Lisa cha Ulimbokawalikamata kichaa ! Masikini hao watu wanatolewa kafara pole kwa familia zaoAcha ushabiki usiokuwa wa kweli, watu kumi wamekamatwa, na maelezo ya awali ni kwamba hao jamaa walilipiza kisasi kutokana na kumshutumu huyo diwani kumuhusisha na kifo cha ndugu yao mwaka 2016 katika mzozo wa kugombea ardhi, hakuna siasa hapo kabisa. Vipi ninyi kuhusu kifo cha mwanafunzi wa Meru University kupigwa risasi na polisi kwa makusudi, au ninyi kufa ni kawaida?
Zungumza kitu ueleweke ili tuchangie, sasa unazungumza kama upo usingizini, vipi utajibiwa?Lisa cha Ulimbokawalikamata kichaa ! Masikini hao watu wanatolewa kafara pole kwa familia zao
Wewe huwezi kunielewa umelewa kijani ila wako watakao nielewaZungumza kitu ueleweke ili tuchangie, sasa unazungumza kama upo usingizini, vipi utajibiwa?
Akili zako za bhangi hizo, tunazungumzia kifo cha mwanafunzi huko Kenya, wewe unaleta utani.Wewe huwezi kunielewa umelewa kijani ila wako watakao nielewa
Your looking at this on one angle, what about Chadema internal power struggle?The outcomes of poor contract has led a country into frustration that cause lissu assassination attempt, killing of opposition leaders, loose of parliamentary members to ccm site that cause them poor election to recover their problems.
Poor management of ccm leaders is the source of all stupid calamities arising now.
Wapi tungesikia kupotea kwa watu, kufungwa kwa wapinzani, risasi, kuuawa kwa watu, maandamano kama ingetokea ccm mnafuata haki na wajibu hata kwa katiba hii hii mbovu.
Tusubiri kila mtu kujibu kwa nafasi yake kwa Mungu.Wanaolia sasa kesho watacheka na wachekao leo kesho watalia hiyo ni principle ya Mungu.
Unachangaya vyeo vya kisiasa na vya kiserikali. Mkuu wa mkoa ni mwanasiasa. Police na mahakama sio wanasiasa japo kuwa kazi zao zinawakutanisha na wanasiasa. Polisi juzi wametoa kauli kukataa uzushi huu.Mahakama na polisi vyote vinapokea order kutoka kwa Magufuli kuna mkuu mmoja wa mkoa ameomba msamaha kwa Magufuli kwa kimbo lake diwani wa CCM kushindwa. ITV imeomba msamaha kuonyesha live wazi wa kura wewe huo ni tu?
Mpaka tarehe ya leo, kuna hata mmoja amefungwa?Na amesema mawakili wanao watetea wakosaji nao wafungwe
You're doomed, not we're. Speak for yourself.Cc. TANZANIANS! 😀
Yes jirani, we should be clinging resolutely to Hope right now, and hoping for the 'Dream' to come true in a peaceful manner as our first step, since we haven't really gone through what you guys went through before.
None of us entertain this thought and we shouldn't, but at this point we don't have better options other than 'Actio de masse'
It's unbelievable that I can't write down what am really thinking. I can't believe we have to beg for some sort of freedom in our own country, while someone fears they might end up behind bars.
I can't believe we're back to square one, trying to democratize our country.
Sh!t is real we're doomed!
Nafikiri wewe ndiyo mwenye akili za bangi maana unajua vizuri inavyo kuathiri. Aisifiaye mvua imemnyeaAkili zako za bhangi hizo, tunazungumzia kifo cha mwanafunzi huko Kenya, wewe unaleta utani.
Tuongelee kwa hii forum ama? Angalia social media za kenya juu nikaa mwashinda huko.Hivi wakenya mbona ninyi ni watu wanafiki sana?, leo mwanafunzi wa chuo kikuu cha Meru amepigwa risasi na polisi kwa makusudi, hamna hata mmoja kati yenu analizungumzia, ina maana haya mauaji kwenu ni jambo la kawaida au maisha ya mkenya thamani yake ipo chini kuliko ya watanzania?
Mbona mkifungua mall hata kama ni ndogo kiasi gani mnaipost hapa, kwanini issue kubwa kama hii hamuipost?Tuongelee kwa hii forum ama? Angalia social media za kenya juu nikaa mwashinda huko.
Again did you see the demonstrations by the students in Meru. The institution is currently closed as a result.Police shoot, kill Meru University student leader as protests turn ugly
Please Kenyans, we are waiting to see mass action from you if really you value lives of your own, or you only value political interests of your elite politicians only?.
Utaongezea nini kwani a hio mjadala ?Mbona mkifungua mall hata kama ni ndogo kiasi gani mnaipost hapa, kwanini issue kubwa kama hii hamuipost?
Hiyo ni baada ya kuuliwa mwenzao, unategemea nini?, sisi tunataka kuona wananchi wa Kenya kwa ujumla na kusikia viongozi wa serikali akiwemo rais kutoa statement na hao polisi kukamatwa, sio blah blah.Again did you see the demonstrations by the students in Meru. The institution is currently closed as a result.
Serikali huwa inawajibishwa na kushitushwa na reactions za wananchi, mkiendelea kukaa kimya, wataendelea kuwapiga risasi hadharani, uliona jinsi issue ya kupigwa risasi Lissu ilivyotikisa serikali ya Magufuli?, sio rahisi kurudiwa kwa tukio kama lile hapa Tanzania.Utaongezea nini kwani a hio mjadala ?
Wait, watanzania wamefanya nini venye we zao wauliwa? Unahataji wakenya wote waende Meru kudemonstrate? Just stop with Kenyan affairs we can handle this....Hiyo ni baada ya kuuliwa mwenzao, unategemea nini?, sisi tunataka kuona wananchi wa Kenya kwa ujumla na kusikia viongozi wa serikali akiwemo rais kutoa statement na hao polisi kukamatwa, sio blah blah.
Kwanza sio lazima watanzania wafanye ndiyo na ninyi umfanye, lakini kwa taarifa yako, kuanzia wale polisi sita waliohusika na kifo cha yule mwanafunzi, na wote waliohusika na mauaje wa viongozi wa Chadema wote wamekamatwa na watapelekwa mahakamani muda sio mrefu, ninyi kuanzia Msando, Jacob Juma, na yule Pastor kule Kisumu nani amekamatwa?Wait, watanzania wamefanya nini venye we zao wauliwa? Unahataji wakenya wote waende Meru kudemonstrate? Just stop with Kenyan affairs we can handle this....
I honestly don't care what you do with your criminals or people. I would not also expect a tanzanian to ask for my rights or tell me how to behave in Kenya when they don't live here.Kwanza sio lazima watanzania wafanye ndiyo na ninyi umfanye, lakini kwa taarifa yako, kuanzia wale polisi sita waliohusika na kifo cha yule mwanafunzi, na wote waliohusika na mauaje wa viongozi wa Chadema wote wamekamatwa na watapelekwa mahakamani muda sio mrefu, ninyi kuanzia Msando, Jacob Juma, na yule Pastor kule Kisumu nani amekamatwa?
Your government should count itself lucky, in regards to response by the masses. In Kenya, a road that has been neglected by the relevant authority is enough kinder for fire in the form of protest. Enough for people to confront the police and a few people losing their lives including the security agents themselves. Its a plus for Tz though, maintaining the peace being an important ingredient for public discourse in form of dialogue. But is the political will present for such a big step at the moment? Or has it been postponed for later, when everything has gone south, to give space for chest beating?
Na mkuu wa wilaya zote hahaha.
Na ndie waziri wa wizara zote.