Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limeni sasa, hakuna kitu kibaya kama kutegemea kulishwa! Mtu akifunga mlango wake akapumzika unahisi kanuna unaanza kujiongelesha sebleniMkiendelea kuwa na akili itapanda zaidi ya hapo, tunahitaji sana malighafi (raw materials) hususan mahindi na sio kwa chakula tu hata viwandani, kwa taarifa zako punje ya mahindi inatumika kuzalisha aina nyingi sana ya bidhaa hapa Kenya....
![]()
Chakula kwa Kenya ni kwa ajili ya kuokoa maisha yenu, sio kwa ajili ya raw materials, " Tanzanian food is a matter of life and deaths for majority of Kunyans"Mkiendelea kuwa na akili itapanda zaidi ya hapo, tunahitaji sana malighafi (raw materials) hususan mahindi na sio kwa chakula tu hata viwandani, kwa taarifa zako punje ya mahindi inatumika kuzalisha aina nyingi sana ya bidhaa hapa Kenya....
![]()
Chakula kwa Kenya ni kwa ajili ya kuokoa maisha yenu, sio kwa ajili ya raw materials, " Tanzanian food is a matter of life and deaths for majority of Kunyans"
Mapopoma hao aridhi imeshikiliwa na koo moja alafu wanajifanya nyenye nyeeee tususe nn wafe njaa mbwa kokozzzAibu zinawashika kulishwa hadi wanajificha kwenye kichaka cha eti ''raw materials''
Eti punje za mahindi zinazalisha aina nyingi ya bidhaa kenya [emoji16]. Ww jamaa bhana.Mkiendelea kuwa na akili itapanda zaidi ya hapo, tunahitaji sana malighafi (raw materials) hususan mahindi na sio kwa chakula tu hata viwandani, kwa taarifa zako punje ya mahindi inatumika kuzalisha aina nyingi sana ya bidhaa hapa Kenya.
![]()
Eti punje za mahindi zinazalisha aina nyingi ya bidhaa kenya [emoji16]. Ww jamaa bhana.
Over 90% ya mahindi toka Tanzania Hutumika katika kuzalisha unga kwa ajili ya matumizi ya binadamu hapo Kenya, "by products zake ndio Hutumika Kama "raw materials" hasa vyakula vya mifugo.Najua hili ni somo nje ya uwezo wako, ila tafuta mtu akusaidie kuelewa nini maana ya corn by-product kwa mfano Elianto Corn Oil etc.
Mapopoma hao aridhi imeshikiliwa na koo moja alafu wanajifanya nyenye nyeeee tususe nn wafe njaa mbwa kokozzz
Kitu ambacho hamuelewi ni kwamba hatuwategemei nyinyi kwa chakula. Chakula tunacho chukua kutoka kwenu tunakinunua kwa cash, tena bei ya juu kuliko kama mkulima angeuza chakula hicho hapo Tanzania. Si msaada mnatufanyia, ni biashara kaka, na kama ilivyo kwa biashara its all about supply and demand.... Wakati ule JPM alileta kichwa kichwa biashara kati ya Kenya na TZ ilishuka hadi $180m (Sahii iko $1 Billion chini ya Mama), lakini si unga bado ulikua unapatikana Kenya? Uganda ndo walifaidi kwani tulikua tunanunua kutoka kwa, na Uganda walipopungukiwa tulinunua ziada kutoka Mexico na Brasil....Limeni sasa, hakuna kitu kibaya kama kutegemea kulishwa! Mtu akifunga mlango wake akapumzika unahisi kanuna unaanza kujiongelesha sebleni
Kitu ambacho hamuelewi ni kwamba hatuwategemei nyinyi kwa chakula. Chakula tunacho chukua kutoka kwenu tunakinunua kwa cash, tena bei ya juu kuliko kama mkulima angeuza chakula hicho hapo Tanzania. Si msaada mnatufanyia, ni biashara kaka, na kama ilivyo kwa biashara its all about supply and demand.... Wakati ule JPM alileta kichwa kichwa biashara kati ya Kenya na TZ ilishuka hadi $180m (Sahii iko $1 Billion chini ya Mama), lakini si unga bado ulikua unapatikana Kenya? Uganda ndo walifaidi kwani tulikua tunanunua kutoka kwa, na Uganda walipopungukiwa tulinunua ziada kutoka Mexico na Brasil....
So hamuezi kutubabaisha na mahindi yenu, hata leo leo mkafunga mipaka, Kesho malori ya Uganda yatakua yamepiga foleni pale mpaka wa Uganda/Kenya yakingoja kuruhusiwa kuingia..... So nyinyi mshukuruni mama Samia kwa kua na akili timamu ya kugundua kwamba tit for tat nyingi zinaumiza wakulima na wanabiashara wa nchi zote mbili, mambo ya kujigamba kwa vitu vya upuzi na kuchoma vifaranga haisaidi mtu wa kawaida, ni sifa na kiki tu.... Biashara ni utulie nyamaze na uwache wananchi wachape kazi!
Mwaka waendelea vizuri, nashukuru 🙏Kafrican
Habari ya mwaka mpya.
Umeongea mengi,
Lakini kuna politics and control in business. I think you are aware of gas business supplied by Russia to Western Europe.
