Tanzania kwisha habari yetu hata misitu ya asili tunahitaji wawekezaji!

NCHI HII ITAWEKEZA KWA WAWEZEKAJI KTK KILA ENEO MPAKA MAHAKAMA
 
Waraabu ndio wataalam wa kutunza misitu mkuu, refer kule kwao arabuni palivyostawi ile misitu yao!!
 
Tatizo letu Watanganyika tunaongea ndio lkn tunaongelea kwenye keyboard tu
 
Hivi beat za wimbo wa Taifa ni zile zile? Siku nyingi sijausikia, nimeumiss.
 
Mkwe yuko maliasili mtoto yuko nishati, yaani uncle Abdully...[emoji12][emoji12][emoji12] Yaani tumepigwa majini na nchi kavu
 
Nchi ya kipumbavu sana na viongozi wapumbavu pia, misitu inaitaji mwekezaji ili iweje wakati imejiotea yenyewe, uyu mama sijui na wabambe wake ,ipo siku watanyongwa ,ni mda tu
Alafu mijitu inakenua meno, pumbavu
 
Pasipo kutenda Haki na kuendeleza uvivu na unafiki tusahau kuendelea... Sasa mtu anamwibia Mwenzie Kura kuna maendeleo hapo,,uwizi Ni Dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…