Tanzania na Burundi msije mkashangaa majirani na hata watu kutokea Ulaya wakikimbilia kuja kwenye nchi yenu ya asali na maziwa

Tanzania na Burundi msije mkashangaa majirani na hata watu kutokea Ulaya wakikimbilia kuja kwenye nchi yenu ya asali na maziwa

Kuna video, Watanzania wanachekelea na kuisambaza kwenye mitandao ya mdada anayesemekana ni Mkenya aliyetelekezwa na wenzake baada ya kuonekana na dalili za Corona. Nawashangaa sana Watanzania wanaojifanya kutokujua nini kinaendelea.

Leo hii Tanzania na Burundi ukanda huu ndio wanapima watu wachache sana kwa siku, hii imepelekea wao kuonekana kana kwamba kirusi cha Corona hakipo sana kwao, ukizingatia pia haya mataifa mawili ndio bado hayajafunga mipaka na mpaka sasa kwao kila kitu ruksa, hamna tahadhari wala nini, full mibanano kwenye madaladala na kote kote.

Hata juzi mwanahabari nguli na mwana JF ndugu Pascal Mayalla alianzisha uzi unaomtaja rais Magufuli kama nabii kisa kuna Mkenya kaandika kumsifia huyo rais wao kwa kutofunga mipaka wala kubana chochote au mizunguko ya watu, ambapo inategemewa rais Uhuru aige pia kwa kulegeza.

Mataifa mengine yanayopima watu wengi ili kupata uhalsia wa hali ilivyo mtaani, yameamua hamna haja ya kupima watu wachache na kuishia kuweka taswira inayopotosha kwamba hauna waathirika au kila kitu shwari, mataifa yanayopima sana yamelazimika kufunga mipaka na kuingia kwenye lockdowns na wengine curfews (Kenya).

Hizi lockdowns na curfews ni balaa, zinatesa, tunaopitia hii hali tunaweza tukawaambia ilivyo, na inapelekea wote tunaishia kuona Tanzania kama nchi ya asali na maziwa, kwamba wamebarikiwa sana kiasi cha wao kuachiwa wafanye watakavyo bila kuzuiwa sehemu yoyote na maambukizi kwao ni machache, na rais wao alishatangaza kwamba hafungi mipaka, hivyo Watanzania msikae mkishangaa kwanini majirani wanakimbilia kuja kwenu huko, mtaenedelea kuibukiwa na watu wanaokohoa kohoa.

Mpaka sasa idadi ya vipimo kwa siku
Rwanda wanapima 842 kwa siku na wapo kwenye lockdown
Kenya juzi tulipima 766 kwa siku na tupo kwenye curfew
Uganda wanapima 555 kwa siku na wapo kwenye lockdown
Tanzania nahisi wanapima 10 kwa siku maana tangu waanze kupima sijui hata kama wamefikisha jumla ya 500
Burundi ndio hata sijui wanachokifanya

Huyo mdada Mkenya anayeumwa dalili za Corona nimejaribu kujiuliza nini kinaweza kikasababisha Mkenya kwa akili zake ajue anaumwa Corona, aamue kusafiri kutokea Nairobi mpaka kwenda Tanzania, hapo kuna mawili:

- Aidha itakuwa kuna waganga wa Tanzania ambao labda wanajinadi kisiri kwamba wanatibu Corona, na ndio maana mpaka sasa maambukizi yametajwa machache huko, labda wanasema yote ni kwa ajili ya dawa zao wanazowapa Watanzania, hili linawezekana ukizingatia hiyo Tanzania ndio nchi ya yule babu aliyeidhinishwa na serikali kupokeza kikombe chake cha miujiza, watu walitokea mataifa hadi ya Ulaya, wengine walikua wanatua hata kwa helikopta.

- Sababu nyingine, inawezekana labda watu wameaminishwa kwamba hewa ya Tanzania inatibu kiasi kwamba muathirika ukifika Tanzania kirusi kinakukimbia, na ndio maana huko watu wanaendelea na shughuli wakifanya kila kitu bila kudhibitiwa.

Sasa hapo ndiyo msishangae kuendelea kuibukiwa na watu wanaofuata hiyo miujiza yenu, hata walioelimika watakuja tu maana mtu ukiumwa, elimu hukutokea maskioni na puani unabaki mtupu na tayari kufanya chochote.
hii habari inanikumbusha kikombe cha babu wa Samunge (Loliondo).
 
