Tanzania Military Intelligence vs TISS

Status
Not open for further replies.

mkuu, japo natoka nje ya mada lakini naomba unijuze kidogo apo kivip idara za USA walifanya mistake kwny sep 11.
 
Mbona USA na huko UK wanachukua watu ambao hawakuzaliwa nchi hizo kujiunga na Intelligence services za huko?
 
Sidhani kama kuna mtu anayejua mafunzo ya TISS yakoje isipokuwa wao TISS wenyewe! Wengi wenu humu mnatumia zaidi hisia kujenga hoja!!
 

Ndio raha ya jamvi hili sasa, ndio maana nilistuka ulipoanza kuwakashifu "waalimu" wanaojitolea kutoa wanachokijua regardless of their "status" sababu kinachotakiwa ni hizo ABC's tu na sio "cores" mkuu au kwa bandiko hili nawe unakuwa "agent mbao"???!!!!
 
Mbona USA na huko UK wanachukua watu ambao hawakuzaliwa nchi hizo kujiunga na Intelligence services za huko?

Mtu kuzaliwa au kutozaliwa hakuna uhusiano wa moja kwa moja na "uwezo au kuweza kumudu" yale anayotakiwa kuyafanya iwapo atapewa jukumu fulani nadhani!!!

Lakini wenzetu wako mbali sana kuweza kumchuja mtu na kujua kama anaviashiria hatarishi bila kujali kazaliwa wapi!!

Lakini pamoja na yote bado hawana uwezo wa kuishikilia dhamira ya mtu ndio maana wengine hugeuka hizo agency na kuwa "doubles" !!!

Hivi Snowden ni mzaliwa wa wapi huyu mtu!!!???
 
Mbona USA na huko UK wanachukua watu ambao hawakuzaliwa nchi hizo kujiunga na Intelligence services za huko?
Una maana hawana nasaba za huko? pia ujue kuna watu wanaopandikizwa kwa uraia feki. Yaani Mtanzania napandikizwa kenya kwa Uraia wa Kongo
 
Sidhani kama kuna mtu anayejua mafunzo ya TISS yakoje isipokuwa wao TISS wenyewe! Wengi wenu humu mnatumia zaidi hisia kujenga hoja!!
Bahati mbaya hujui hata walioandika hapa nani ni nani ni sio nani!
 
Snowden ni aidha self deluded na hana threat kwa America au ana "kazi maalum". Vinginevyo tungekuwa tunaongelea habari tofauti

Kwenye hiyo michezo kujua nini ni nini na nani ni nani yaweza kuja mtu akisha expire au yuko kwa death bed ndio atapike!!!!
 

Hahahaha.
 
Idara ya usalama wa taifa....idara ya usalama jeshini.....jeshi ni sehemu ndogo ya taifa na idara ya usalama wa taifa inawakilishwa na ina classified agents wake (undrcover) ndani ya jeshi na idara zake zote kwa ujumla....
 
Kwa nn jengo jipya la usalama lijengwe na contractor wachina na sio kamouninya kizalendo?
 
kuna jambo moja,,,askari wa jwtz kama kafanya kosa tu la jinai atakamatwa na askari polisi na kufunguliwa mashtaka regardless of his/her rank, halikadhalika afisa usalama (tiss). Akitenda kosa la kinidhamu atasokotwa na mp's humo humo ndani kwa ndani. Kuhusu uzalendo si kweli eti wanafundishwa uzalendo uliopindukia wengine bali wanalipwa vizuri. serikali inawajali zaidi benefits and other fringes ndiyo maana ni ngumu kufikiria lolote negative against government of the day@ccm
 
vp kuhusu hawa takukuru wao nao ni mashushushu? je wao wapo chini ya tiss au wanajitegemea kukusanya taarifa zao?
 
Huwa nawaonea huruma watz na fikra zao,intellgnc tanzania ni totl failure,kuna vitu kuviweka hapa ni kuhatarisha usalama lakin we fall behind,jwtz kuwa waburund,rwanda,kenya na wengne,upumbav wa mwsho kabsa ni kuwa hata mi6 wana watu gvt,na c.i.a siku wana recruit directl,wtf,kulikuwa na deadl mistake kule congo,mengne tuyaache hapa
 

Funguka zaidi mkuu,,!
 
Una maana hawana nasaba za huko? pia ujue kuna watu wanaopandikizwa kwa uraia feki. Yaani Mtanzania napandikizwa kenya kwa Uraia wa Kongo

Enzi za uraia zimepitwa na wakati sana. Ingekuwa hivyo CIA FBI etc wasingekuwa that powerful. Hawa jamaaa waliamua kuchukua talents na wanazo vichujio kujua vipandikizi ni akina nani. Infact katoka historia yao mara nyingi moles ni raia waliozaliwa hapa hapa USA badala ya wale waliokuwa raia kwa kupewa.

Why do u think USA is so powerful? Simple kwa sababh walichukua na wanaendelea kuchukua vichwa vyote vyenye talent na akili duniani. Nyinyi bado mnapigana vita vya kiukooo na kikabila
 


Jaribuni kutuweka sawa basi mana naona watu wanakanyagana tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…