Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Mkuu huyu jamaa ni mwongo sana. Habari yake haina ukweli wowote. Hawa wakenya sijui wakoje aise!Hivi hata Trump na wananchi wake wa USA marufuku kuingia Europe?
Hehehe, Muungano wa EU kweli umejaa ujinga tupu..Ndio maana UK walijitoa humo(Brexit)
Amepost vile anavyojisikia.