Tanzania leads East Africa With External Debt at 38.8% of GDP. Kenya Comes in Second at 29.7%

Tanzania leads East Africa With External Debt at 38.8% of GDP. Kenya Comes in Second at 29.7%

Hivi wewe uko sawa kweli.. unazani WB, AFDB, IMF and the likes ni kama saccos ya Kibera! Utawezaje kukopa kimya kimya. Kama ni kimya kimya kwanini iwekwe kwenye report? Kwa taharifa yako hiyo mikopo ina mchakato mrefu sana mpaka kuja kupewa siyo kupiga simu nakutumiwa pesa.
Miradi ambayo ina fanywa kutumia hizo pesa za mikopo inajulikana. Upanuzi wa bandari usd 300m, BRT phase 2 zaidi ya usd 250m, Ubungo interchange more than 250m, miradi ya maji, DMDP zaidi ya Usd300m, Maboresho ya reli ya kati (narrow gauge)usd 200m etc ila siyo SGR.
Taasisi yoyote ya fedha ikikupa fedha lazima uipeleke kule kuliko kusudiwa other wise inakuwa ni moral hazard. Ila ata kama tungekopa 10b na bado total loan ikawa 32% ya GDP bado tungekua safe. Nyie pambaneni na Uhuruto wenu
Majamaa wa kukopa.
 
Back
Top Bottom