Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Hawa akina Sinwar wanaohubiri sharia si ndo hawa hawa ambao wanatumia misaada ya watu maskini kujitajirisha?Hebu nambie Ismail Haniyeh hakuwa mfanyabiashara,alipataje ubilionea.Yahaya Sinwar vilevile hakuwa na kampuni kubwa,why mke wake ana mpochi wa mamilioni ya Kitanzania?Fedha wanazitoa wapi?
Naongelea Tanzania unaleta mambo ya Haniyeh. Tanzania tuongelee Samia.
Una matatizo ya uelewa?
 
Majimbo yanayofuata sharia kule Nigeria ndo yanaongoza kwa ufisadi na umaskini.Nibishie nikupe data
baongelea matatizo ya Tanzania unaniletea habari za Naigeria.

Kondoo lini mtauacha ukondoo?
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.

Hiyo sharia muweke wewe na mmeo katika familia yenu.
 
Back
Top Bottom