Nmekulewa vyema, Kufunga mipaka Kuwe na sababu za msingi sana lakini tofauti na hapo ni kujimaliza kiuchumi kwakua utawazorotesha wakulima na wafanyabiashara kwa ujumla...Kitu ambacho hamuelewi ni kwamba hatuwategemei nyinyi kwa chakula. Chakula tunacho chukua kutoka kwenu tunakinunua kwa cash, tena bei ya juu kuliko kama mkulima angeuza chakula hicho hapo Tanzania. Si msaada mnatufanyia, ni biashara kaka, na kama ilivyo kwa biashara its all about supply and demand.... Wakati ule JPM alileta kichwa kichwa biashara kati ya Kenya na TZ ilishuka hadi $180m (Sahii iko $1 Billion chini ya Mama), lakini si unga bado ulikua unapatikana Kenya? Uganda ndo walifaidi kwani tulikua tunanunua kutoka kwa, na Uganda walipopungukiwa tulinunua ziada kutoka Mexico na Brasil....
So hamuezi kutubabaisha na mahindi yenu, hata leo leo mkafunga mipaka, Kesho malori ya Uganda yatakua yamepiga foleni pale mpaka wa Uganda/Kenya yakingoja kuruhusiwa kuingia..... So nyinyi mshukuruni mama Samia kwa kua na akili timamu ya kugundua kwamba tit for tat nyingi zinaumiza wakulima na wanabiashara wa nchi zote mbili, mambo ya kujigamba kwa vitu vya upuzi na kuchoma vifaranga haisaidi mtu wa kawaida, ni sifa na kiki tu.... Biashara ni utulie nyamaze na uwache wananchi wachape kazi!
Mwaka waendelea vizuri, nashukuru 🙏
ofcourse politics na godfather zao wako wanacontrol economies behind the scenes, hata mambo mengine tunaeza kua twajadili tukidhani ni diplomacy kati ya nchi mbili kumbe ni watu kadhaa serekalini wana shape policy za nchi ili zi favor biashara zao binafsi.... So i'm aware such things exists.
Huwa anachekesha sana kwa maandishi yake ya kujifariji, tangu lini punje za mahindi zikawa na aina nyingi ya bidhaa Kenya tofauti na ugali while at the same time uchumi wao ni agricultural based[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti punje za mahindi zinazalisha aina nyingi ya bidhaa kenya [emoji16]. Ww jamaa bhana.
Nmekulewa vyema, Kufunga mipaka Kuwe na sababu za msingi sana lakini tofauti na hapo ni kujimaliza kiuchumi kwakua utawazorotesha wakulima na wafanyabiashara kwa ujumla...
Haijalishi kenya wanalima mahindi ama hawalimi kama sisi tunalima kazi yetu mi moja tu kulima mahindi yakutosha soko la ndani na nje...sio lazima kila mtu alimemahindi....Biashara ya kuuza mazao inawainua sana wakulima kanda ya kaskazini mwa Tz hasa ukiangalia kitakwimu ndio ukanda wenye wastani mzuri wa gdp per capital kuliko kanda zingine zote except ukanda wa pwani unaobebwa na dar
Sasa hivi hata Uganda pia hununua chakula kutoka Tanzania kwasababu uzalishaji wao hauendani na mahitaji Yao, kuhusu kununua chakula toka nje ya Africa, "hiyo haiko "Sustainable", hiyo hutokea kama dharura, lakini huwezi tegemes chakula toka mbali kwa matumizi ya nchi nzima kwa mwaka mzima.Kitu ambacho hamuelewi ni kwamba hatuwategemei nyinyi kwa chakula. Chakula tunacho chukua kutoka kwenu tunakinunua kwa cash, tena bei ya juu kuliko kama mkulima angeuza chakula hicho hapo Tanzania. Si msaada mnatufanyia, ni biashara kaka, na kama ilivyo kwa biashara its all about supply and demand.... Wakati ule JPM alileta kichwa kichwa biashara kati ya Kenya na TZ ilishuka hadi $180m (Sahii iko $1 Billion chini ya Mama), lakini si unga bado ulikua unapatikana Kenya? Uganda ndo walifaidi kwani tulikua tunanunua kutoka kwa, na Uganda walipopungukiwa tulinunua ziada kutoka Mexico na Brasil....
So hamuezi kutubabaisha na mahindi yenu, hata leo leo mkafunga mipaka, Kesho malori ya Uganda yatakua yamepiga foleni pale mpaka wa Uganda/Kenya yakingoja kuruhusiwa kuingia..... So nyinyi mshukuruni mama Samia kwa kua na akili timamu ya kugundua kwamba tit for tat nyingi zinaumiza wakulima na wanabiashara wa nchi zote mbili, mambo ya kujigamba kwa vitu vya upuzi na kuchoma vifaranga haisaidi mtu wa kawaida, ni sifa na kiki tu.... Biashara ni utulie nyamaze na uwache wananchi wachape kazi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi hata Uganda pia hununua chakula kutoka Tanzania kwasababu uzalishaji wao hauendani na mahitaji Yao, kuhusu kununua chakula toka nje ya Africa, "hiyo haiko "Sustainable", hiyo hutokea kama dharura, lakini huwezi tegemes chakula toka mbali kwa matumizi ya nchi nzima kwa mwaka mzima.
Tanzanian food is ready, easily and at cheaper than from other countries that's why GoK prefers to buy from Tanzania than any other country.
Katika biashara Kati ya Kenya na Tanzania, japo nchi zote zinafaidika, Kenya inafaidika zaidi, kwasababu Tanzania inapata pesa, lakini Kenya inaokoa maisha ya wananchi wake, Kati ya pesa na kuokoa roho za watu, kipi ni muhimu?, Kenya ndio mnapaswa kushukuru mama Samia.