Kuanzia Zambia, Malawi, Rwanda, Uganda hadi Kenya tutatiririka huko kama mazombi huku tukikohoa kohoa.....
Ha haaa
Nimecheka sana.
Acha 'ungese mkuu', daah imebidi nikutukane tu sababu ya kichekesho na mzaha wako.

Kwamba watu wana kohoa kohoa huku wanatiririka kwa mwendo wa kizombi ile slow motion kuelekea jiji la maajabu kwa ndugu Makonda?
 
Ha haaa
Nimecheka sana.
Acha 'ungese mkuu', daah imebidi nikutukane tu sababu ya kichekesho na mzaha wako.

Kwamba watu wana koho kohoa huku wanatiririka kwa mwendo wa kizombi ile slow motion kuelekea jiji la maajabu kwa ndugu Makonda?

Hehehehe!! Kama wewe mpenzi wa movie, itafute hii inaitwa World War Z, mazombi yanazunguka dunia yakitafuta nchi au sehemu yoyote ambayo haijadhurika kwa kirusi kilichoanzia Korea Kusini kama ilivyo kwa Corona. Endeleeni kutuaminisha kwamba hewa yenu ni dawa tosha dhidi ya Corona, huyo dada ni mfano tu, hebu waza hapo labda walikua bus nzima wote wameshatinga mitaani kwenu wapone, huyo labda ilibidi wamteme maana kaonyesha dalili too much na angewaponza kwa checkpoint za mapolisi.

 
Hehehehe!! Kama wewe mpenzi wa movie, itafute hii inaitwa World War Z, mazombi yanazunguka dunia yakitafuta nchi au sehemu yoyote ambayo haijadhurika kwa kirusi kilichoanzia Korea Kusini kama ilivyo kwa Corona. Endeleeni kutuaminisha kwamba hewa yenu ni dawa tosha dhidi ya Corona, huyo dada ni mfano tu, hebu waza hapo labda walikua bus nzima wote wameshatinga mitaani kwenu wapone, huyo labda ilibidi wamteme maana kaonyesha dalili too much na angewaponza kwa checkpoint za mapolisi.


Ninayo hii movie tena my kid muda mfupi kaiona kwenye Ext HDD yangu kaniambia niieweke.
Nilisha sahahu inahusu nini, Ngoja nirudie kuangalia.
Si unajua siku hizi tunajifungia na kucheki movie kama hakuna ulazima wa kutoka.
 
Ninayo hii movie tena my kid muda mfupi kaiona kwenye Ext HDD yangu kaniambia niieweke.
Nilisha sahahu inahusu nini, Ngoja nirudie kuangalia.
Si unajua siku hizi tunajifungia na kucheki movie kama hakuna ulazima wa kutoka.

Itazame uone inaendana na hali ya sasa ya hiki kirusi, hatua kwa hatua...
 
Hehehehe!! Kama wewe mpenzi wa movie, itafute hii inaitwa World War Z, mazombi yanazunguka dunia yakitafuta nchi au sehemu yoyote ambayo haijadhurika kwa kirusi kilichoanzia Korea Kusini kama ilivyo kwa Corona. Endeleeni kutuaminisha kwamba hewa yenu ni dawa tosha dhidi ya Corona, huyo dada ni mfano tu, hebu waza hapo labda walikua bus nzima wote wameshatinga mitaani kwenu wapone, huyo labda ilibidi wamteme maana kaonyesha dalili too much na angewaponza kwa checkpoint za mapolisi.
Hii movie ilikuwa noma kupindukia. Nakumbuka nikiwashabikia hao viumbe walipoukwea ukuta huo wa unyanyasaji wa kiyahudi kule Palestine. Hiyo scene kwenye ukuta ilinipendeza sana.
 
Hii movie ilikuwa noma kupindukia. Nakumbuka nikiwashabikia hao viumbe walipoukwea ukuta huo wa unyanyasaji wa kiyahudi kule Palestine. Hiyo scene kwenye ukuta ilinipendeza sana.

Wayahudi walijiponza kwa kuimba imba, hayo mazombi hayakua yanataka kelele, hao wangetulia ndani ya huo ukuta bila kuimba wangeishi.
 
