Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Bado idadi ya wanajeshi Kenya ni chini ya 30,000 hadi kufikia sasa. Unabwabwaja bila takwimu zozote zaidi ya kuleta picha zisizohusika.Lakini jamani wewe Kenya kuna Majeshi sahi yankaribia elfu 60, mwaka wa 2014 yalikuwa elfu 30, 2011 hadi 2016 hiyo ni miaka 5 wanajeshi 800 gawa na 5 hiyo tayari ni wanajeshi 160 kwa mwaka, wengine wagonjwa, wengine wameenda nchi za ng'ambo, yaani wewe unaona eti hiyo ni namba kubwa??? Mkuu hiyo idadi ni ndogo sana kwa kuwa hata haiingii ratio ya 1:50!!
Acha hadithi za lila na fila na wewe.Ushamba unayo kutoka mbeya.JWTZ ni aibu gani hiyo.....Kenya no 75 worldwide while Danganyika is 97.....Aibu gani
Na bado mmeshindwa kuwaondoa alshabab😀, aisee nyie viumbe hamuishagi vituko😀
vijana wenu ndo wamejaa somalia wakipigana jihadNa bado mmeshindwa kuwaondoa alshabab😀, aisee nyie viumbe hamuishagi vituko😀
Mbona huku ughaibuni mnatuaibisha sana nyie watz, View attachment 435027
Rape of Samburu Women, Kenya by British ArmyKenya and British troop train together before being deployed to Somalia and Afghanistan respectively View attachment 435091View attachment 435092View attachment 435093
Nikupe swali? Timu yako sijui Yanga ikipigwa mabao 7 na simba kipindi cha kwanza kisha wakirudi yanga ifunge mabao 10 ndio utasema simba ilishinda?? Mambo kama hayo hufanyika kwenye vita lakini unavyoreact after ndio muhimu.Nyie mmeshinda vita gani katika historia yenu?
Somalia's al-Shabab killed '180 Kenyan troops' in el-Ade - BBC News
Kenya covers up military massacre - CNN.com
VIDEO: Al-Shabaab Release Film of Mass Raid Attack on Kenyan Forces
Tumezoea hii, NGO nyingi hapa hufanya hizi propaganda
Siku zote mkishashindwa huwa hamkosi vijisababu vya kitoto kabisa. Kwahiyo hao vijana ndio wanaowazuia nyinyi kuwasambaratisha hao wavaa chacha? 😀vijana wenu ndo wamejaa somalia wakipigana jihad
The point is nyinyi kaeni tu bila kukabiki itikadi kali za kidini. The moment vijana wenu wamerudi from somalia na wakaanza another jihad front on Tanzanian soil ndio mtachekea jehanamSiku zote mkishashindwa huwa hamkosi vijisababu vya kitoto kabisa. Kwahiyo hao vijana ndio wanaowazuia nyinyi kuwasambaratisha hao wavaa chacha? 😀
SO petty...they never cross my mind these days esp when I discovered they have mashed potatoes in between their ears.....
Badala ya kujiona mpo juu wakati hamna lolote, mngeenda Ethiopia kujifunza namna wanavyowadhibiti Al-Shabaab kushambulia Ethiopia.Mmekazana tu na sifa za kijinga wakati ulinzi wenu ni dhaifu.The point is nyinyi kaeni tu bila kukabiki itikadi kali za kidini. The moment vijana wenu wamerudi from somalia na wakaanza another jihad front on Tanzanian soil ndio mtachekea jehanam
Incidence kama hizo zipo kwa kiasi gani na mara ngapi?KAMA ni mkenya au muethiopia report ipo!! wewe porojo na statement huwezi hakiki!!! na by the way watz tafadhali somo habari kabla ya kuweka sahihi yako!!!
Nick's bio
My name is Nicholas Oyoo (Nick Oyoo-Kasera} and I am passionate about building images of brands via communications.
This journey began 5 years ago when I quit my days job as General Manager of a Media House in Kampala, Uganda where I was managing a team of 130 and resettled in Tanzania to make my other life become my only life.
Habari ya zamani na picha za lini? Wakenya hovyo sana.hata kama kizungu ni janga la taifa tz, jameni si usome kichwa na tarehe ya repoti!!!!!
TUESDAY, NOVEMBER 15, 2016
FLY ON THE WALL : BRT: This is how we run things (down)
Kasera Nick Oyoo is a research and communications consultant with Midas Touché East Africa
In Summary
By Kasera Nick Oyoo midastea@gmail.com
- Five months into the project, there is every reason to believe that the optimism was misplaced as the interwoven ecology has been reset to default settings. That we are back to default settings is evident in increasing crowds of milling commuters at BRT terminuses at Morocco, Kimara Mwisho, Gerezani and Kivukoni.
- The much-loved buses have not been showing up as scheduled and the average time has gone from 10 to 15 all the way to 45 minutes to an hour of waiting.
There was palpable optimism in April when President John Magufuli waded into Bus Rapid Transit row and pushed the actors to make Dar es Salaam the first city to introduce scheduled BRT services for its residents in post-independence East Africa.
ISIS In Tanzanian Caves; Terror Threat MultiplicationBadala ya kujiona mpo juu wakati hamna lolote, mngeenda Ethiopia kujifunza namna wanavyowadhibiti Al-Shabaab kushambulia Ethiopia.Mmekazana tu na sifa za kijinga wakati ulinzi wenu ni dhaifu.
Could Kenya Learn From Ethiopia's Anti-terror Strategy?
Thank youCorrection,BRT is one of the most successful project in east Africa.