'Tanzania Military' ni nani?

kweli mkuu hii kitu hata kenya wameweza wametengeneza wenyewe tena ni mabasi ya umeme makubwa kama haya..sema huku kwetu labda mambo ya 10% si unajua tena kila kitu ni fursa ya ulaji
 
Wewe kweli kiazi na kipindi kile yameandikwa Military Bus ilikuwaje.
 
Nioneshe chet chako cha kuzaliwa na mm nishow af ndio uniite dogo
Sio chet ni cheti wewe dogo kutoka kusini mwa jangwa la Sahara sio mm ni Mimi au haujasoma somo la nomino mwanetu na kikofia chako cheusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…