Tanzania licha ya kujiaminisha hawana corona, hawataruhusiwa kuingia bara Uropa

Tanzania licha ya kujiaminisha hawana corona, hawataruhusiwa kuingia bara Uropa

Kwahiyo wewe unasema Kenya sababu ya kirusi na Tanzania je sababu ya nini?, Sisi wanatujua vizur hatuwashobokei Kwanza Watanzania sio wazurulaji kama Kenya kwahiyo haina madhara hata kama hatujachaguliwa ila ninyi munaojifanya kuwakumbatia wenzenu wamewatema sasa cjui hiko kingereza chenu mutabonga na nani ,kuna nchi kibao zinazo maambukizi na zimetajwa


Sote tumepigwa ban sababu ya kirusi.

Tatizo si kupigwa sisi ban tu ila hata utalii ndiyo hivyo tena. Au sivyo mkuu?

Kwa vile hii itakuwa tunakuwa reviewed kila baada ya wiki mbili, huoni pana hatari ya kuwa yale ya kuja kuchekana mwisho kwa mwendo huu?

Nadhani Kenyatta alikuwa na hoja. Adui yetu ni kirusi. Hatuna sababu ya kuchekana nadhani kwa sababu ya kirusi. Au siyo mkuu?
 
Wakenya wanachukulia korona ugonjwa ndio maana wanatoka katika dira wakati Tanzania inachukulia korona ni vita kama vita nyengine.huu ugonjwa wazungu wanaurumia kuwatawala Africa Yani ni ugonjwa wa kistratejia unatumika Kwa kugeuzana fursa ndio maana Tanzania imeliona hili ijasema korona ni vita kama vita zingine. Kama sababu maambukizi kwani katika nchi zilizochaguliwa hamna ilioizidi Kenya Kwa maambukizi? Tanzania haitangazi ripoti Kwa mabalozi wao c wapo hawaoni hali ilivyo tofauti na nchi zilizo na maambukizi?
 
Inategemea na unakotoka na unakokwenda, Waafrika huona hata heri wafie baharini wakijaribu kwenda kwa wale, hata ukisikia wana corona usidhani wanateseka maisha ya hovyoo kama huku.
Wewe sasa hivi hapo ulipo unaweza kwenda huko?
 
Wewe sasa hivi hapo ulipo unaweza kwenda huko?

Ningekua mlalahoi wa Kiafrika kama walivyo mamilioni wengi huku mbona nisingekawia, binafsi kwa sasa siwezi maana naipenda kazi yangu ambayo imeniwezesha kuishi bila mahangaiko Afrika, ila kuna kipindi ningekua tayari kuogelea kwenye bahari yenye papa kwenda Ulaya, hata wangesema kuna corona ningekweda kufukiza huko huko na malimau na tangawizi hadi niweze kuishi nayo ila kwao huko na sio huku.
Kwa sasa labda wanialike kwa ajira yenye mshahara mkubwa sana kiasi cha kuweza kuwa naruka kwa ndege kila wikendi kurudi hapa home kula bata.
 
Inategemea na unakotoka na unakokwenda, Waafrika huona hata heri wafie baharini wakijaribu kwenda kwa wale, hata ukisikia wana corona usidhani wanateseka maisha ya hovyoo kama huku.
kithibitisho kama Tanzania Corona hamna
 
Kama kwetu Kuna corona mbona hawaachi kumiminika....kwamwerevu anaelewa this is politics


Mind you China kitovu Cha korona pamoja na kuathirika watu na corona hawakuzuia Hadi ikawa too late....na leo wanawapa waingie.....

Nafikir wanaelewa China haina mchezo wakisema Hamna mchina asiingie Europe nae atasema no mzungu uchinani.....waone uchumi utavoyumba na vile mchina amedominate.....
So tz tupge Kaz kunapoint hawataweza kusema hivi hata tuwe na mafua ya ndege,corona na ebora combined!
 
MK254 TZ ni taifa la wapumbavu au hujui hilo hasa katika awamu hii ya 5,najisikia aibu sana kuwa mtanzania
 
Nakuona hupo kwa keja yako kwa slum
 
Kunya ujipake mav yako uondoe aibu ya kuwa mTz
Ewe kiumbe kilicholaaniwa ,kwa unyenyekevu mkubwa naomba idhini yako ikikupendeza nikuite mnadhimu mpumbavu.Na mtu mmoja wa JF aseme a amen!
 
Back
Top Bottom