Kuna video, Watanzania wanachekelea na kuisambaza kwenye mitandao ya mdada anayesemekana ni Mkenya aliyetelekezwa na wenzake baada ya kuonekana na dalili za Corona. Nawashangaa sana Watanzania wanaojifanya kutokujua nini kinaendelea.

Leo hii Tanzania na Burundi ukanda huu ndio wanapima watu wachache sana kwa siku, hii imepelekea wao kuonekana kana kwamba kirusi cha Corona hakipo sana kwao, ukizingatia pia haya mataifa mawili ndio bado hayajafunga mipaka na mpaka sasa kwao kila kitu ruksa, hamna tahadhari wala nini, full mibanano kwenye madaladala na kote kote.

Hata juzi mwanahabari nguli na mwana JF ndugu Pascal Mayalla alianzisha uzi unaomtaja rais Magufuli kama nabii kisa kuna Mkenya kaandika kumsifia huyo rais wao kwa kutofunga mipaka wala kubana chochote au mizunguko ya watu, ambapo inategemewa rais Uhuru aige pia kwa kulegeza.

Mataifa mengine yanayopima watu wengi ili kupata uhalsia wa hali ilivyo mtaani, yameamua hamna haja ya kupima watu wachache na kuishia kuweka taswira inayopotosha kwamba hauna waathirika au kila kitu shwari, mataifa yanayopima sana yamelazimika kufunga mipaka na kuingia kwenye lockdowns na wengine curfews (Kenya).

Hizi lockdowns na curfews ni balaa, zinatesa, tunaopitia hii hali tunaweza tukawaambia ilivyo, na inapelekea wote tunaishia kuona Tanzania kama nchi ya asali na maziwa, kwamba wamebarikiwa sana kiasi cha wao kuachiwa wafanye watakavyo bila kuzuiwa sehemu yoyote na maambukizi kwao ni machache, na rais wao alishatangaza kwamba hafungi mipaka, hivyo Watanzania msikae mkishangaa kwanini majirani wanakimbilia kuja kwenu huko, mtaenedelea kuibukiwa na watu wanaokohoa kohoa.

Mpaka sasa idadi ya vipimo kwa siku
Rwanda wanapima 842 kwa siku na wapo kwenye lockdown
Kenya juzi tulipima 766 kwa siku na tupo kwenye curfew
Uganda wanapima 555 kwa siku na wapo kwenye lockdown
Tanzania nahisi wanapima 10 kwa siku maana tangu waanze kupima sijui hata kama wamefikisha jumla ya 500
Burundi ndio hata sijui wanachokifanya

Huyo mdada Mkenya anayeumwa dalili za Corona nimejaribu kujiuliza nini kinaweza kikasababisha Mkenya kwa akili zake ajue anaumwa Corona, aamue kusafiri kutokea Nairobi mpaka kwenda Tanzania, hapo kuna mawili:

- Aidha itakuwa kuna waganga wa Tanzania ambao labda wanajinadi kisiri kwamba wanatibu Corona, na ndio maana mpaka sasa maambukizi yametajwa machache huko, labda wanasema yote ni kwa ajili ya dawa zao wanazowapa Watanzania, hili linawezekana ukizingatia hiyo Tanzania ndio nchi ya yule babu aliyeidhinishwa na serikali kupokeza kikombe chake cha miujiza, watu walitokea mataifa hadi ya Ulaya, wengine walikua wanatua hata kwa helikopta.

- Sababu nyingine, inawezekana labda watu wameaminishwa kwamba hewa ya Tanzania inatibu kiasi kwamba muathirika ukifika Tanzania kirusi kinakukimbia, na ndio maana huko watu wanaendelea na shughuli wakifanya kila kitu bila kudhibitiwa.

Sasa hapo ndiyo msishangae kuendelea kuibukiwa na watu wanaofuata hiyo miujiza yenu, hata walioelimika watakuja tu maana mtu ukiumwa, elimu hukutokea maskioni na puani unabaki mtupu na tayari kufanya chochote.
Kiuhalisia sisi tuna mzaha mwingi.
Data tunazotoa ni za uongo.
Why?
Yote yanaanzia kwa Magufuli Kipenzi cha Wakenya.
 
Wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wako ktk taharuki ya hali ya juu ya kuambukizwa Corona kutokana na influx ya wakenya kuingia nchini kupitia njia za panya.

