Tanzania Military Intelligence vs TISS

Tanzania Military Intelligence vs TISS

Status
Not open for further replies.
Kwataifa ambalo asilimia zaidi ya 50 ya bajeti ni ya kuomba omba kwa wafadhili usitegemee uimara wowote kwenye taasisi kama hizo zaidi ya porojo tu...hapa mtaishia kuzungumzia ndoto tu na mambo ambayo hayajawahi kutekelezeka.
 
TISS ni zaidi ya uijuavyo. Wengi wenu mtaishia kujua kitengo kimoja tu cha PSU.

Kwa kuwa habari nyingi zimezuiliwa ( classfied ), watu hubaki kudhania hivi na vile ama vile.

Idara ipo imara, tena sana ingawaje kuna changamoto za hapa na pale.

Naipa kongole TISS kwa kazi nzuri.

Huko 'Jey wii' nako "kuko njema" sana.

Mtoa mada! 'Ngoma droo' tu huko MI & TISS.

Psu ndo nini mdau
 
Inaitwa MI.... Hicho ulichotaja ni cheo ...CMI - chief of millitary intelligence .....Msaidizi wake anaitwa DMI - director of Millitary Intelligence.
kazi ngumu Sana Hiyo ..hawa Ndio hufanya infiltration kwenye Nchi yeyote yenye mwelekeo wa kuwa Adui ...ukisikia watu wanatangaza vita ujuwe hawa miaka hadi mitatu kabla walishaingia kwa Adui .. ( kujipenyeza)

In deed! Tuzidi kuwapa moyo wa support ili jeshi letu liendelee kung'ara ndani na nje ya nchi yetu kwa kutekeleza majukumu yake kwa uadilifu mkubwa.
 
Kwataifa ambalo asilimia zaidi ya 50 ya bajeti ni ya kuomba omba kwa wafadhili usitegemee uimara wowote kwenye taasisi kama hizo zaidi ya porojo tu...hapa mtaishia kuzungumzia ndoto tu na mambo ambayo hayajawahi kutekelezeka.

Una dharau sana!!
 
TMI ndo wako juu zaidi hawa ndo wanapiga doria usiku na mchana na kukamata mamluki wanaongia kupitia mipakani kimyakimya! hawa ndo wanafanya kazi sana kulinda nchi na mambo yao huwa hayatangazwi sijui wanaokamatwaga huwa wanawapeleka wapi,kama sio hawa nchi ingekuwa pabaya.
Okay,sasa hao wahamiaji haram inakuaje hukamatiwa let say Dodoma au Mbeya na hawakamatiwi wanakoingilia?
 
Upo sahihi kwa 100%. Ambaye hataelewa ulichoandika basi ni Kanjanja wa div 5. Watu hawajui kuwa MI ipo ndani ya Jeshi. Lakini TISS ni idara inayojitegemea na majukumu yake yapo kila sehemu ikiwa ni pamoja na mambo ya Jeshi . TISS inagusa SIASA za nchi, uchumi, Social Affairs , Mahusiano nk ambapo jukumu lake nikufanya tathmini ya kiusalama na mwisho kushauri njia sahihi zakuchukuliwa na mamlaka stahiki.
So huenda kwenye usafirishaji wa wale twiga na uingizwaji wa unga hapa wanachelewa kushauri,au wanashauri lakini hawaskilizwi?
 
Hao TISS na MI nao ni binadamu na kuna ambao pia wanachukua rushwa na ndio maana unaona Wahamiaji haramu wanavuka mipaka lakini wanakuja kukamatwa let say Dodoma ilhali wamepita check point zoote za Uhamiaji ndani ya mipaka yetu.
 
Kwataifa ambalo asilimia zaidi ya 50 ya bajeti ni ya kuomba omba kwa wafadhili usitegemee uimara wowote kwenye taasisi kama hizo zaidi ya porojo tu...hapa mtaishia kuzungumzia ndoto tu na mambo ambayo hayajawahi kutekelezeka.

Kwani unahitaji kuwa na uwezo wa kifedha kiasi gani ndio uwe na intelijensia imara??? Mbona israel hana uwezo wa fedha kiivo lakini anawazidi wengi??? Au mbona nigeria ana uwezo kifedha lakini rwanda ana mzidi kete??

Tafakari
 
You are dead wrong comrade. Nani kakwambia Rwandans are better compared to Nigerians??? and who also fed you the big lie that the Jews are economically broke???
Read more, learn more!!!
 
Kwani unahitaji kuwa na uwezo wa kifedha kiasi gani ndio uwe na intelijensia imara??? Mbona israel hana uwezo wa fedha kiivo lakini anawazidi wengi??? Au mbona nigeria ana uwezo kifedha lakini rwanda ana mzidi kete??

Tafakari

hata Nyerere alikuwa hana fedha nyingi ila Intelijensia yake ilikuwa ni balaa!!!
 
Swali, Hivi wakuu ktk mafunzo ya watu wa usalama na JWTZ ni wapi wenye mafunzo magumu?
 
Kwataifa ambalo asilimia zaidi ya 50 ya bajeti ni ya kuomba omba kwa wafadhili usitegemee uimara wowote kwenye taasisi kama hizo zaidi ya porojo tu...hapa mtaishia kuzungumzia ndoto tu na mambo ambayo hayajawahi kutekelezeka.
Umenena kweli mkuu...hata hivyo hawa jamaa wa TISS naona kama wako kisiasa zaidi na si kumtetea mtanzania wa kawaida na ndo sabab tuna vitu kama EPA,Mikataba mibov ya madin,Escro account, IPTL ,kutoroshwa twiga,ujangili na madudu mengine kibao? They would have foreseen that and prevent or advice accodingly
 
Umenena kweli mkuu...hata hivyo hawa jamaa wa TISS naona kama wako kisiasa zaidi na si kumtetea mtanzania wa kawaida na ndo sabab tuna vitu kama EPA,Mikataba mibov ya madin,Escro account, IPTL ,kutoroshwa twiga,ujangili na madudu mengine kibao? They would have foreseen that and prevent or advice accodingly

TISS wako makini na kazi yao ya kutoa taarifa nyeti na husika mahala husika kabla ya tukio ila watrkelezaji ndio hu delay kwa maslahi binafsi ila in short wako vizuri na ni wazalendo

Changamoto nyingne n zao hao wanasiasa kutotilia maanan kwa maslahi yao

All in all,watanzania sisi n watu wa Ku critisize kila kitu na sio Ku argue na hilo ndio tatzo letu.....
 
Umenena kweli mkuu...hata hivyo hawa jamaa wa TISS naona kama wako kisiasa zaidi na si kumtetea mtanzania wa kawaida na ndo sabab tuna vitu kama EPA,Mikataba mibov ya madin,Escro account, IPTL ,kutoroshwa twiga,ujangili na madudu mengine kibao? They would have foreseen that and prevent or advice accodingly

If you were real sure that "they" did not!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom