Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Kama unatazama hii Mechi ya Al Ahly vs Mamelodi Sundown, halafu unamsikia kiongozi wako anakwambia sisi malengo yetu ni nusu fainali ya Champions League, mpige kibao azinduke.
Hawa jamaa wapo mbali sana kisoka, tukubali mpira unanjia zake na sisi bado tupo vichocholoni tunatafuta njia (hatua).
Jana pia kuna somo lilikuwa linapgwa pale Morocco Wydad vs Petro Atletico.
Marcelo Ivan Allende. What a player 🙌.
Hawa jamaa wapo mbali sana kisoka, tukubali mpira unanjia zake na sisi bado tupo vichocholoni tunatafuta njia (hatua).
Jana pia kuna somo lilikuwa linapgwa pale Morocco Wydad vs Petro Atletico.
Marcelo Ivan Allende. What a player 🙌.