Vyombo vya dola vijitahidi kudhibiti mipaka majirani wameanza kudump wagonjwa wao wa Corona on our side of the border and leave them there in the wild. This is too dangerous kwa wananchi wa Kilimanjaro na Arusha.
Kwamba mnaamini mkija Tz mtapona? Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wako ktk taharuki ya hali ya juu ya kuambukizwa Corona kutokana na influx ya wakenya kuingia nchini kupitia njia za panya.

Vyombo vya dola vijitahidi kudhibiti mipaka majirani wameanza kudump wagonjwa wao wa Corona on our side of the border and leave them there in the wild. This is too dangerous kwa wananchi wa Kilimanjaro na Arusha.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sio huko tu, tutapitia hata Mwanza na Pwani pia, Tanga au hata baharini.....jengeni ukuta kote, endeleeni kugoma kupima watu wenu muendelee kutuaminisha kwamba hewa yenu ni dawa ya Corona. Tunafuata kikombe cha babu.
 
Wananchi wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wako ktk taharuki ya hali ya juu ya kuambukizwa Corona kutokana na influx ya wakenya kuingia nchini kupitia njia za panya.

Vyombo vya dola vijitahidi kudhibiti mipaka majirani wameanza kudump wagonjwa wao wa Corona on our side of the border and leave them there in the wild. This is too dangerous kwa wananchi wa Kilimanjaro na Arusha.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wamefikia kutupa wagonjwa wao inamaanisha wamedhamiria kuusambaza ugonjwa huku Tz kwa nguvu zote
 
Chakula ni moja ya dawa muhimu kwa mgonjwa wa aina yeyote yule, sasa kama unakataza watu wako wasifanye kazi kujitafutia riziki halafu wakati huohuo wanapata maambukizi wanajikuta hawa chakula na pia hawana pesa.

Ndio maana wanakata tamaa na kuanza kukimbilia nchi jirani au familia kuamua kuwatekekeza wagonjwa wao vichakani mwa nchi jirani au pia inaweza ni nia ovu ya kutaka kuambukiza wananchi wetu wa mipakani.
Kama wamefikia kutupa wagonjwa wao inamaanisha wamedhamiria kuusambaza ugonjwa huku Tz kwa nguvu zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joto la jiwe hebu naomba ule Uzi wa MK254 anaowashtumu watanzania wanavuka mpaka kinyemela kuingia Kenya na kwamba tunawapelekea corona..naona sasa kachange gia angani baada kuona wakenya sasa wanakimbia dhahama nchini mwao..unafki huuu duh!!
 
joto la jiwe hebu naomba ule Uzi wa MK254 anaowashtumu watanzania wanavuka mpaka kinyemela kuingia Kenya na kwamba tunawapelekea corona..naona sasa kachange gia angani baada kuona wakenya sasa wanakimbia dhahama nchini mwao..unafki huuu duh!!

Wala sijabadilisha gia, uhalsia bado ni ule ule, nyie hamna uwezo wa kupima watu wengi kwa siku, hivyo mnasababisha ionekane kama kwenu nafuu, ukizingatia hamchukui tahadhari yoyote, mpo mpo tu siku ziende, hii inasababisha baadhi ya Wakenya wahisi aidha kuna vikombe vya babu mnanyweshwa huko au siri fulani hivi, yaani kwamba mnaishi bila tahadhari na maambukizi ni madogo, lazima watu wakimbilie wakija huko, na sio Wakenya tu, watakuja hata wazungu.....hili nimeliwekea uzi huku Tanzania na Burundi msije mkashangaa majirani na hata watu kutokea Ulaya wakikimbilia kuja kwenye nchi yenu ya asali na maziwa - JamiiForums

Watanzania wanaokuja huku hawaikimbii Corona kwao maana haipimwi kwenu kwa kasi, hivyo hali ya mtaani hamuijui, hamna sababu za wao kuikimbia, wao wanakuja mishe zao zingine sema tukiwapima tunawakuta na Corona, ina maana uhalsia ni kwamba mnaogelea kwa kirusi, na mtaponza sana majirani, ukiangalia Zanzibar kesi zote hadi sasa ni za nyie mnawapelekea, hako kakisiwa kataisha.
 
Kuna video, Watanzania wanachekelea na kuisambaza kwenye mitandao ya mdada anayesemekana ni Mkenya aliyetelekezwa na wenzake baada ya kuonekana na dalili za Corona. Nawashangaa sana Watanzania wanaojifanya kutokujua nini kinaendelea.

