wlivyo watajauana wenyewe, ikitokea una shughuli lazima uende kwao huko, jitie ububu kabisa, wala hata usitazame taarifa zao za habari maana utajikuta unaongea kuzihusu maana wengi hatujazoea wanachopitia, utajisahau udhani uko kwenye nchi yenye uhuru kama kwetu.
Piga kimya, shughulika na issues zako kisha geuza mara moja, kama vipi agiza magazeti ya Kenya, yapo yanauzwa huko.
Advice nzuri kwa Wakenya wanaopanga kutembelea Tanzania hivi karibu. Hawa watu hawataki kukosolewa hata kidogo. Wacha tuwaache na mashida zao.
 
Advice nzuri kwa Wakenya wanaopanga kutembelea Tanzania hivi karibu. Hawa watu hawataki kukosolewa hata kidogo. Wacha tuwaache na mashida zao.
Na mtuache kweli, baba mwenye mji wake unakuja kumpangia siku za kulala na mke wake utegemee akuchekee! Pangiweni nyinyi wenyewe, sisi hatupangiwi ila tunapanga ya kwetu kivyetu.
 
Enhee wewe sasa ndio umeijulia Tz. Ushaliwa kiboga ndo maana. Anyone else from Kunya would like to share experience too? Thank you MK254 for sharing this!
Mkenya ambaye atajifanya hadi sasa haijui Tanzania ilivyo atakua na matatizo, kwanza kwa awamu hii, ina maana wanahabari hawakumbuki jamaa aliyekimbilia huku kama ameliwa risasi 38, yule anaitwa Tundu Lissu. Halafu hiyo ndio nchi unakwenda kuhoji hoji.
Watz waachwe wlivyo watajauana wenyewe, ikitokea una shughuli lazima uende kwao huko, jitie ububu kabisa, wala hata usitazame taarifa zao za habari maana utajikuta unaongea kuzihusu maana wengi hatujazoea wanachopitia, utajisahau udhani uko kwenye nchi yenye uhuru kama kwetu.
Piga kimya, shughulika na issues zako kisha geuza mara moja, kama vipi agiza magazeti ya Kenya, yapo yanauzwa huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

just



[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa....
Jamaa kwa sasa wana hasira ya kutengwa na majirani zao wote.
kwanini hamkuwaambia[emoji23][emoji23]

bro sisi ndio tumeanza hivi nyinyi si mlimaliza jana[emoji23][emoji23]
 
Kwani wakiruhusiwa waendelee na huo udadisi wao ndiyo wangeimaliza Corona? Nina wasiwasi umedukuliwa nywila yako ya JF, hii sio comment toka kwa Daudi Mchambuzi wa JF
Chief hiyo resource unayoshauri itumike kuwafunga hao waandishi ingetumika kwenye mikakati ya kupambana na korona ndicho namaamisha.
 
Sema uzalendo kumbe upo automatically tu..sipendi jiwe anavyotuburuza,ila ikija kwenye hizi ishu za msuguano na nchi jirani nakuwa nakaa upande wetu..
 
Hao wanahabari wana ujasiri, itakula kwao, yaani ni kama uingie Korea kaskazini kwenda kuwahoji hali ya corona au maisha yao, utapotezwa....
Jamaa kwa sasa wana hasira ya kutengwa na majirani zao wote.
We mbona unaongeaga ujinga tu fanya siku hata moja uongee point.lakini hiyo yote kwa sababu unachuki na tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom