inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wakati Iran na Saudi Arabia ambako sharia ipo Kuna wakiristo na wanafanya Ibada zao,huu uwongo huwa mnaupata wapi, kwenye vilinge vya kula pumbu za nguruwe!?Aisee kama hutaki kuishi Tanzania, nenda Sudan , Egypt, Iran au Saudi Arabia wanaoshika Sharia Law.
Unajua ndani ya Sharia Law , Mkristo haruhusiwi kumuomba Mungu wake na adhabu yake ni kifo. Kuna Faida Gani kuwa na sheria isiyompa mtu uhuru wa kuabudu au kuamini anachokiamini.
Ukumbuke tunaye bi mkubwa kama kiongozi mkuu.Bahati Mbaya sana.
Ukifuatilia wizara yambo ya ndani.
Majambazi wengi ni wao.
Wafungwa wengi ni wao.
Wabakaji wengi ni wao.
MAFIASADI wengi ni wao.
Madawa ya KULEVYA ni wao.
HUKO.
LAMU, ZANZIBAR, PEMBA, UNGUJA, MOMBASA.
NI USHOGA KWENDA MBELE.
Ukumbuke tunaye bi mkubwa kama kiongozi mkuu.
Itakuwaje
🗑️🗑️🗑️Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.
Ukumbuke tunaye bi mkubwa kama kiongozi mkuu.
Itakuwaje
Sababu inawakataza kulewa na kufanya ngonoSaudi Arabia na nchi kadhaa za kiarabu wameshaachana na sheria za quran maana ni ukatili na unyanyasaji.
Hawafanyi ibada public kwanza hawaruhusiwiWakati Iran na Saudi Arabia ambako sharia ipo Kuna wakiristo na wanafanya Ibada zao,huu uwongo huwa mnaupata wapi, kwenye vilinge vya kula pumbu za nguruwe!?
Yaani unataka kuaminisha umma kuwa mateso ya Wakristo kule Saudi Arabia ni Serikali yenyewe inahusika na sio sheria walizoziweka ambazo baadhi zinapatikana ndani ya Sharia law?Hata wakiitumia 100% mradi wanatumia na sheria zingine zisizo sharia kutakuwa na mapungufu tu. Maana unatiwa loophole.
Hakuna sharia inayomdhalilisha au kumkandamiza yeyote weka ushahidi.
Uongo huo.Kwa sheria anazo zitaka bibi mletauzi ni kuwa.
Rais mwanamke
Mawaziri wanawake
Makatibu wakuu wanawake
Wakuu WA MIKOA wanawake
Ma naibu waziri wanawake
WABUNGEwanawake
Askari wanawake.
Madereva wanawake.
HAKUNA MWANAMKE ANGERUHUSIWA KUENDESHA GARI.
KUSUKA NYWELE NK
SHERIA KANDAMIZI SANA HIZI KWA MWANAMKE
Kwani ikikaa hivi hivi tulivyo sasa kuna ubaya?Simple.
Sio kuuwa bali kuoa na kuolewa.
Tumekuwa na kampeni inayohalalisha binti asiolewe. Sisi tunahitaji aolewe na aendelee na masomo.
Lkn pia kuna kampeni ya kuwashawishi vijana wa kiume waolewe. Kampeni hizi zinapigiwa debe na viongozi wa imani yenu.
Nirudi kwenye mada.
Ktk somo la falsafa linasema ubora wa serikali yyt inategemea falsafa ya serikali husika, lkn pia hutegemea falsafa na itikadi iliyo ndani ya mioyo ya watendaji wa serikali.
Ndio. Mtendaji hutafsiri jambo kwa vile anavyoliewa yeye. Na uelewa wake unategemea itikadi aliyonayo.
Ndio maana sheria ya wanafunzi wa kiislam kuvaa hijab ilikuwa mbinde, ndio maana sheria ya ugaidi wanaokamatwa na kufungwa vifumgo bila ya ushahidi wala hukumu ni waislam pekee.
