Tanzania: Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi afungwa jela kwa kumtusi Magufuli Tanzania

Yaani hii App niliyonayo sasa ni shida haioneshi notification mpya wala nini. Sijaiona kabisa. Nilipoteza App ya kwanza ya jf hii yaani siielewi. Nisamehe bure.
Sawa ndugu yangu naomba iangalie Pm utaiona.
 
Wanataka uhuru wa kidemokrasia ,mikutano imezuiwa,ata uhuru wa vyombo vya habar umefinywa
 
Kumbe hujui Magufuli ni judge ni spika wa bunge na ni polisi pia?

Kwa taarifa yako iyo hukumu ni maelekezo kutoka juu.
Mtaacha upumbavu lini?Magufuli anahusiana nini ha kesi ya sugu aisee?
 
Una unakika ALIMTUSI MAGUFULI...??? Alimtukanaje..??
 
Kumsingizia mtu ni muuwaji wakati huna ushahidi, matokeo yake ndio hayo.

Unakifahamu alichoongea? Jiridhishe kwanza halafu urudi upya kutoa maoni.
Naona imewauma sana. Mwingine naye ambaye ni mbunge pia, alimtusi rais Uhuru Kenyatta kwamba ni mtoto wa mbwa. Walimfungulia kesi lakini bado yupo huru. Anaendelea na vituko vyake. Juzi juzi tu wamekamata tena, baada ya video kutokea, yeye pamoja na 'bodyguard' wake wakimshambulia mlinzi kwenye parking. Miguna Miguna naye ndo huyu njiani akirudi Kenya, kwa agizo la mahakama. Point yangu kuu ni kwamba, mihimili inafanya kazi kwa uhuru kama walivohakikishiwa chini ya katiba ya Kenya.
 
Hivi ile hashtag ya Wakenya ya [HASHTAG]#whatMagufuliWouldDo[/HASHTAG] iliishia wapi.
Maana kama Magufuli akija atutawale tutafungwa mamilioni, huku hata tunajiapisha urais kabisa.

Hahaa....huku tungefungwa kila yeyote ako twitter and fb bila kusahau nusu ya bunge nzima,council of governors na Russian hackers/bots...😀😀😀
 
Uliyemtolea mfano huyo wa Kenya alitukana. Ni tofauti na Sugu's case. Fuatilia vema.
 
Wanataka uhuru wa kidemokrasia ,mikutano imezuiwa,ata uhuru wa vyombo vya habar umefinywa
uhuru wa kidemokrasia wa ukweli ni freedom from corruption, access to education, food and a Job. Huu Uhuru mwingine wa kupiga Mdomo ni bure
 
uhuru wa kidemokrasia wa ukweli ni freedom from corruption, access to education, food and a Job. Huu Uhuru mwingine wa kupiga Mdomo ni bure
Sasa kwann kuna vyama vingi..kumbuka siasa ni kazi kama zingine...kwani shida iko wap ...mikutano haimzuii mtu kufanya shughul zake
 
Sasa kwann kuna vyama vingi..kumbuka siasa ni kazi kama zingine...kwani shida iko wap ...mikutano haimzuii mtu kufanya shughul zake
Mbona mikutano ipo, ni mikutano ipi unaiongelea? Alafu kukaa kuongea kutwa bado mwisho wa siku mnategemea Rais afanyie kazi hicho mnachotaka sasa kwani mamlaka husika haziwezi kupata mapendekezo yenu kwa njia tofauti na maamdamano au huko kwenye maamdamano kuna mengine ya ziada?

Kilichozuiwa ni maamdamano ambayo mwisho wa siku ni kupoteza muda tu watu wafanye kazi muda wa porojo za majukwaani haupo, hakuna Taifa liliendelea kwa kupiga domo jukwaani?
 
Hivi ile hashtag ya Wakenya ya [HASHTAG]#whatMagufuliWouldDo[/HASHTAG] iliishia wapi.
Maana kama Magufuli akija atutawale tutafungwa mamilioni, huku hata tunajiapisha urais kabisa.

[emoji1] [emoji3]
 
Tunayojua kayafanya ktk kipindi chake ni haya.
Kuua wapinzani mno
Kuteka wapinzani
Kuua shule za serikali japo zilikuwa hoi tangu mwanzo.
Kukataza mikutano ya kisiasa kwa wapinzani.
Kushusha shilingi kuliko wakati wowote.
Kuitia nchi hasara kupitia mikataba ya ovyo.
Kukusanya kodi nyingi na kutumia pesa hizo kujenga uwanja chato na kununua wapinzani na uwekezaji kwa kagame.
Kushusha uchumi wa wafanyakazi na wakulima.
Kuleta nidhamu ya hofu kwa watumishi bila maslahi bora.
Kuhalalisha rushwa kwa maaskari kuwa ni hela ya kusafishia buti.
Kuunda vikosi vya mauaji na kuviita wasiojulikana huku wakishinda mitaani kwao.
Kama lipo la maana kalifanya mafanikio yangekuwepo. Mkulima analia sasa ana maana kwa nani huyu dereva wa pulling naona limemshinda awakabidhi wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…