Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
TAKUKURU pia ni para military ukumbuke.Si kosa la kiufundi, military ni moja tu nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAKUKURU pia ni para military ukumbuke.Si kosa la kiufundi, military ni moja tu nchi hii
Unafananisha military na paramilitary hizi ni taasis mbili tofautiTAKUKURU pia ni para military ukumbuke.
Chunga kauli kama kitu huna ujuzi nacho kaa kimya fulaisha umati unakuja kulia peke yakoNaskia ni mradi wa lugumi
kweli mkuu hii kitu hata kenya wameweza wametengeneza wenyewe tena ni mabasi ya umeme makubwa kama haya..sema huku kwetu labda mambo ya 10% si unajua tena kila kitu ni fursa ya ulajiPale nyumbu kwanini wasitengeneze mabus kama haya Kwa ajali ya Askari wetu baadala ya kununua?
Hizi bus za kisasa hatari kwa vyombo vya usalama, ni rahisi kuwa chipped na kutumika kwa ajili ya spying.
Tungeanza kupunguza utegemezi wa baadhi ya military facilities na hardware na baadala yake tungeanza kuwa tunatengeneza wenyewe.
Kuunda bodi na chasis sio kazi, sidhani kama nyumbu wangeshindwa, tungeagiza engine kutoka weichai au hata man etc pure mechanical, mechanical gearboxes, na differentials halafu tunaagiza nyingine as spares lakini ni kwa ajili ya kustudy (copy and paste) na kuanzia hapo watalaam wetu wanaanza kufyatua zakwetu wenyewe.
Pale liganga Kwa kuanzia tungeanza kuchimba kile chuma Kwa ajili ya malitary hardware tu, na kila kwenye copper tungefanya hivyo na wahusika ni hao hao wanajeshi, hiko chuma kingetumika kutengeneza vifaa vya kijeshi tu.
Kwamba wawe na uwezo wa kumkamata tajiri kama Mimi au 😃😀😀😄Chunga kauli kama kitu huna ujuzi nacho kaa kimya fulaisha umati unakuja kulia peke yako
Plat no ya gar inasoma jina gani?Tanzania inajiendea tu
KumbeKwamba wawe na uwezo wa kumkamata tajiri kama Mimi au 😃😀😀😄
Kuna mmoja nimelipangisha hapa mtaani linashindwa kutoa elfu 60 tu kwa mwezi Leo Lina hama na pikipiki aiseeKumbe
Si unajua watu wa kigoma kwa ubishi?Wewe kweli kiazi na kipindi kile yameandikwa Military Bus ilikuwaje.
Kadanganye watoto ila sio mimiKuna mmoja nimelipangisha hapa mtaani linashindwa kutoa elfu 60 tu kwa mwezi Leo Lina hama na pikipiki aisee
Huyu inaelekea anapenda ligi ngoja waje.Si unajua watu wa kigoma kwa ubishi?
Ni ubishi wa kijingaHuyu inaelekea anapenda ligi ngoja waje.
Sawa dogo mvaa kofiaKadanganye watoto ila sio mimi
Taasisi.....TAKUKURU pia ni para military ukumbuke.
Nioneshe chet chako cha kuzaliwa na mm nishow af ndio uniite dogoSawa dogo mvaa kofia
Sio chet ni cheti wewe dogo kutoka kusini mwa jangwa la Sahara sio mm ni Mimi au haujasoma somo la nomino mwanetu na kikofia chako cheusiNioneshe chet chako cha kuzaliwa na mm nishow af ndio uniite dogo