Tanzania: Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi afungwa jela kwa kumtusi Magufuli Tanzania

Lisa cha Ulimbokawalikamata kichaa ! Masikini hao watu wanatolewa kafara pole kwa familia zao
 
Lisa cha Ulimbokawalikamata kichaa ! Masikini hao watu wanatolewa kafara pole kwa familia zao
Zungumza kitu ueleweke ili tuchangie, sasa unazungumza kama upo usingizini, vipi utajibiwa?
 
Your looking at this on one angle, what about Chadema internal power struggle?
 
Mahakama na polisi vyote vinapokea order kutoka kwa Magufuli kuna mkuu mmoja wa mkoa ameomba msamaha kwa Magufuli kwa kimbo lake diwani wa CCM kushindwa. ITV imeomba msamaha kuonyesha live wazi wa kura wewe huo ni tu?
Unachangaya vyeo vya kisiasa na vya kiserikali. Mkuu wa mkoa ni mwanasiasa. Police na mahakama sio wanasiasa japo kuwa kazi zao zinawakutanisha na wanasiasa. Polisi juzi wametoa kauli kukataa uzushi huu.
 
You're doomed, not we're. Speak for yourself.
 
Akili zako za bhangi hizo, tunazungumzia kifo cha mwanafunzi huko Kenya, wewe unaleta utani.
Nafikiri wewe ndiyo mwenye akili za bangi maana unajua vizuri inavyo kuathiri. Aisifiaye mvua imemnyea
 
Tuongelee kwa hii forum ama? Angalia social media za kenya juu nikaa mwashinda huko.
 
Tuongelee kwa hii forum ama? Angalia social media za kenya juu nikaa mwashinda huko.
Mbona mkifungua mall hata kama ni ndogo kiasi gani mnaipost hapa, kwanini issue kubwa kama hii hamuipost?
 
Again did you see the demonstrations by the students in Meru. The institution is currently closed as a result.
Hiyo ni baada ya kuuliwa mwenzao, unategemea nini?, sisi tunataka kuona wananchi wa Kenya kwa ujumla na kusikia viongozi wa serikali akiwemo rais kutoa statement na hao polisi kukamatwa, sio blah blah.
 
Utaongezea nini kwani a hio mjadala ?
Serikali huwa inawajibishwa na kushitushwa na reactions za wananchi, mkiendelea kukaa kimya, wataendelea kuwapiga risasi hadharani, uliona jinsi issue ya kupigwa risasi Lissu ilivyotikisa serikali ya Magufuli?, sio rahisi kurudiwa kwa tukio kama lile hapa Tanzania.
 
Hiyo ni baada ya kuuliwa mwenzao, unategemea nini?, sisi tunataka kuona wananchi wa Kenya kwa ujumla na kusikia viongozi wa serikali akiwemo rais kutoa statement na hao polisi kukamatwa, sio blah blah.
Wait, watanzania wamefanya nini venye we zao wauliwa? Unahataji wakenya wote waende Meru kudemonstrate? Just stop with Kenyan affairs we can handle this....
 
Wait, watanzania wamefanya nini venye we zao wauliwa? Unahataji wakenya wote waende Meru kudemonstrate? Just stop with Kenyan affairs we can handle this....
Kwanza sio lazima watanzania wafanye ndiyo na ninyi umfanye, lakini kwa taarifa yako, kuanzia wale polisi sita waliohusika na kifo cha yule mwanafunzi, na wote waliohusika na mauaje wa viongozi wa Chadema wote wamekamatwa na watapelekwa mahakamani muda sio mrefu, ninyi kuanzia Msando, Jacob Juma, na yule Pastor kule Kisumu nani amekamatwa?
 
I honestly don't care what you do with your criminals or people. I would not also expect a tanzanian to ask for my rights or tell me how to behave in Kenya when they don't live here.
 


At this point, you can tell it's there!, there's been too much BS going on already, it feels like we're at the breaking point and the situation might get sour one of these days.

I seriously wish the so called majestic Gov. understand this before all this get out of control. We've been such good kids for too long, and through ups and downs of our Democracy, staying faithful to out beloved Tz despite the disappointments after Oct.25 2015..

The 'Tanzanian dream' in the making sounds kind of exciting with the whole thing about being active and vocal for our beloved country but at the same time, it's nerve-racking.
As you can see, wenye Serikali are already coming out swinging accusing their critics of Mavumbuzi at the very beginning. With no experience on momentous political event as such, you can imagine how the mood is going to be as days get closer...and closer.

So jirani, any word of encouragement?! 🙂
 
Na mkuu wa wilaya zote hahaha.

Na ndie waziri wa wizara zote.


Hehehe!, 😀

Mkurugenzi wa Mashirika yote ya Umma. Mtukufu.

"His Excellency, President until 2025, Field Marshal PHD Doctor, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Indian Ocean, and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Tanzania in Particular", in addition to his officially Mkulu wa Magogoni himself..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…