Tanzania kwanini isitangaze rasmi lugha ya 3 ya taifa?

Tanzania kwanini isitangaze rasmi lugha ya 3 ya taifa?

Mpaka mkuu akatalie madarakani ndio tutaipitisha.. Tofauti na hapo Elimu bora kwanza na sio Elimu bure
 
Tupo karibia robo tatu ya watanzania, kwenye kupiga kura sisi ndio tunaamua nani atuongoze. Kuna siku tutaizunguka bongo yote tutaiweka mtu kati yani tutakua remote ya Tanzania yetu, I'm lake zonian.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wahutu na watutsi walianza hivi hivi, naona mnaficha tu nyuso zenu ila huu ni vugu vugu la mvutano wa wachaga na wasukuma.

Yale yale ya rwanda huku nako wasukuma wanajiona walikuwa chini muda mrefu na kuona wachaga wanapendelewa likifanyika jambo tu unasikia propaganda ukaskazini, mara raisi hapaswi kutoka kaskazini mara mradi flani haupaswi kufanyika kaskazini, leo angeibuka mchaga akasema anapendekeza kichaga kiwe lugha ya taifa sijui hayo mashambulizi yake kama yangemuacha salama

Sisi wanyiramba mtuache na unyonge wetu tupigieni tu risasi viongozi wetu, wengine muwatumbue na wengine muwafukuze kwenye chama chenu. Tunyongeni muwezavyo
 
Kiuhalisia angalia kanda ya ziwa yote, kanda kubwa Bongo yote imemezwa na sisi wasukuma kitu ambacho ni tofauti na hizo kanda nyingine. Hili ni kabila kwanza watu wake wana umoja, hoja yako ya kwamba sijui tupo chini hiyo haina mashiko. Tuna utajiri wa madini karibia kanda yetu yote sasa tunataka faida yake ianzie nyumbani kitu ambacho wakina kikwete hawakufanya na ndio kinawasumbua hicho mkiona treni ya umeme inapita kwetu, soko kubwà la madini linajengwa kwetu, kiwanja kikubwa cha ndege kinajengwa kwetu na miradi mingine mikubwa. Hili ni kabila lenye nguvu kubwa kwenye uchumi wa nchi hii nyinyi vumilieni tu maana hii nguvu tuliyo nayo haiwezi kushushwa hata Magu akitoka madarakani.
Wahutu na watutsi walianza hivi hivi, naona mnaficha tu nyuso zenu ila huu ni vugu vugu la mvutano wa wachaga na wasukuma.

Yale yale ya rwanda huku nako wasukuma wanajiona walikuwa chini muda mrefu na kuona wachaga wanapendelewa likifanyika jambo tu unasikia propaganda ukaskazini, mara raisi hapaswi kutoka kaskazini mara mradi flani haupaswi kufanyika kaskazini, leo angeibuka mchaga akasema anapendekeza kichaga kiwe lugha ya taifa sijui hayo mashambulizi yake kama yangemuacha salama

Sisi wanyiramba mtuache na unyonge wetu tupigieni tu risasi viongozi wetu, wengine muwatumbue na wengine muwafukuze kwenye chama chenu. Tunyongeni muwezavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo wasukuma ni wengi lugha yao wajaisambaza hoja ya mtoa mada haina mashiko

Sent using Jamii Forums mobile app
... wenyewe kama wanaionea aibu vile! Ukutane na mimasai ni kimasai tu hata kama ni stendi in public wao wanapiga nondo tu; similarly to michaga na mihaya. Ila wasukuma sio kivile.
 
Dawa zinatakiwa zimezwe kwa umakini sana..
Tanzania ni nchi iliyo na makabila mengi sana hivyo ukifanya hivyo makabila mengine yatatutumka nayenyewe kutaka hivyo..haistahiri kuwa lugha ya taifa kwanza sidhani kama inajitosheleza kimsamiati niambie kompyuta inaitwaje kwa hiyo lugha,pia calculator,rimoti je.?
Mkuu italeta mtafaruku usio mantiki bora tuendelee na tz yetu maana ikitambuliwa mtataka pia iwe lugha ya kufundishia
Hapana kufundishia itakuwa ngumu kwa sababu kuna baadhi ya maneno ni magumu sana kuyaandika, lakini kutamka ni rahisi sana.Mimi nilijifunza muda mfupi tu nikaelewa nikapata Na demi kwa urahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajf hamjambo!
Kama swali hapo ambalo huwa najiuliza mara kwa mara , Leo nimeona niwaletee tujadili kidogo kama inafaa au haifai with ground reasons.

Ukifika South Africa wao wana lugha kama nane officially recognized baadhi ni kizulu, kisuthu, Xhosa, Afrikana, English, nk .

Ukifika katika ile wanaozaliana kama sangara wao wana English, Yoruba, Hausa, IBO nk zote ni officially recognized national language huko kwenye mji MKUBWA wenye msongamano wa magari Na wengi wa madereva wasio Na nidhamu.

Huko DR Congo kuna Lingala, Kikongo, Manyema , kifaransa nk ni officially recognized Language.

Je hapa Tz kwanini Lugha ya tatu isitambuliwe kuwa lugha 3 ambayo ndiyo lugha ya kiasili inayotumiwa na watz wengi na pia Watanzania wasio wa kabila hiyo wanaifahamu asilimia kubwa Na hata humu JF mtu akisema ngosha unaelewa tu.

Kwanini kisukuma kisiongezwe kiwe lugha ya tatu ya taifa letu? Tafadhali MAENDELEO haya Vyama!
Wewe unataka kuturudisha nyuma kama wasukuma walivyomsumbua Nyerere wakitaka lugha ya ndiyo iwe ya taifa na tuachane na kiswahili.usumbufu huo utajua madhara yake ukienda Zambia na Malawi.
 
Utawala huu umetuletea mengi ambayo hatujawahi kuyasikia miaka ya nyuma;
Hongera Magufuli kwa kufanikiwa kuwadanga Wasukuma kuwa wewe ni mwenzao na sasa unataka lugha yao iwe lugha ya Taifa. 2015 ulipiga kampeni kwa Kisukuma na hukufanywa lolote maana Tume ni ya ccm na Leo mnaanza chokochoko za Kisukuma kuwa Lugha ya Taifa, siyo kwa bahati mbaya mna malengo na mtafanikiwa endeleeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom