~Dr Ulimboka kang'olewa kucha na meno,kahasiwa mpaka sasa watesi hawajulikani.
~Kibanda katolewa Jicho mpaka sasa hakuna aliyekamatwa
~Twiga wamepanda ndege si TISS/MI walioona hilo tukio
~Tembo wanauliwa hakuna anayetoa meno ya tembo yanasafirishwa hakuna tiss/mi wanaojua
~Watu wamelamba dola laki mbili kwa mda miezi 8 kutoka ujerumani hakuna cha tiss wala nani aliyestukia.
~Watu wanasafirisha Cocain/Heroin wanapitisha magunia kwa magunia at the end inakuja kujulikana ni dawa za pharmacy
~Majambazi kila kukicha wanaongezeka imefikia wanakuja kuiba hadi kwenye vibanda vya vocha na AK47 tiss/mi wapo tu.
~Watu wanaishi tz bila vibali,makomandoo kutoka nepal wanaingia mpaka wanaajiriwa si tiss/mi waliowastukia
~Ni mengi sana ya kuongelea hao jamaa zako wapo kwa ajili ya kulinda wanasiasa tu na wala si usalama wa taifa.....
BR,
King Kong wa 3
Umenyeni,Minjingu.