Mkuu huyu jamaa ni mwongo sana. Habari yake haina ukweli wowote. Hawa wakenya sijui wakoje aise!Hivi hata Trump na wananchi wake wa USA marufuku kuingia Europe?
Hehehe, Muungano wa EU kweli umejaa ujinga tupu..Ndio maana UK walijitoa humo(Brexit)
Hawa WAKENYA ni hodari Sana kupika data. Hii hawajasoma, Au KLM ni Nakuru?
Hata wenyewe hawapo kwenye list.Punguza fikra za kitoto wewe. Hatujaomba kwenda Kwa mtu coz we are self xistent n tunajitosheleza in all areas. Sisi kuenda kule comes with little if no benefits but them coming to us means that tourism is gon prosper. We ain't landlocked, we don't do what is of no benefits to us, no wonder that news was too minor to catch attentions of tzdians, however, Kenya inakaa kama imewabamba Sana Sisi kumiss kwenye list
MK254,
Yani wewe mkenya huwajui watz! Sisi hatuthamini kwenda huko urop ndiyo maana hata magu alipiga marufuku viongozi kwenda ovyo ovyo, sasa ukumbuke USA iliweka vikwazo mfu eti baadi ya viongozi wasiingie USA hata hatukuwajibu ni sawa sawa na kumnyima mbuzi samaki ukaona umemnyima chakula. Ndivyo hata wangesema wamemzuia magu kukanyaga USA tusinge poteza muda kuwajibu maana raisi wetu mwenyewe hana time na kwenda USA wala Ulaya
Kama no jackpot, kachimbe shimo huko ulaya uone kama utapata Tanzanite.Hii ni kama jackpot ya sportpesa. Sio kila MTU atapata.
Unategemea nini kwa raia ambao Rais wao mh.Uhuru Kenyatta analalamika kuwa wamezidi kwa WIZI NA KUPENDA MAPESA MENGI YA SHORTCUTS.Nyinyi wakujipendekeza kwa wazungu ndiyo mtapata shida sana. Sisi hatuna habari nao hao mabeberu!
Unawajibu nini watu ambao wanarithishana kutufanya mateka dahari.Ila JIWE alikosea saana aise yani hata hakuwajibu USA dah huyu jamaa kweli Hapangiwi
LOL kila siku serikali inawatukuna mabeberu kwenye majukwaa lakini hawakomi kutohonga mipesa ya bure kila sikuOur forefathers never tailored our system to Europe or US,na ndio maana Rais wetu hana mpango wakwenda huko,ndio maana anawaita "mabeberu"mchana kweupe, najua hakuna Rais wa Kenya ambaye amewahi na hatawahi kutamka hilo neno kwenye jukwaa, japo wanawapapasa!
Unachekesha, kwa mwezi zinauzwa tanzanite zenye thamani ya zaidi ya million 10 $ na wananchi wa kawaida tu.Hii ni kama jackpot ya sportpesa. Sio kila MTU atapata.
Magu anapiga siasa za reelection na hii ya $3mUnachekesha, kwa mwezi zinauzwa tanzanite zenye thamani ya zaidi ya million 10 $ na wananchi wa kawaida tu.
The definition of shitholeMagu anapiga siasa za reelection na hii ya $3m
Ila tunajua Tanzania ni shitholest country hapa EAC wakiwa na Burundi