Tanzania magari yaliyotumika nchini yanauzwa bei kubwa kulinganisha na iliyotumika nje

Huo ndio ukweli, lakini bahati mbaya wahusika na maswala ya uchumi kitaifa bado wanatunga sera. TRA wenye dhamana ya kukusanya kodi ni vihiyo katika taaluma hiyo. Wapo tu kwa sababu wapo.
 
Huo ndio ukweli, lakini bahati mbaya wahusika na maswala ya uchumi kitaifa bado wanatunga sera. TRA wenye dhamana ya kukusanya kodi ni vihiyo katika taaluma hiyo. Wapo tu kwa sababu wapo.
Wanasubiri mwanasiasa awaambie. Yani shida sana,
Wenye akili hawana mamlaka na wenye mamlaka .......
 
...ukitaka kununua ndege tafuta na uwanja wako hahaaaaa
 
ILA KIUKWELI KAMA UNA PESA KUANZIA MILIONI KUMI AGIZA TU GARI MWENYEWE JAPAN, WATUMIE SBT AU BEFORWARD LKN UKISEMA KUNUNUA BONGO NI MAJANGA SANA ASIKWAMBIE MTU.
hao SBT na BEFORWARD ofisi zao ziko wapi?
 
hao SBT na BEFORWARD ofisi zao ziko wapi?
Be forward wapo mtaa wa lumumba pale jengo la New ushirika tower floor ya 12,

Pia wapo jengo la apex towers, floor ya 5, Area 11,pale Gerezani.

Lakini pia wapo hapo mtaa wa msimbazi ukishaipita sheri ya big bone ukiwa unaelekea mataa ya fire kule direction ya upanga.
 
na SBT wako wapi?na ukilinganisha kati ya Beforward na SBT kampuni ipi wako smart kwenye kuwahi kufikisha gari kwa haraka bila mambo ya kusumbuana kuacha kazi zako na kwenda kucomplain kila siku?si unajua waswahili walivyo
 
Mkuu toyota wish 2007 kwa bei ya kuagiza mpaka kulipia ni shs ngapi? je ina ubora gani?.
 
mkuu kwa daslam hii hadi ndugu wapigaji
 
mkuu kwa daslam hii hadi ndugu wapigaji
Hatari utasikia dalali anatamba gari haina kipengele....
2017 ndugu yangu mmoja alichukuaga gari kimeo asee tulikua mafundi mbona hadi leo tukiitwa kucheki gari tunakagua wenyewe tu mana tulipata uzoefu wa kutosha...

Gari ikiwa kimeo hadi uzito unapungua
 
Kununua gari kwa mtu ni changamoto.
Magari mengi yanauzwa na madalali ndio maana bei ziko juu kupita uhalisia, na mengi yana matatizo ambayo dalali hatayasema.

Jipe muda agiza gari kwa ma agent wa kuagiza magari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