Tanzania leads East Africa With External Debt at 38.8% of GDP. Kenya Comes in Second at 29.7%


Initially mlikua mnatucheka tunakopa, sasa hivi mnajifanya vile mnakopeshwa. Nyinyi ni wa kuhurumia tu.πŸ˜€πŸ˜€
 
hahahaha wanajenga reli bila mkopo etiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€...kama kuna mtu baradhuli barani africa, ni mtz
kama pesa ipo ulitaka tufanyeje kama kukopa tutakopa kwenye miradi mingine lakini mega projects zote tutatumia internal sourceπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
huwez amini wamefika red line yani debt to GDP ratio is 60% alaf bado wanataka mikopo hehehπŸ˜€πŸ˜€
alaf anataka kufananisha na tanzaniaπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
nimecheka sana anajifanya engineer huku kichwa kimejaa pamba na mizoga
 
Initially mlikua mnatucheka tunakopa, sasa hivi mnajifanya vile mnakopeshwa. Nyinyi ni wa kuhurumia tu.πŸ˜€πŸ˜€
Mmeonywa siyo na JF members ata na wachumi wabobezi na taasisi za kifedha. Kopa ila ukiwa na kikomo na kuangalia riba na sababu ya kukopa. Ningefurahi zaidi kama unge chambua nilicho andika tuka tililika kwa style hiyo siyo kuni hamisha.
 
Mmeonywa siyo na JF members ata na wachumi wabobezi na taasisi za kifedha. Kopa ila ukiwa na kikomo na kuangalia riba na sababu ya kukopa. Ningefurahi zaidi kama unge chambua nilicho andika tuka tililika kwa style hiyo siyo kuni hamisha.
Tumekopa nje 29.7% of our GDP. Mmekopa nje 38.8% of your GDP. Hivi kulingana nawe nani ana kibarua kigumu cha kulipa deni?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…