Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
Wacha mdomo ww, you people are suffering from hunger any how whether your purchase it or not you will also be masikini jeuri EAC navile Congo keshokutwa inaingia EAC sahau kabisa. Nchi pekee EAC ambayo yaweza jitegemea hapa kwa chakila chakutosha ni Tanzania na Uganda kidogo wengine tulieni Kama mtori nyama ziko shini!Kitu ambacho hamuelewi ni kwamba hatuwategemei nyinyi kwa chakula. Chakula tunacho chukua kutoka kwenu tunakinunua kwa cash, tena bei ya juu kuliko kama mkulima angeuza chakula hicho hapo Tanzania. Si msaada mnatufanyia, ni biashara kaka, na kama ilivyo kwa biashara its all about supply and demand.... Wakati ule JPM alileta kichwa kichwa biashara kati ya Kenya na TZ ilishuka hadi $180m (Sahii iko $1 Billion chini ya Mama), lakini si unga bado ulikua unapatikana Kenya? Uganda ndo walifaidi kwani tulikua tunanunua kutoka kwa, na Uganda walipopungukiwa tulinunua ziada kutoka Mexico na Brasil....
So hamuezi kutubabaisha na mahindi yenu, hata leo leo mkafunga mipaka, Kesho malori ya Uganda yatakua yamepiga foleni pale mpaka wa Uganda/Kenya yakingoja kuruhusiwa kuingia..... So nyinyi mshukuruni mama Samia kwa kua na akili timamu ya kugundua kwamba tit for tat nyingi zinaumiza wakulima na wanabiashara wa nchi zote mbili, mambo ya kujigamba kwa vitu vya upuzi na kuchoma vifaranga haisaidi mtu wa kawaida, ni sifa na kiki tu.... Biashara ni utulie nyamaze na uwache wananchi wachape kazi!
Who is a business man here,unajua over dependancy ya 1 Market(Country),is dangerous but at the same time sweet😕
Wacha tuone nani kawekwa kwapani😂
Wakulima wafurahie,lakini waombe vuguvugu lisitokee tena,
💯yes its a win win situation,lets hope ujirani uendelee kuneemekaRaundi hii wakulima wao wataneemeka na sisi viwanda vyetu vitanufaika, it's a win-win.....
Hii itaendelea as long as mama atakua rais kabla chizi mwingine hajaukwaa urais.
Sio win win ,Kenya ndiyo itaneemeka zaidi kwasababu maisha ya wakenya wengi yataokolewa, bila chakula toka Tanzania, wakenya wengi wangekufa kwa njaa.[emoji817]yes its a win win situation,lets hope ujirani uendelee kuneemeka
nyinyi pia mtafaidika wakulima hawalimagi bure,lazima mazao yauzwe,nasisi KE ndio wananunuzi,tutafaidika wote kwasababu uchumi wenu utakua piaSio win win ,Kenya ndiyo itaneemeka zaidi kwasababu maisha ya wakenya wengi yataokolewa, bila chakula toka Tanzania, wakenya wengi wangekufa kwa njaa.
Kazi nzuri ya Raisi tuliyenaye sasa.Biashara kati ya Kenya na Tz, ina favor Tanzania kwakua Tz Ina export goods worth 500millUS$ while import only 400MillUS$, hongera watanzania kwa kuchapa kazi
Kazi nzuri ya Raisi tuliyenaye sasa.
Si lile kichaaa lililokufa.life na zaidi huko aridhini
Very good....[emoji109][emoji109], Mwenye Ako na akili ameelewaKitu ambacho hamuelewi ni kwamba hatuwategemei nyinyi kwa chakula. Chakula tunacho chukua kutoka kwenu tunakinunua kwa cash, tena bei ya juu kuliko kama mkulima angeuza chakula hicho hapo Tanzania. Si msaada mnatufanyia, ni biashara kaka, na kama ilivyo kwa biashara its all about supply and demand.... Wakati ule JPM alileta kichwa kichwa biashara kati ya Kenya na TZ ilishuka hadi $180m (Sahii iko $1 Billion chini ya Mama), lakini si unga bado ulikua unapatikana Kenya? Uganda ndo walifaidi kwani tulikua tunanunua kutoka kwa, na Uganda walipopungukiwa tulinunua ziada kutoka Mexico na Brasil....
So hamuezi kutubabaisha na mahindi yenu, hata leo leo mkafunga mipaka, Kesho malori ya Uganda yatakua yamepiga foleni pale mpaka wa Uganda/Kenya yakingoja kuruhusiwa kuingia..... So nyinyi mshukuruni mama Samia kwa kua na akili timamu ya kugundua kwamba tit for tat nyingi zinaumiza wakulima na wanabiashara wa nchi zote mbili, mambo ya kujigamba kwa vitu vya upuzi na kuchoma vifaranga haisaidi mtu wa kawaida, ni sifa na kiki tu.... Biashara ni utulie nyamaze na uwache wananchi wachape kazi!
Biashara kati ya Kenya na Tz, ina favor Tanzania kwakua Tz Ina export goods worth 500millUS$ while import only 400MillUS$, hongera watanzania kwa kuchapa kazi
Eti punje za mahindi zinazalisha aina nyingi ya bidhaa kenya [emoji16]. Ww jamaa bhana.
Kenya anailisha sudani kusini kupitia mahindi ya tanzania pia
Wewe mwenyewe akili hunaDah! Safi sana, wee jamaa mbona umeadimika, hili jukwaa linahitaji walau hata na Mtanzania mmoja mmoja hivi mwenye kutumia akili......
No. I know abt that. Ninamjua uyu jamaa alivojibu ivyo alikuwa from which angle. Ndio maana nikawa nacheka.Wanazalisha unga wa ugali, wanazalisha mafuta ya kula, pumba ni chakula cha mifugo na pumba ya mahindi inachanganywa na ya mpunga inazalisha mnaita singboard au ulijua ni chakula tu
middle income country inapokea msaada wa chakula poor kenyans, badilisheni mindset ingawaje mlishachelewa sana hahahahaTanzania ana maghala ya kuuza chakula Sudan kusini pia Tanzania ina mpango wa kufungua maghala Mombasa kwa ajili ya kulisha Kenya.
Juzi Kenya imepokea chakula cha msaada kutoka China.
middle income country inapokea msaada wa chakula poor kenyans, badilisheni mindset ingawaje mlishachelewa sana hahahaha
Hongera.
As we all know, we are the US and you are our Mexico. 🤣 🤣