Tanzania kwa sasa ndio ime-dominate biashara hapa EAC, ndiyo top export economy kuzidi nchi zote

Tanzania kwa sasa ndio ime-dominate biashara hapa EAC, ndiyo top export economy kuzidi nchi zote

Halafu kuna mshikaji wangu alikua anafuata mbao na magogo Tanzania kitambo, alipiga hela sana jamaa enzi zile, sijamuona siku nyingi, itabidi Wakenya tuchangamkie hizi fursa, hawa watu wana ardhi kubwa ambapo kuna kila aina ya malighafi.

Vitalu vya madini ndio najua hatutapata maana tulichelewa, makaburu wa Afrika Kusini na Waarabu walishayahodhi na kujichukulia.

Tuanze kuamsha viwanda vyetu sasa malighafi ipo, ukizingatia hata DRC wanaingia kwenye jumuia ya EAC na liinchi lao lile, aisei mwendo wa kula kwa urefu wa kamba, au tukate kamba kabisa na kula kote.

Science_Goat-Problem_2600_Lede.jpg
Viva EAC.
 
Very good....[emoji109][emoji109], Mwenye Ako na akili ameelewa
Kama kawaida yenu, Sasa Kati ya Kenya na Tanzania, nani anamtegea mwengine kwa biashara?, Tanzania soko letu kubwa la kuuza na kununua bidhaa zetu ni SADC, Kenya soko lenu kubwa ni lipi?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kawaida yenu, Sasa Kati ya Kenya na Tanzania, nani anamtegea mwengine kwa biashara?, Tanzania soko letu kubwa la kuuza na kununua bidhaa zetu ni SADC, Kenya soko lenu kubwa ni lipi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Soko lao kubwa la kuvizia vizia watakutajia brazil, watakutajia uganda, atakutajia sijui nchi gani hulo za kubabia babia, yani ikiingia meli imejaza gunia mara moja wanaitaja hiyo kama business partner, haka kajamaa Mk254 inaonekana kako tupu sana huko kenya halafu kila siku kako humu kuonesha utupu wake.
 
Back
Top Bottom