Leo hii Tanzania na Burundi ukanda huu ndio wanapima watu wachache sana kwa siku, hii imepelekea wao kuonekana kana kwamba kirusi cha Corona hakipo sana kwao, ukizingatia pia haya mataifa mawili ndio bado hayajafunga mipaka na mpaka sasa kwao kila kitu ruksa, hamna tahadhari wala nini, full mibanano kwenye madaladala na kote kote.

Hata juzi mwanahabari nguli na mwana JF ndugu Pascal Mayalla alianzisha uzi unaomtaja rais Magufuli kama nabii kisa kuna Mkenya kaandika kumsifia huyo rais wao kwa kutofunga mipaka wala kubana chochote au mizunguko ya watu, ambapo inategemewa rais Uhuru aige pia kwa kulegeza.

Mataifa mengine yanayopima watu wengi ili kupata uhalsia wa hali ilivyo mtaani, yameamua hamna haja ya kupima watu wachache na kuishia kuweka taswira inayopotosha kwamba hauna waathirika au kila kitu shwari, mataifa yanayopima sana yamelazimika kufunga mipaka na kuingia kwenye lockdowns na wengine curfews (Kenya).

Hizi lockdowns na curfews ni balaa, zinatesa, tunaopitia hii hali tunaweza tukawaambia ilivyo, na inapelekea wote tunaishia kuona Tanzania kama nchi ya asali na maziwa, kwamba wamebarikiwa sana kiasi cha wao kuachiwa wafanye watakavyo bila kuzuiwa sehemu yoyote na maambukizi kwao ni machache, na rais wao alishatangaza kwamba hafungi mipaka, hivyo Watanzania msikae mkishangaa kwanini majirani wanakimbilia kuja kwenu huko, mtaenedelea kuibukiwa na watu wanaokohoa kohoa.

Mpaka sasa idadi ya vipimo kwa siku
Rwanda wanapima 842 kwa siku na wapo kwenye lockdown
Kenya juzi tulipima 766 kwa siku na tupo kwenye curfew
Uganda wanapima 555 kwa siku na wapo kwenye lockdown
Tanzania nahisi wanapima 10 kwa siku maana tangu waanze kupima sijui hata kama wamefikisha jumla ya 500
Burundi ndio hata sijui wanachokifanya

Huyo mdada Mkenya anayeumwa dalili za Corona nimejaribu kujiuliza nini kinaweza kikasababisha Mkenya kwa akili zake ajue anaumwa Corona, aamue kusafiri kutokea Nairobi mpaka kwenda Tanzania, hapo kuna mawili:

- Aidha itakuwa kuna waganga wa Tanzania ambao labda wanajinadi kisiri kwamba wanatibu Corona, na ndio maana mpaka sasa maambukizi yametajwa machache huko, labda wanasema yote ni kwa ajili ya dawa zao wanazowapa Watanzania, hili linawezekana ukizingatia hiyo Tanzania ndio nchi ya yule babu aliyeidhinishwa na serikali kupokeza kikombe chake cha miujiza, watu walitokea mataifa hadi ya Ulaya, wengine walikua wanatua hata kwa helikopta.

- Sababu nyingine, inawezekana labda watu wameaminishwa kwamba hewa ya Tanzania inatibu kiasi kwamba muathirika ukifika Tanzania kirusi kinakukimbia, na ndio maana huko watu wanaendelea na shughuli wakifanya kila kitu bila kudhibitiwa.

Sasa hapo ndiyo msishangae kuendelea kuibukiwa na watu wanaofuata hiyo miujiza yenu, hata walioelimika watakuja tu maana mtu ukiumwa, elimu hukutokea maskioni na puani unabaki mtupu na tayari kufanya chochote.

Jaribu kuangalia hapo si afadhali ambaye hajalockdown?


Babamkwe on Twitter
 
Kuna nchi na visiwa vingi bado wanaisikia Corona kwenye Bomba tu
Lakini isitufanye kufumbia macho hili
Tahadhari inatakiwa sana na kupima sio kigezo bali wanaoathirika wanajulikana na kuonekana kwenye jamii
Mtu anatoka kwenu na ugonjwa na kuja kuambukiza kwetu unaona ni sawa?
Huu ni uuwaji kabisa au mnawatuma
Haiwezekani kama mmefunga kila sehemu ila watu wanaingia tena wagonjwa
Kesi inawahusu hapo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom