Tanzania licha ya kujiaminisha hawana corona, hawataruhusiwa kuingia bara Uropa

Hii ni kama jackpot ya sportpesa. Sio kila MTU atapata.
Pole unafananisha biashara na kamali kweli wewe pungu two unazani ukiwa na kitalu watu wakisema sejapata kitu unazan ndio kapunwa anakua amepata ila ya ela ndogo ndogo watu wa kule hizi million haziwapigi chenga pimbi wewe.
 
Pole unafananisha biashara na kamali kweli wewe pungu two unazan ukiwa na kitalu watu wakisema sejapata kitu unazan ndio kapunwa anakua amepata ila ya ela ndogo ndogo watu wa kule hizi million haziwapigi chenga pimbi wewe.
Hio unaita kamali imesponsor ligi Tz ugenini, sijui Tanzanite imefanya gani?
 
Ila Wakenya ni wajinga mno!

Huwa wanaona sana fahari kutawaliwa na mzungu!

Mijitu nyumbu kweli hii.
Hawa akili zao ukiwa kalibu na mzungu unatengeneza many employment na thamani ya pesa kuwa juu, kumbe hawajui thamani ya pesa pekeyake haitoshi maana matumizi yaleyale tu wewe kama una pesa ndogo unazo tu na kama una nyingi ndio unazo tu hamna kinachobadilika mfano mfupi wanadai pesa zetu za madafu ila bosi wa Bongo mwenye pesa za madafu bado hawawezi kumfikia na pesa zao zenye thaman sasa si upumbavu huu uliokithiri, kuna haja gani sasa ya kulingia thamani ya pesa.
 
We si undelee na lockdown huko kwenu?ya TZ yaache hatuna mpango kwenda huko kwanza presidaa wetu ana mwaka wa 5 yupo hapa hapa na mambo yanakwenda.Kwani nani ana lilia kwenda ulaya huku. Endeleeni na mambo yenu tuache na yetu.
 
Poleni waswahili mazee dah. Hata baada ya kupona korona beberu bado anawapumulia tu!😂
 
Wenyewe pamoja na kulamba miguu na kula vinyesi vya wazungu hawapo kwenye list, kwa hakika vya bure ni utumwa!
 
We si undelee na lockdown huko kwenu?ya TZ yaache hatuna mpango kwenda huko kwanza presidaa wetu ana mwaka wa 5 yupo hapa hapa na mambo yanakwenda.Kwani nani ana lilia kwenda ulaya huku.Endeleeni na mambo yenu tuache na yetu
Wanaujanja wa kuendelea na lockdown? jeuri ya yao ni vyabure vikiisha tu watajifungulia bila kuambiwa.
 
Poleni waswahili mazee dah. Hata baada ya kupona korona beberu bado anawapumulia tu!😂
endeleeni kuhemea vya bure, mtadhalilika shaurizenu! failed state, karne hii bado mnao uhuru wa bendera tu, maamuzi yote juu ya kenya yanatoka Europe na ndiyo maana mnawaona kama miungu watu, POLENI MAJIRANI WANAFIKI.
 
Niende kufanya nn kama vitu vzr viko uku mbuga wanyama n.k
 
Haileti mantiki kwa Tanzania kufungiwa licha ya kwamba ndio nchi pekee dunia yote iliyopona corona, haipaswi kuzuiwa kuingia popote pale.

Kwa Kenya inaeleweka hata tukizuiwa maana namba za waathirika bado zinapandisha.
Mnapandisha Hadi wapi

Mna aim Hadi wapi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaisoma Kenya tokea katika list ipi mkuu?
Hahahaha natumia fasihi , c unajua wenzetu wapo karibu Sana na wazungu mpaka lugha yao ya taifa kingereza sasa hata kama hawajatajwa kataenda hawatojulikana kama wakenya Kwa kua wanabonga kingereza
 
Mtu mwenye akili timamu unawezaje kusafiri kuelekea kule ambako kuna shida, ukitokea kule ambako hakuna shida?
 
Hahahaha natumia fasihi , c unajua wenzetu wapo karibu Sana na wazungu mpaka lugha yao ya taifa kingereza sasa hata kama hawajatajwa kataenda hawatojulikana kama wakenya Kwa kua wanabonga kingereza

Ninakuwa na taabu kidogo na u mashiko kwa hii fasihi yako mkuu, kwani mleta mada amekuwa wazi na tena kwenye sentensi ya mwanzo kabisa:



Sasa hii fasihi yako siyo inashindwa kusimama mithili ya gunia tupu mkuu?
 
Mtu mwenye akili timamu unawezaje kusafiri kuelekea kule ambako kuna shida, ukitokea kule ambako hakuna shida?

Inategemea na unakotoka na unakokwenda, Waafrika huona hata heri wafie baharini wakijaribu kwenda kwa wale, hata ukisikia wana corona usidhani wanateseka maisha ya hovyoo kama huku.
 
Ninakuwa na taabu kidogo na u mashiko kwa hii fasihi yako mkuu, kwani mleta mada amekuwa wazi na tena kwenye sentensi ya mwanzo kabisa:

View attachment 1494187

Sasa hii fasihi yako siyo inashindwa kusimama mithili ya gunia tupu mkuu?
Kwahiyo wewe unasema Kenya sababu ya kirusi na Tanzania je sababu ya nini?, Sisi wanatujua vizur hatuwashobokei Kwanza Watanzania sio wazurulaji kama Kenya kwahiyo haina madhara hata kama hatujachaguliwa ila ninyi munaojifanya kuwakumbatia wenzenu wamewatema sasa cjui hiko kingereza chenu mutabonga na nani ,kuna nchi kibao zinazo maambukizi na zimetajwa
 
Kwan Kenya wana maambukizi mengi kushinda misri ? Sema tu Kenya hawana umuhimu, mzigo, njaa Kali, wanajipendekeza sana Kwa wazungu ndio maana wametemwa
 
Magu anapiga siasa za reelection na hii ya $3m
Ila tunajua Tanzania ni shitholest country hapa EAC wakiwa na Burundi
Umesahau NAIROBI THE GREEN SHIT IN THE SLUM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…