Falsafa ya serikali ni Ujamaa. Ujamaa unatokana na uMarx. uMarx inatokana na Atheism (upagani). Wapagani wa watu wenye uhakika kuwa Mungu hayupo.
Hivyo Sirikali za kijamaa kwa msingi huo haiamini uwepo wa Mungu. Na kwa kuwa dini zinamafungamano na mumgu kwa imani hiyo hayupo, na kwa kuwa serikali haina Mungu hivyo haina dini pia. Wakiamini dini ni uraibu, na kwa mujibu wa wajamaa Mungu hajaumba watu bali watu ndio wametumia mungu.
Wajamaa wakiendelea kuthibitisha kuwa Mungu aliuwawa na dola ya warumi na hakufufuka.
Ndio maana tz haina dini haiamini uwepo wa dini wala uwepo wa Mungu. Jambo hili linafichwa lkn ukweli kukuacha mtu huru.
Ndio maana ndani ya katiba hajatajwa Mungu hata sehemu 1.
Hata hivyo kanuni hii imeumdwa kudhitibi baadhi ya dini.
Lkn ni kweli Serikali haina dini?
Dini ni nini?
Dini ni imani, dini yako ni imani yako, dini ni utamaduni, hivyo dini yako ni utamaduni wako.
Kwa muhtadha huo Atheism (Ujamaa)nayo ni imani au dini. Ndio maana Nyerere aliwahi kusema Ujamaa ni imani, kwa maana Ujamaa ni dini.
Kwani dini ni imani na imani ni dini.
Tunataka serikali ya dini zote ili tujifungue kutoka ktk mnyororo na jinamizi hili la kusema serikali haina dini. Ni uongo uliotengenezwa ukarudi rudiwa kutamkwa. Ndio maana haya weye ndugu yangu uongo huu unauamini. Ni kawaida jambo lolote likirudiwa kutamkwa kutamkwa hata kama ni uongo huwa kweli.
Kuna Ubaya gani serikali iwe ya dini zote
Hii nchi ni ya wote. Hivyo dini zote zinapaswa kulindwa.
China na Marekani wanafanyaje kuhusu ufisadi?Nini ufumbuzi wako kuhusu matatizo ya ufisadi Tanzania?
Nashukuru kwa uungwana wa jibu lako.Nimepata picha kamili ya kivuli chakoKiungwana nitakujibu kuwa binti yyt anaehisi anahitaji kufanya ngano akiwa ktk mfumo wa elimu au hata nje ya mfumo wa elimu na aolewe.
Lkn sheria hiyo haitowahusu watz wote. Kama vile hijab haiawahusu watz wote.
Lkn jibu sahihi zaidi ni kwamba weye yataonekana kwa uchache una sifa zifuatazo.
Mlevi.
Umezaliwa nje ya ndoa,
Nawe tunaishi na kimada na hamtoowana hadi umpachike mimba.
Hujawahi kuishi na waislam ukauona wema wetu.
Kwa mara ya kwanza uliwaona waislam ulipokuja dar.
Kwa hiyo hujui uslam zaidi ya kuusikia kutoka kwa kiongozi wako wa kiroho.
Hivyo hujui kuwa waislam wana itikadi na imani ambayo hatumlazimishi mtu mwengine kufata na hivyo hatulazimiki kufata matakwa ya itikadi za wazungu na ubepari ambao kwasasa unahimiza wadada wasiolewe. Na wanaume kuowana.
Hivyo vitendo cha kuoja msichana anaielewa unaoja si haki za binadamu.
Hakuna nchi iliyoshikamana na dini pekee ikafanikiwa, haipo.basi sawa. lakini hujatuonesha kwa mifano nchi zinazofungamana na imani ya kidini zilivyofanikiwa kuliko zisizo fungamana
Katiba mpya isiyo na mlengo wa kidiniKiarabu lugha ya Kimataifa tayari, hilo lisikupe shida.
Pata shida kwa matatizo tuliyonayo Tanzania hivi sasa, nini ufumbuzi wake?